number41
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 2,048
- 1,462
Ni ile ile ambayo alilazwa Mjane wa Baba wa Taifa miezi kadhaa mwaka huu na kila ilipokuwa ikitolewa taarifa za Kumhusu ikawa haitajwi katika Maelezo na inafichwa. Na leo tena nimeona Mtu mwingine Muhimu na Nyeti kabisa nchini Tanzania nae amelazwa hapo hapo tena katembelewa na Mheshimiwa Namba Moja lakini Jina la hiyo Hospitali limefichwa tena.
Nikiwa kama Mtanzania naomba Kuijua hiyo Hospitali ili nami nikamtembelee Kiupendo huyo Mgonjwa Kesho mapema tu.
Hospital ya usalama wa taifa oale kijitonyama wana hospitali yao kubwa tu mzena ndo mpango mzima na wametengewa jengo lao kabs muhimbili ni kama pharmacy tu kwao