Zawadi Ngoda
JF-Expert Member
- Aug 13, 2009
- 3,805
- 1,872
Ripoti ya benki ya dunia Desemba, 31, 2023. Juu ya mauzo ya bidhaa katika Jumuia ya nchi za Afrika mashariki. Jikite pale tunauza kiasi gani, nasi tunanunua kwao kiasi gani.
- Tanzania kwenda DRC (Kongo) -Tzsh 769.6 bilioni. DRC kwenda Tanzania tzsh 6.79 bilioni
- Tanzania kwenda Burundi-Tzsh 518.09 bilioni. Burundi kwenda Tanzania Tzsh 7.254 bilioni.
- Tanzania kwenda Rwanda- Tzsh 530.66 bilioni. Rwanda kwenda Tanzania Tzsh4.275 bilioni.
- Tanzania kwenda Kenya -Tzsh 724.32 bilioni (2021/2022- 993.42bilioni). Kenya kwenda Tanzania Tzsh 1.06 Trilioni (2021/2022- Tzsh 892.82 bilioni.
Biashara kwa ujumla Jumuia ya Afrika masharika 2022/2023 , Tanzania iliuza katika nchi za Afrika masharika jumla ya bidhaa zenye dhamani ya Zaidi ya 3,26 Trilioni Tzsh, huku ikinunua bidhaa zenye dhamani ya 1.37 Tz sh Trilioni.
Chanzo:
- Kenya yapindua meza biashara na Tanzania
- Benki ya Dunia.