johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,978
- 141,994
Leo 19/03/2024 Rais Dr Samia Suluhu Hassan anatimiza Miaka 3 ya Uongozi wake kama Rais wa JMT na Amiri Jeshi Mkuu
Nchi za Africa Mashariki zimekuwa na tatizo kubwa la Demokrasia na Tanzania ilikuwemo lakini jambo kubwa sana alilofanya Rais Samia ni kurejesha Misingi ya Demokrasia iliyokuwa imefifia
Kwa sasa Vyama vya Siasa na Taasisi za Dini ziko huru kufanya Shughuli zao zote bila kuingiliwa na Serikali
Hii ni hatua kubwa sana kwa sababu Demokrasia ndio baba na mama wa Maendeleo
Mungu wa mbinguni endelea kumbariki Rais Samia
Ramadan Mubarak 😄
Nchi za Africa Mashariki zimekuwa na tatizo kubwa la Demokrasia na Tanzania ilikuwemo lakini jambo kubwa sana alilofanya Rais Samia ni kurejesha Misingi ya Demokrasia iliyokuwa imefifia
Kwa sasa Vyama vya Siasa na Taasisi za Dini ziko huru kufanya Shughuli zao zote bila kuingiliwa na Serikali
Hii ni hatua kubwa sana kwa sababu Demokrasia ndio baba na mama wa Maendeleo
Mungu wa mbinguni endelea kumbariki Rais Samia
Ramadan Mubarak 😄