Hongera Rais Samia kwa kuivusha salama Tanzania mwaka 2023, hakika unaweza, Tanzania ni Mhimili Mkuu wa Afrika Mashariki

chiembe

JF-Expert Member
May 16, 2015
12,003
20,681
Hatimaye, kwa uweza wa Mwenyezi Mungu, nahodha Samia Suluhu Hassan amekifikisha chombo mwisho wa mwaka 2023 kikiwa salama, hakuna hata aliyechubuka.

Ni safari ndefu yenye mawimbi makali, ambayo, kama si umahiri na weledi wa nahodha, ingetuwia ngumu.

Tanzania ndio muhimili wa amani Afrika Mashariki, hata vile vidume vilivyozoea kupigana vita, vikimuona mwamba wa visiwa vya karafuu na mlima kilimanjaro, vinaufyata na kusikiliza. Amedhibiti usalama wa nchi ndani na nje.

Uchumi umesheheni mafuta mafuta (mazezele), siasa zimejaa bashasha, watu wanapaa na ilani kwa helkopta, wanashuka, mpaka baadae wanakaa chini wanajiuliza, hivi tuseme nini tena, mbona anafanya yote?

Treni zinashuka bandarini, SGR inakwenda mwendo wa ngiri mkia juu, daraja la Magufuli, pale jangwani kitasukwa kitu cha kihistoria, daraja bora kabisa na uboreshaji wa matumizi ya ardhi, TARURA wamezagaa nchi nzima wakijenga barabara, Tanroad wamegoma kutoka saiti hata siku za sikukuu wako kazini.

Utumishi wa umma umetulia sasa, watu wamepanda madaraja mpaka wanashangaq, tukimpa mitano tena, watapanda hata ndege. Wale wanasiasa waliokuwa wanaficha udhaifu wao na kusumbua watumishi wamekomeshwa.

Sekta ya afya inawaka kama taa, inaenda kitaalamu, awamu ya sita inaheshimu sayansi, haikupigana ngumi za uso kwa uso na corona, iliruhusu sayansi itamalaki, yule aliyetaka kuzipiga kavukavu na korona, korona ilimkoroga kwa Knock out.

Viva Samia.

2024, tunatarajia mengi, tutapanda treni ya umeme kwa mara ya kwanza tangu Mungu aumbe ardhi ya nchi hii, na ile meli ya MV. Mwanza, sisi wahaya tuseme nini sasa? Tutabeba ndizi na senene humo tupeleke masokoni. Umeme ukiwaka kutoka bwawa la Mwalimu Nyerere? Ni kazi yako hiyo, chief engineer! Daraja la Busisi? Wana kanda ya ziwa umetuachia kumbukimbu kubwa sana, sengerema itakuwa, Geita, Mwanza, Kagera, Musoma, na umeme wa Rusumo, ni wewe Mama.

Tuko na wewe 2024, tukiwa na jembe kuelekea mashambani kuzalisha mali, na nyundo kwenye shughuli zetu za viwanda, biashara, na mengine mengi.

Unaukumbuka ule wimbo wa Kigoma mbali kwa wali ni karibu? Sasa hata bila wali, Kigoma, Katavi, Rukwa imefunguka kwa kupitia Mbeya au Tabora. Lami imechapwa ikachapika kwa barabara zote.

#ChamaKikoKazini


2024 twende tukajenge nchi yetu kwa nguvu zaidi na weledi mkubwa.
 
Hatimaye, kwa uweza wa Mwenyezi Mungu, nahodha Samia Suluhu Hassan amekifikisha chombo mwisho wa mwaka 2023 kikiwa salama, hakuna hata aliyechubuka.

Ni safari ndefu yenye mawimbi makali, ambayo, kama si umahiri na weledi wa nahodha, ingetuwia ngumu.

Tanzania ndio muhimili wa amani Afrika Mashariki, hata vile vidume vilivyozoea kupigana vita, vikimuona mwamba wa visiwa vya karafuu na mlima kilimanjaro, vinaufyata na kusikiliza. Amedhibiti usalama wa nchi ndani na nje.

Uchumi umesheheni mafuta mafuta (mazezele), siasa zimejaa bashasha, watu wanapaa na ilani kwa helkopta, wanashuka, mpaka baadae wanakaa chini wanajiuliza, hivi tuseme nini tena, mbona anafanya yote?

Treni zinashuka bandarini, SGR inakwenda mwendo wa ngiri mkia juu, daraja la Magufuli, pale jangwani kitasukwa kitu cha kihistoria, daraja bora kabisa na uboreshaji wa matumizi ya ardhi, TARURA wamezagaa nchi nzima wakijenga barabara, Tanroad wamegoma kutoka saiti hata siku za sikukuu wako kazini.

Utumishi wa umma umetulia sasa, watu wamepanda madaraja mpaka wanashangaq, tukimpa mitano tena, watapanda hata ndege. Wale wanasiasa waliokuwa wanaficha udhaifu wao na kusumbua watumishi wamekomeshwa.

Sekta ya afya inawaka kama taa, inaenda kitaalamu, awamu ya sita inaheshimu sayansi, haikupigana ngumi za uso kwa uso na corona, iliruhusu sayansi itamalaki, yule aliyetaka kuzipiga kavukavu na korona, korona ilimkoroga kwa Knock out.

Viva Samia.

2024, tunatarajia mengi, tutapanda treni ya umeme kwa mara ya kwanza tangu Mungu aumbe ardhi ya nchi hii, na ile meli ya MV. Mwanza, sisi wahaya tuseme nini sasa? Tutabeba ndizi na senene humo tupeleke masokoni. Umeme ukiwaka kutoka bwawa la Mwalimu Nyerere? Ni kazi yako hiyo, chief engineer! Daraja la Busisi? Wana kanda ya ziwa umetuachia kumbukimbu kubwa sana, sengerema itakuwa, Geita, Mwanza, Kagera, Musoma, na umeme wa Rusumo, ni wewe Mama.

Tuko na wewe 2024, tukiwa na jembe kuelekea mashambani kuzalisha mali, na nyundo kwenye shughuli zetu za viwanda, biashara, na mengine mengi.

#ChamaKikoKazini


2024 twende tukajenge nchi yetu kwa nguvu zaidi na weledi mkubwa.
una matatizo ya akili wewe Samia a
Hatimaye, kwa uweza wa Mwenyezi Mungu, nahodha Samia Suluhu Hassan amekifikisha chombo mwisho wa mwaka 2023 kikiwa salama, hakuna hata aliyechubuka.

Ni safari ndefu yenye mawimbi makali, ambayo, kama si umahiri na weledi wa nahodha, ingetuwia ngumu.

Tanzania ndio muhimili wa amani Afrika Mashariki, hata vile vidume vilivyozoea kupigana vita, vikimuona mwamba wa visiwa vya karafuu na mlima kilimanjaro, vinaufyata na kusikiliza. Amedhibiti usalama wa nchi ndani na nje.

Uchumi umesheheni mafuta mafuta (mazezele), siasa zimejaa bashasha, watu wanapaa na ilani kwa helkopta, wanashuka, mpaka baadae wanakaa chini wanajiuliza, hivi tuseme nini tena, mbona anafanya yote?

Treni zinashuka bandarini, SGR inakwenda mwendo wa ngiri mkia juu, daraja la Magufuli, pale jangwani kitasukwa kitu cha kihistoria, daraja bora kabisa na uboreshaji wa matumizi ya ardhi, TARURA wamezagaa nchi nzima wakijenga barabara, Tanroad wamegoma kutoka saiti hata siku za sikukuu wako kazini.

Utumishi wa umma umetulia sasa, watu wamepanda madaraja mpaka wanashangaq, tukimpa mitano tena, watapanda hata ndege. Wale wanasiasa waliokuwa wanaficha udhaifu wao na kusumbua watumishi wamekomeshwa.

Sekta ya afya inawaka kama taa, inaenda kitaalamu, awamu ya sita inaheshimu sayansi, haikupigana ngumi za uso kwa uso na corona, iliruhusu sayansi itamalaki, yule aliyetaka kuzipiga kavukavu na korona, korona ilimkoroga kwa Knock out.

Viva Samia.

2024, tunatarajia mengi, tutapanda treni ya umeme kwa mara ya kwanza tangu Mungu aumbe ardhi ya nchi hii, na ile meli ya MV. Mwanza, sisi wahaya tuseme nini sasa? Tutabeba ndizi na senene humo tupeleke masokoni. Umeme ukiwaka kutoka bwawa la Mwalimu Nyerere? Ni kazi yako hiyo, chief engineer! Daraja la Busisi? Wana kanda ya ziwa umetuachia kumbukimbu kubwa sana, sengerema itakuwa, Geita, Mwanza, Kagera, Musoma, na umeme wa Rusumo, ni wewe Mama.

Tuko na wewe 2024, tukiwa na jembe kuelekea mashambani kuzalisha mali, na nyundo kwenye shughuli zetu za viwanda, biashara, na mengine mengi.

#ChamaKikoKazini


2024 twende tukajenge nchi yetu kwa nguvu zaidi na weledi mkubwa.
una matatizo ya akili wewe Samia amekuwa Mungu atuvushe salama sijui nyie vijana mkivutaga bangi mnakuwaje Samia ameivusha Tanzania salama? Nonsense
 
2023 amefanikiwa na atakumbukwa katika yafuatayo:
1.Kupandisha bei ya mafuta
2. Kushusha thamani ya shilingi
3.kupandisha bei za bidhaa
4. Kupandisha nauli
5. Kuuza bandari
6. Kuijenga Zanzibar kwa pesa za Tanganyika
7. Kumrudisha muuaji Makonda
8. Kufuta bima ya afya ya watoto
9. Kusimamia vizuri wateule wake waendelee kulam kwa urefu wa kamba zao
10.Kupotezea ripoti ya CAG
 
Hatimaye, kwa uweza wa Mwenyezi Mungu, nahodha Samia Suluhu Hassan amekifikisha chombo mwisho wa mwaka 2023 kikiwa salama, hakuna hata aliyechubuka.

Ni safari ndefu yenye mawimbi makali, ambayo, kama si umahiri na weledi wa nahodha, ingetuwia ngumu.

Tanzania ndio muhimili wa amani Afrika Mashariki, hata vile vidume vilivyozoea kupigana vita, vikimuona mwamba wa visiwa vya karafuu na mlima kilimanjaro, vinaufyata na kusikiliza. Amedhibiti usalama wa nchi ndani na nje.

Uchumi umesheheni mafuta mafuta (mazezele), siasa zimejaa bashasha, watu wanapaa na ilani kwa helkopta, wanashuka, mpaka baadae wanakaa chini wanajiuliza, hivi tuseme nini tena, mbona anafanya yote?

Treni zinashuka bandarini, SGR inakwenda mwendo wa ngiri mkia juu, daraja la Magufuli, pale jangwani kitasukwa kitu cha kihistoria, daraja bora kabisa na uboreshaji wa matumizi ya ardhi, TARURA wamezagaa nchi nzima wakijenga barabara, Tanroad wamegoma kutoka saiti hata siku za sikukuu wako kazini.

Utumishi wa umma umetulia sasa, watu wamepanda madaraja mpaka wanashangaq, tukimpa mitano tena, watapanda hata ndege. Wale wanasiasa waliokuwa wanaficha udhaifu wao na kusumbua watumishi wamekomeshwa.

Sekta ya afya inawaka kama taa, inaenda kitaalamu, awamu ya sita inaheshimu sayansi, haikupigana ngumi za uso kwa uso na corona, iliruhusu sayansi itamalaki, yule aliyetaka kuzipiga kavukavu na korona, korona ilimkoroga kwa Knock out.

Viva Samia.

2024, tunatarajia mengi, tutapanda treni ya umeme kwa mara ya kwanza tangu Mungu aumbe ardhi ya nchi hii, na ile meli ya MV. Mwanza, sisi wahaya tuseme nini sasa? Tutabeba ndizi na senene humo tupeleke masokoni. Umeme ukiwaka kutoka bwawa la Mwalimu Nyerere? Ni kazi yako hiyo, chief engineer! Daraja la Busisi? Wana kanda ya ziwa umetuachia kumbukimbu kubwa sana, sengerema itakuwa, Geita, Mwanza, Kagera, Musoma, na umeme wa Rusumo, ni wewe Mama.

Tuko na wewe 2024, tukiwa na jembe kuelekea mashambani kuzalisha mali, na nyundo kwenye shughuli zetu za viwanda, biashara, na mengine mengi.

#ChamaKikoKazini


2024 twende tukajenge nchi yetu kwa nguvu zaidi na weledi mkubwa.
Umesahau namba ya simu
 
2023 amefanikiwa na atakumbukwa katika yafuatayo:
1.Kupandisha bei ya mafuta
2. Kushusha thamani ya shilingi
3.kupandisha bei za bidhaa
4. Kupandisha nauli
5. Kuuza bandari
6. Kuijenga Zanzibar kwa pesa za Tanganyika
7. Kumrudisha muuaji Makonda
8. Kufuta bima ya afya ya watoto
9. Kusimamia vizuri wateule wake waendelee kulam kwa urefu wa kamba zao
10.Kupotezea ripoti ya CAG
Hiyo moja mpaka 4 hajasababisha yeye, na hiyo ya tano ametumia akili kubwa kwa maendeleo ya taifa ila ukiwa kichwa mgando utaendelea kuwaza bandari imeuzwa
 
Kwamba Samia ndio katuvusha 2023? Aisee. Hivi ccm inawafanyaje hawa vijana wake, inaondoa akili wanawawekea mavi vichwani ama?
 
Mimi sio chawa mkuu, ni mtanzania mzalendo kada wa Chadema
CHADEMA hakuna huo msamiati uitwao KADA unaonekana umejazwa kitu huko lumumba kama ni magimbi subiri kwenda toilet vinginevyo subiri miezi 9 ukajifungue rangi ya kijani
 
Hatimaye, kwa uweza wa Mwenyezi Mungu, nahodha Samia Suluhu Hassan amekifikisha chombo mwisho wa mwaka 2023 kikiwa salama, hakuna hata aliyechubuka.

Ni safari ndefu yenye mawimbi makali, ambayo, kama si umahiri na weledi wa nahodha, ingetuwia ngumu.

Tanzania ndio muhimili wa amani Afrika Mashariki, hata vile vidume vilivyozoea kupigana vita, vikimuona mwamba wa visiwa vya karafuu na mlima kilimanjaro, vinaufyata na kusikiliza. Amedhibiti usalama wa nchi ndani na nje.

Uchumi umesheheni mafuta mafuta (mazezele), siasa zimejaa bashasha, watu wanapaa na ilani kwa helkopta, wanashuka, mpaka baadae wanakaa chini wanajiuliza, hivi tuseme nini tena, mbona anafanya yote?

Treni zinashuka bandarini, SGR inakwenda mwendo wa ngiri mkia juu, daraja la Magufuli, pale jangwani kitasukwa kitu cha kihistoria, daraja bora kabisa na uboreshaji wa matumizi ya ardhi, TARURA wamezagaa nchi nzima wakijenga barabara, Tanroad wamegoma kutoka saiti hata siku za sikukuu wako kazini.

Utumishi wa umma umetulia sasa, watu wamepanda madaraja mpaka wanashangaq, tukimpa mitano tena, watapanda hata ndege. Wale wanasiasa waliokuwa wanaficha udhaifu wao na kusumbua watumishi wamekomeshwa.

Sekta ya afya inawaka kama taa, inaenda kitaalamu, awamu ya sita inaheshimu sayansi, haikupigana ngumi za uso kwa uso na corona, iliruhusu sayansi itamalaki, yule aliyetaka kuzipiga kavukavu na korona, korona ilimkoroga kwa Knock out.

Viva Samia.

2024, tunatarajia mengi, tutapanda treni ya umeme kwa mara ya kwanza tangu Mungu aumbe ardhi ya nchi hii, na ile meli ya MV. Mwanza, sisi wahaya tuseme nini sasa? Tutabeba ndizi na senene humo tupeleke masokoni. Umeme ukiwaka kutoka bwawa la Mwalimu Nyerere? Ni kazi yako hiyo, chief engineer! Daraja la Busisi? Wana kanda ya ziwa umetuachia kumbukimbu kubwa sana, sengerema itakuwa, Geita, Mwanza, Kagera, Musoma, na umeme wa Rusumo, ni wewe Mama.

Tuko na wewe 2024, tukiwa na jembe kuelekea mashambani kuzalisha mali, na nyundo kwenye shughuli zetu za viwanda, biashara, na mengine mengi.

Unaukumbuka ule wimbo wa Kigoma mbali kwa wali ni karibu? Sasa hata bila wali, Kigoma, Katavi, Rukwa imefunguka kwa kupitia Mbeya au Tabora. Lami imechapwa ikachapika kwa barabara zote.

#ChamaKikoKazini


2024 twende tukajenge nchi yetu kwa nguvu zaidi na weledi mkubwa.
Hakuna kiongozi hapa. Tumevuka kwa kudra za mungu. Kwanini asiondoke hata leo?ni Wa hovyo kuliko hata hovyo yenyewe.
 
Back
Top Bottom