mwita ke mwita
JF-Expert Member
- Aug 13, 2010
- 8,058
- 3,765
- Thread starter
- #61
nipe email nikurushie kwenye dropboxNataka hizi nyimbo za X-mass za zamani za kiswahili...
nipe email nikurushie kwenye dropboxNataka hizi nyimbo za X-mass za zamani za kiswahili...
nipe email nikurushie kwenye dropbox
nipe email nikurushie kwenye dropbox
Hako kawimbo nikikasikia afu nikaunganisha na haka....
Ishara kubwa imeonekana mbinguuuuni
(ambapo), mwanamke aliyevikwa jua
(Pia) Na mwezi chini ya miguu yake,
Na Taji la nyoya kumi na mbili,
Juu ya kichwa chaaaaaakeee....
Huwa napata faraja sana wallah.....
Wakulu xmas imekaribia, na tuimbe sote
Malaika Gabrieli alitumwa na Mungu kwenda mpaka mji wa Galilayaaaaa......
Jina lake Nazaretiiiii.....
Kwa mwanamwali bikira (kwa mwanamwali bikira) Kwa mwanamwali bikiraaaaa.....
Aliyekuwa ameposwa na Yusufu (na Yusufu), wa ukoo wa Daudiiiii.....
Jina lake bikira huyo alikuwa Mariamuuuuuu....
Akaingia nyumbani kwake akasema...
Salamu Maria umejaa Neema (salamu Maria)
Umebarikiwa kuliko wanawake wote................................................ (Am sorry Kongosho)
Na Yesu mzao wa Tumbo lako amebarikiwa..............
Ah mimi bana, wacha tu nilale sasa
CC: Kaizer (kwa utekelezaji), Fixed Point, Kongosho, mwita ke mwita, ram
Na wakatoliki wote wenye mapenzi mema.
Bwana awee naaaaanyiiiiiiiii.....
Nendeni na amaaaaaniiiiiiii......
Na haka tena...
Mbaaaali kuuleee naaaasikiaa,
Maaalaikaa waaa Mbiiiinguniiiii,
Wakiimba weeeeengi pia,
Wiiimbo huoo juu aaaaanganiiii....
Glooooooo oooooooh ooooooooh ooooooooriaaaaaa
In excelsis deeeeeooooooo ooooooooo
Oooooooo oooooooooh oooooooh oooooooooriaaaaaaa
In exelsis Deeeeeoooooooo
Wachunga tuuuaaambieni
Sababu ya wiiiimboooo huooooo
Mwenye kwimbiwaaaaa ni naaani,
Juuu ya nani siiiifaaa hizooooo
Je hamjuii jaaambo kuuuuu
Laa kuzaliwaaa mwooookoziii
Saabaabuu yaa wiiiimbo huuuu
Niii kumshukuruu mwooookoziiii
Kaizer hakikisha unapiga ile ma kroo baa pale chini kwa kiibodi. Fixed Point sauti ya kwanza, Kongosho ya pili, mwita ke mwita ya tatu..... vyote vilivyobaki niachieni ODM.
CC: Arushaone, Filipo, PakaJimmy
nilikamatwa kidogo rafiki...
but kusema kweli nazimikia sana nyimbo za huyu Babu. Nimeziimba sana mpaka naziimba bila kitabu, lol!
Mungu ambariki sana huyu m'baba na mtumishi wa Mungu kwa kuweka landmark kwenye ulimwengu wa Kanisa Katoliki.Kwa wale wanaomfahamu mzee huyu yuko pande za ifakara, ni maarufu ndani ya kanisa katoliki hasa kwa kutunga nyimbo nzuri.
Ametunga nyimbo nzuri nyingi sana hasa za Bikira Maria na nyingine nyingi, mzee huyu ni mfano wa kuigwa licha ya umri wake mkubwa na changamoto zinazomkabili bado ameendelea kumtumikia Mungu kupitia uimbaji na utunzi.
Happy birthday kocha mwarabu.
Mungu ambariki sana huyu m'baba na mtumishi wa Mungu kwa kuweka landmark kwenye ulimwengu wa Kanisa Katoliki.
Nyimbo zake kweli ni za hisia sana na sidhani kama kuna mkatoliki ambaye hazijui!
Kinapofika kipindi cha Kwaresima huwa nikisikia wimbo huu hapa chini nakosa uvumilivu, nanyong'onyea sana!
cc: Asprin, Blaki Womani, Filipo, Kaizer, Kongosho mwita ke mwita Lily Flower
WAKUPELEKA HUKUMUNI
cc PakaJimmy nota umeziona?Mungu ambariki sana huyu m'baba na mtumishi wa Mungu kwa kuweka landmark kwenye ulimwengu wa Kanisa Katoliki.
Nyimbo zake kweli ni za hisia sana na sidhani kama kuna mkatoliki ambaye hazijui!
Kinapofika kipindi cha Kwaresima huwa nikisikia wimbo huu hapa chini nakosa uvumilivu, nanyong'onyea sana!
cc: Asprin, Blaki Womani, Filipo, Kaizer, Kongosho mwita ke mwita Lily Flower
WAKUPELEKA HUKUMUNI
![]()
"wakupeleka hukumuni Yesu, Ili uamuliwe na mtu,,"
View attachment 124984
Naam. Maneno mazito sana
View attachment 124983cc PakaJimmy nota umeziona?[/QUO. -------- amesema moyoni hakuna Mungu/ wametenda uovu na ufisadi na kuchukiza, Toka Mbinguni Mungu aliwachungulia wanadamu/ aonekane kama yuko mtu mwenye akili
amtafutaye Mungu.
2. Ee Mungu kwa jina lako utuokoe/ na kwa uweza wako unifanyie hukumu, Ee Mungu uyasikie
maombi yangu/ uyasikilize maneno ya kinywa changu.
TE]
Hako kawimbo nikikasikia afu nikaunganisha na haka....
Ishara kubwa imeonekana mbinguuuuni
(ambapo), mwanamke aliyevikwa jua
(Pia) Na mwezi chini ya miguu yake,
Na Taji la nyoya kumi na mbili,
Juu ya kichwa chaaaaaakeee....
Huwa napata faraja sana wallah.....
Wakulu xmas imekaribia, na tuimbe sote
Malaika Gabrieli alitumwa na Mungu kwenda mpaka mji wa Galilayaaaaa......
Jina lake Nazaretiiiii.....
Kwa mwanamwali bikira (kwa mwanamwali bikira) Kwa mwanamwali bikiraaaaa.....
Aliyekuwa ameposwa na Yusufu (na Yusufu), wa ukoo wa Daudiiiii.....
Jina lake bikira huyo alikuwa Mariamuuuuuu....
Akaingia nyumbani kwake akasema...
Salamu Maria umejaa Neema (salamu Maria)
Umebarikiwa kuliko wanawake wote................................................ (Am sorry Kongosho)
Na Yesu mzao wa Tumbo lako amebarikiwa..............
Ah mimi bana, wacha tu nilale sasa
CC: Kaizer (kwa utekelezaji), Fixed Point, Kongosho, mwita ke mwita, ram
Na wakatoliki wote wenye mapenzi mema.
Bwana awee naaaaanyiiiiiiiii.....
Nendeni na amaaaaaniiiiiiii......
Na haka tena...
Mbaaaali kuuleee naaaasikiaa,
Maaalaikaa waaa Mbiiiinguniiiii,
Wakiimba weeeeengi pia,
Wiiimbo huoo juu aaaaanganiiii....
Glooooooo oooooooh ooooooooh ooooooooriaaaaaa
In excelsis deeeeeooooooo ooooooooo
Oooooooo oooooooooh oooooooh oooooooooriaaaaaaa
In exelsis Deeeeeoooooooo
Wachunga tuuuaaambieni
Sababu ya wiiiimboooo huooooo
Mwenye kwimbiwaaaaa ni naaani,
Juuu ya nani siiiifaaa hizooooo
Je hamjuii jaaambo kuuuuu
Laa kuzaliwaaa mwooookoziii
Saabaabuu yaa wiiiimbo huuuu
Niii kumshukuruu mwooookoziiii
Kaizer hakikisha unapiga ile ma kroo baa pale chini kwa kiibodi. Fixed Point sauti ya kwanza, Kongosho ya pili, mwita ke mwita ya tatu..... vyote vilivyobaki niachieni ODM.
CC: Arushaone, Filipo, PakaJimmy
Huu wimbo nikiusikiliza huwa natafakari sana. nikiusikia na ule
Mateso yako ewe Yesu
Yametokana na dhambi
Yametokana na dhambi zetu sisi
Sisi wanadamu
Ngoja nikaungame asee.
Kwa wale wanaomfahamu mzee huyu yuko pande za ifakara, ni maarufu ndani ya kanisa katoliki hasa kwa kutunga nyimbo nzuri.
Ametunga nyimbo nzuri nyingi sana hasa za Bikira Maria na nyingine nyingi, mzee huyu ni mfano wa kuigwa licha ya umri wake mkubwa na changamoto zinazomkabili bado ameendelea kumtumikia Mungu kupitia uimbaji na utunzi.
Happy birthday kocha mwarabu.
Kongosho acha kabisa kipindi cha kwaresma na hizo nyimbo zinabadilisha matendo lakini baada ya hapo mmmhhhAfu ongeza na
Asilegeeee moyowe, Asitokweee machozii
Kwa sababu kumpendani, nani mfungwa moyoni
Aliwaaambia basi, nitakaye mbusu ndiye
Mtwaeni na kwa upesi, Yuda nani siye
Kweli Xmass hii isinipite bila kubadilika moyoni
humu ndani mnajua tunaweza anzisha kwaya?
JF kwaya....
naona waimbaji wa kumwaga humu...... yaani ninapokuwa kanisani kama siimbi kwaya najiona kama sijasali. kweli tunaposema "Anayeimba anasali mara mbili"
cc. Asprin, Kaizer, Kongosho, Blaki Womani, PakaJimmy, mwita ke mwita, Arushaone, Filipo, Lily Flower, Mamndenyi, tedo, ram, Ablessed, karatu boy, na wengine
humu ndani mnajua tunaweza anzisha kwaya?
JF kwaya....
naona waimbaji wa kumwaga humu...... yaani ninapokuwa kanisani kama siimbi kwaya najiona kama sijasali. kweli tunaposema "Anayeimba anasali mara mbili"
cc. Asprin, Kaizer, Kongosho, Blaki Womani, PakaJimmy, mwita ke mwita, Arushaone, Filipo, Lily Flower, Mamndenyi, tedo, ram, Ablessed, karatu boy, na wengine
Hili ni wazo zurihumu ndani mnajua tunaweza anzisha kwaya?
JF kwaya....
naona waimbaji wa kumwaga humu...... yaani ninapokuwa kanisani kama siimbi kwaya najiona kama sijasali. kweli tunaposema "Anayeimba anasali mara mbili"
cc. Asprin, Kaizer, Kongosho, Blaki Womani, PakaJimmy, mwita ke mwita, Arushaone, Filipo, Lily Flower, Mamndenyi, tedo, ram, Ablessed, karatu boy, na wengine
humu ndani mnajua tunaweza anzisha kwaya?
JF kwaya....
naona waimbaji wa kumwaga humu...... yaani ninapokuwa kanisani kama siimbi kwaya najiona kama sijasali. kweli tunaposema "Anayeimba anasali mara mbili"
cc. Asprin, Kaizer, Kongosho, Blaki Womani, PakaJimmy, mwita ke mwita, Arushaone, Filipo, Lily Flower, Mamndenyi, tedo, ram, Ablessed, karatu boy, na wengine
mimi nitakuwa jembe la sauti ya tatuhumu ndani mnajua tunaweza anzisha kwaya?
JF kwaya....
naona waimbaji wa kumwaga humu...... yaani ninapokuwa kanisani kama siimbi kwaya najiona kama sijasali. kweli tunaposema "Anayeimba anasali mara mbili"
cc. Asprin, Kaizer, Kongosho, Blaki Womani, PakaJimmy, mwita ke mwita, Arushaone, Filipo, Lily Flower, Mamndenyi, tedo, ram, Ablessed, karatu boy, na wengine
humu ndani mnajua tunaweza anzisha kwaya?
JF kwaya....
naona waimbaji wa kumwaga humu...... yaani ninapokuwa kanisani kama siimbi kwaya najiona kama sijasali. kweli tunaposema "Anayeimba anasali mara mbili"
cc. Asprin, Kaizer, Kongosho, Blaki Womani, PakaJimmy, mwita ke mwita, Arushaone, Filipo, Lily Flower, Mamndenyi, tedo, ram, Ablessed, karatu boy, na wengine