Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,302
- 96,530
Hahahahahaaaaa.... dah!!Nataka hizi nyimbo za X-mass za zamani za kiswahili...
Hahahahahaaaaa.... dah!!Nataka hizi nyimbo za X-mass za zamani za kiswahili...
Lahaulaaaa.....Haka kawimbo huwa kanapigwa baada ya Kukomnika....Basi kanisa zima lnarindimba kwa sauti mwanana na kinanda safi....
Uwiiii hapo nipo kanisa langu la nyumbani Kilema misa ya usiku..
Ngoja nimkaribishe mwanajumuiya Sky Eclat kwenye hili dimbwi... najua atafurahia akiifuatilia hii thread pendwa.Hako kawimbo nikikasikia afu nikaunganisha na haka....
Ishara kubwa imeonekana mbinguuuuni
(ambapo), mwanamke aliyevikwa jua
(Pia) Na mwezi chini ya miguu yake,
Na Taji la nyoya kumi na mbili,
Juu ya kichwa chaaaaaakeee....
Huwa napata faraja sana wallah.....
Wakulu xmas imekaribia, na tuimbe sote
Malaika Gabrieli alitumwa na Mungu kwenda mpaka mji wa Galilayaaaaa......
Jina lake Nazaretiiiii.....
Kwa mwanamwali bikira (kwa mwanamwali bikira) Kwa mwanamwali bikiraaaaa.....
Aliyekuwa ameposwa na Yusufu (na Yusufu), wa ukoo wa Daudiiiii.....
Jina lake bikira huyo alikuwa Mariamuuuuuu....
Akaingia nyumbani kwake akasema...
Salamu Maria umejaa Neema (salamu Maria)
Umebarikiwa kuliko wanawake wote................................................ (Am sorry Kongosho)
Na Yesu mzao wa Tumbo lako amebarikiwa..............
Ah mimi bana, wacha tu nilale sasa
CC: Kaizer (kwa utekelezaji), Fixed Point, Kongosho, mwita ke mwita, ram
Na wakatoliki wote wenye mapenzi mema.
Bwana awee naaaaanyiiiiiiiii.....
Nendeni na amaaaaaniiiiiiii......
Shukrani babu, na ule mwimbo wa "Sisi wana wa dunia lazima tukumbuke maneno aliyosema mama Maria, alipowatokea watoto wa Fatima, alisema tu sali tusali rosary tupate Amani na tuwaombee wale wakosefu wasio na mwokozi na wasio mwamini Yesu mwokozi.... Nani aliimba huu babu?Ngoja nimkaribishe mwanajumuiya Sky Eclat kwenye hili dimbwi... najua atafurahia akiifuatilia hii thread pendwa.
Kwaya ya Mtakatifu Cecilia, Parokia ya Mt. Maximilian Kolbe, Mwenge.Shukrani babu, na ule mwimbo wa "Sisi wana wa dunia lazima tukumbuke maneno aliyosema mama Maria, alipowatokea watoto wa Fatima, alisema tu sali tusali rosary tupate Amani na tuwaombee wale wakosefu wasio na mwokozi na wasio mwamini Yesu mwokozi.... Nani aliimba huu babu?
Asante sana babu.Kwaya ya Mtakatifu Cecilia, Parokia ya Mt. Maximilian Kolbe, Mwenge.
Inawezekana alikuwaga Polisi zamani sema aliwahi kustaafu lutokana na sabau za kiafya (ninavyosikia)Ndugu wanabodi naomba mnifahamishe juu ya huyu babu ajulikanae kwa jina la Mwarabu. Miaka ya sabina na kuendelea kulikuwa na bwana mmoja akijulikana kwa jina la Mwarabu akifanya kazi POLICE SIGNALS je inawezekana ndiye huyu babu? Sura yake inafanana na huyu aliyeonyeshwa kwenye picha!! Nitashukuru kwa ufafanuzi.
Inawezekana alikuwaga Polisi zamani sema aliwahi kustaafu lutokana na sabau za kiafya (ninavyosikia)
kwaya ya mtakatifu secilia mwengeShukrani babu, na ule mwimbo wa "Sisi wana wa dunia lazima tukumbuke maneno aliyosema mama Maria, alipowatokea watoto wa Fatima, alisema tu sali tusali rosary tupate Amani na tuwaombee wale wakosefu wasio na mwokozi na wasio mwamini Yesu mwokozi.... Nani aliimba huu babu?
Vipi kwa sasa imani imefifia kidogo?Aisee, umenikumbusha enzi hizo
Imani inawaka moyoni, dunia mbaya sana
Kwa maisha ya sasa lazima imani ififie kidogoVipi kwa sasa imani imefifia kidogo?
Kama Mkatoliki hili tangazo linanisikitisha sana.Hivi kanisa linashindwa kumsaidia Mtunzi wetu huyu akamaliza salama uzee wake mpaka apitishe bakuli kama hivi.
Ni kweli mkuu hilo tangazo linadhalilisha Kanisa hasa Jimbo la IfakaraLEO MZEE MWARABU ANATIMIZA MIAKA 75
huu wimbo naupenda sanaHebu tukumbushe nyimbo chache alizotunga basi.
Nakupenda Maria
Mama uliye bora
Furaha yangu daima
Vikae nawe daima
Nishike neema zako
Nifike juu mbinguni
loool..nimekumbuka mbaliInakuwaje tunasikia maneno, wanayosema, kwa lugha yetu wenyewe....
Tunasikia mambo haya ya Mungu, wanayosema, kwa llugha yetu wenyewe....
Wao ni Wagalilaya, nasi ni wa makabila, ya kutoka nchi mbali mbali... (duniani)...
Ina maana gani? linashangaza jambo hilo......
enzi hizo Rev. Sr.......