Hongera mzee Paschal Florian Mwarabu kutimiza miaka 70

Hongera mzee Paschal Florian Mwarabu kutimiza miaka 70

Hivi Fixed Point, Kongosho na ram iilikuwaje msiniite kwen sredi hii adhimu?

Hata hivyo asanten kwa Kumbukumbu nzuri
PETER FLORIAN asante kwa picha ya mzee wetu "Kocha" Mwarabu. Natumai hommir wangu Asprin atafurahi sana.

Huyu.ni kati ya wazee wachache sana watunzi walioko hai kwa sasa. Nyimbo zake zina identity ya pekee kama.za.mzee Makoye RIP.

Ntamuwish happy besidei next year Mungu akituweka hai. Sada hivi naona nilichelewa saana.
 
Last edited by a moderator:
attachment.php

Thanks Jabulani mambo ya pasaka hayo...
 
Last edited by a moderator:
Kwa wale wanaomfahamu mzee huyu yuko pande za ifakara, ni maarufu ndani ya kanisa katoliki hasa kwa kutunga nyimbo nzuri.

Ametunga nyimbo nzuri nyingi sana hasa za Bikira Maria na nyingine nyingi, mzee huyu ni mfano wa kuigwa licha ya umri wake mkubwa na changamoto zinazomkabili bado ameendelea kumtumikia Mungu kupitia uimbaji na utunzi.

Happy birthday kocha mwarabu.

tukianza hivi na jinsi tulivyo wengi humu nchini na duniani, basi tutakua na sredi kama laki aisee
 
Kwenye red: Maria alishafariki siku nyingi, atawezaje sasa kukuombea kwa mwanae Yesu?

Kwenye green: Maria ambaye alikuwa mwanadamu kama wewe atakusaidiaje dhambi zako sasa?

YESU KRISTO ALIKUFA MSALABANI KWA AJILI YA DHAMBI ZANGU MIMI, WEWE NA WATU WOTE. NI JUKUMU LA KILA MWENYE PUMZI KUTUBU NA KUIAMINI INJILI...KUMKIRI YESU KUWA NI BWANA NA MWOKOZI.

YESU KRISTO YU HAIIIIIIII!!!!!!
Mkuu hii unaionaje tunaposema Mungu wa Ibrahimu , Mungu wa Isaka na Mungu wa Yakobo je yeye ni Mungu wa wafu???????????? Na unasemaje pale ambapo alipotokea Musa na Eliya na Petro akasema tujenge vibanda 3 .Naomba unielewe vizuri siko kwa ajili ya kurumbana bali nataka tu kukusaidia kidogo . Unajua mambo ya kiroho ni mapana mno na inahitaji subira ktk kuyatambua tena Paul amesema mengine tutayajua tukifika huko. Mchangiaji hakuonyesha kama lbd hamuamini Yesu so ni vizuri kama unamashaka juu ya jambo flani uliza upewe maana.Najua una mashaka juu ya mambo mengi ndani ya hili kanisa kitu ambacho sio kibaya.
 
Sikujua kama na wewe ni mlokole wa kikatoliki
Yaani hizi nyimbo zinaleta furaha na huzuni kwa pamoja


Na haya majilio na krismas yetu pendwa, nilikuwa sikosi kwenye maigizo ya krismas, tena ile misa ya usiku.


Na huu wimbo

Kimya bara na bahariniiii

Kimya mbingu na duniaaaaaa

Bwana na Muumba wetu, mtoto Yesu asinziiiiaaaaa

Amelazwa manyasini, mchanga, mkiwa pia mnyoooongeee

Yoseph na Mariammm wanamtunza mtoto Yeeesuu

Hivi Fixed Point, Kongosho na ram iilikuwaje msiniite kwen sredi hii adhimu?

Hata hivyo asanten kwa Kumbukumbu nzuri
PETER FLORIAN asante kwa picha ya mzee wetu "Kocha" Mwarabu. Natumai hommir wangu Asprin atafurahi sana.

Huyu.ni kati ya wazee wachache sana watunzi walioko hai kwa sasa. Nyimbo zake zina identity ya pekee kama.za.mzee Makoye RIP.

Ntamuwish happy besidei next year Mungu akituweka hai. Sada hivi naona nilichelewa saana.
 
Sikujua kama na wewe ni mlokole wa kikatoliki
Yaani hizi nyimbo zinaleta furaha na huzuni kwa pamoja


Na haya majilio na krismas yetu pendwa, nilikuwa sikosi kwenye maigizo ya krismas, tena ile misa ya usiku.


Na huu wimbo

Kimya bara na bahariniiii

Kimya mbingu na duniaaaaaa

Bwana na Muumba wetu, mtoto Yesu asinziiiiaaaaa

Amelazwa manyasini, mchanga, mkiwa pia mnyoooongeee

Yoseph na Mariammm wanamtunza mtoto Yeeesuu


yaani Kongosho umenibariki sana.....Xmas bila huo wimbo is not the same........


Mtafute Fixed Point na ram tuingie PM tusogoe mambo yetu za enzi hizo bana, sawa?
 
Last edited by a moderator:
Hebu tukumbushe nyimbo chache alizotunga basi.

Nakupenda Maria
Mama uliye bora
Furaha yangu daima
Vikae nawe daima
Nishike neema zako
Nifike juu mbinguni

Hako kawimbo nikikasikia afu nikaunganisha na haka....

Ishara kubwa imeonekana mbinguuuuni
(ambapo), mwanamke aliyevikwa jua
(Pia) Na mwezi chini ya miguu yake,
Na Taji la nyoya kumi na mbili,
Juu ya kichwa chaaaaaakeee....

Huwa napata faraja sana wallah.....

Wakulu xmas imekaribia, na tuimbe sote

Malaika Gabrieli alitumwa na Mungu kwenda mpaka mji wa Galilayaaaaa......
Jina lake Nazaretiiiii.....
Kwa mwanamwali bikira (kwa mwanamwali bikira) Kwa mwanamwali bikiraaaaa.....
Aliyekuwa ameposwa na Yusufu (na Yusufu), wa ukoo wa Daudiiiii.....
Jina lake bikira huyo alikuwa Mariamuuuuuu....

Akaingia nyumbani kwake akasema...
Salamu Maria umejaa Neema (salamu Maria)
Umebarikiwa kuliko wanawake wote................................................ (Am sorry Kongosho)
Na Yesu mzao wa Tumbo lako amebarikiwa..............


Ah mimi bana, wacha tu nilale sasa

CC: Kaizer (kwa utekelezaji), Fixed Point, Kongosho, mwita ke mwita, ram
Na wakatoliki wote wenye mapenzi mema.

Bwana awee naaaaanyiiiiiiiii.....
Nendeni na amaaaaaniiiiiiii......
 
Sikujua kama na wewe ni mlokole wa kikatoliki
Yaani hizi nyimbo zinaleta furaha na huzuni kwa pamoja


Na haya majilio na krismas yetu pendwa, nilikuwa sikosi kwenye maigizo ya krismas, tena ile misa ya usiku.


Na huu wimbo

Kimya bara na bahariniiii

Kimya mbingu na duniaaaaaa

Bwana na Muumba wetu, mtoto Yesu asinziiiiaaaaa

Amelazwa manyasini, mchanga, mkiwa pia mnyoooongeee

Yoseph na Mariammm wanamtunza mtoto Yeeesuu

Na haka tena...

Mbaaaali kuuleee naaaasikiaa,
Maaalaikaa waaa Mbiiiinguniiiii,
Wakiimba weeeeengi pia,
Wiiimbo huoo juu aaaaanganiiii....

Glooooooo oooooooh ooooooooh ooooooooriaaaaaa
In excelsis deeeeeooooooo ooooooooo
Oooooooo oooooooooh oooooooh oooooooooriaaaaaaa
In exelsis Deeeeeoooooooo

Wachunga tuuuaaambieni
Sababu ya wiiiimboooo huooooo
Mwenye kwimbiwaaaaa ni naaani,
Juuu ya nani siiiifaaa hizooooo

Je hamjuii jaaambo kuuuuu
Laa kuzaliwaaa mwooookoziii
Saabaabuu yaa wiiiimbo huuuu
Niii kumshukuruu mwooookoziiii
Kaizer hakikisha unapiga ile ma kroo baa pale chini kwa kiibodi. Fixed Point sauti ya kwanza, Kongosho ya pili, mwita ke mwita ya tatu..... vyote vilivyobaki niachieni ODM.

CC: Arushaone, Filipo, PakaJimmy
 
Last edited by a moderator:
Na haka tena...

Mbaaaali kuuleee naaaasikiaa,
Maaalaikaa waaa Mbiiiinguniiiii,
Wakiimba weeeeengi pia,
Wiiimbo huoo juu aaaaanganiiii....

Glooooooo oooooooh ooooooooh ooooooooriaaaaaa
In excelsis deeeeeooooooo ooooooooo
Oooooooo oooooooooh oooooooh oooooooooriaaaaaaa
In exelsis Deeeeeoooooooo

Wachunga tuuuaaambieni
Sababu ya wiiiimboooo huooooo
Mwenye kwimbiwaaaaa ni naaani,
Juuu ya nani siiiifaaa hizooooo

Je hamjuii jaaambo kuuuuu
Laa kuzaliwaaa mwooookoziii
Saabaabuu yaa wiiiimbo huuuu
Niii kumshukuruu mwooookoziiii
Kaizer hakikisha unapiga ile ma kroo baa pale chini kwa kiibodi. Fixed Point sauti ya kwanza, Kongosho ya pili, mwita ke mwita ya tatu..... vyote vilivyobaki niachieni ODM.

CC: Arushaone, Filipo, PakaJimmy
jamani krismasi hiyo ndio imekaribia mambo ya glooooooo ooo ooo ria na haya twendeni wote kule bethlehemu tukamwon mkombozi weetu
 
Hako kawimbo nikikasikia afu nikaunganisha na haka....

Ishara kubwa imeonekana mbinguuuuni
(ambapo), mwanamke aliyevikwa jua
(Pia) Na mwezi chini ya miguu yake,
Na Taji la nyoya kumi na mbili,
Juu ya kichwa chaaaaaakeee....

Huwa napata faraja sana wallah.....

Wakulu xmas imekaribia, na tuimbe sote

Malaika Gabrieli alitumwa na Mungu kwenda mpaka mji wa Galilayaaaaa......
Jina lake Nazaretiiiii.....
Kwa mwanamwali bikira (kwa mwanamwali bikira) Kwa mwanamwali bikiraaaaa.....
Aliyekuwa ameposwa na Yusufu (na Yusufu), wa ukoo wa Daudiiiii.....
Jina lake bikira huyo alikuwa Mariamuuuuuu....

Akaingia nyumbani kwake akasema...
Salamu Maria umejaa Neema (salamu Maria)
Umebarikiwa kuliko wanawake wote................................................ (Am sorry Kongosho)
Na Yesu mzao wa Tumbo lako amebarikiwa..............


Ah mimi bana, wacha tu nilale sasa

CC: Kaizer (kwa utekelezaji), Fixed Point, Kongosho, mwita ke mwita, ram
Na wakatoliki wote wenye mapenzi mema.

Bwana awee naaaaanyiiiiiiiii.....
Nendeni na amaaaaaniiiiiiii......
huu wa malaika gabrieli naupenda sana yaani hadi raha
 
Na haka tena...

Mbaaaali kuuleee naaaasikiaa,
Maaalaikaa waaa Mbiiiinguniiiii,
Wakiimba weeeeengi pia,
Wiiimbo huoo juu aaaaanganiiii....

Glooooooo oooooooh ooooooooh ooooooooriaaaaaa
In excelsis deeeeeooooooo ooooooooo
Oooooooo oooooooooh oooooooh oooooooooriaaaaaaa
In exelsis Deeeeeoooooooo

Wachunga tuuuaaambieni
Sababu ya wiiiimboooo huooooo
Mwenye kwimbiwaaaaa ni naaani,
Juuu ya nani siiiifaaa hizooooo

Je hamjuii jaaambo kuuuuu
Laa kuzaliwaaa mwooookoziii
Saabaabuu yaa wiiiimbo huuuu
Niii kumshukuruu mwooookoziiii
Kaizer hakikisha unapiga ile ma kroo baa pale chini kwa kiibodi. Fixed Point sauti ya kwanza, Kongosho ya pili, mwita ke mwita ya tatu..... vyote vilivyobaki niachieni ODM.

CC: Arushaone, Filipo, PakaJimmy

Nataka hizi nyimbo za X-mass za zamani za kiswahili...
 
Last edited by a moderator:
Na haka tena...

Mbaaaali kuuleee naaaasikiaa,
Maaalaikaa waaa Mbiiiinguniiiii,
Wakiimba weeeeengi pia,
Wiiimbo huoo juu aaaaanganiiii....

Glooooooo oooooooh ooooooooh ooooooooriaaaaaa
In excelsis deeeeeooooooo ooooooooo
Oooooooo oooooooooh oooooooh oooooooooriaaaaaaa
In exelsis Deeeeeoooooooo

Wachunga tuuuaaambieni
Sababu ya wiiiimboooo huooooo
Mwenye kwimbiwaaaaa ni naaani,
Juuu ya nani siiiifaaa hizooooo

Je hamjuii jaaambo kuuuuu
Laa kuzaliwaaa mwooookoziii
Saabaabuu yaa wiiiimbo huuuu
Niii kumshukuruu mwooookoziiii
Kaizer hakikisha unapiga ile ma kroo baa pale chini kwa kiibodi. Fixed Point sauti ya kwanza, Kongosho ya pili, mwita ke mwita ya tatu..... vyote vilivyobaki niachieni ODM.

CC: Arushaone, Filipo, PakaJimmy

Umenikumbusha kwenda jumuia! Duh!!!!?
 
Na haka tena...

Mbaaaali kuuleee naaaasikiaa,
Maaalaikaa waaa Mbiiiinguniiiii,
Wakiimba weeeeengi pia,
Wiiimbo huoo juu aaaaanganiiii....

Glooooooo oooooooh ooooooooh ooooooooriaaaaaa
In excelsis deeeeeooooooo ooooooooo
Oooooooo oooooooooh oooooooh oooooooooriaaaaaaa
In exelsis Deeeeeoooooooo

Wachunga tuuuaaambieni
Sababu ya wiiiimboooo huooooo
Mwenye kwimbiwaaaaa ni naaani,
Juuu ya nani siiiifaaa hizooooo

Je hamjuii jaaambo kuuuuu
Laa kuzaliwaaa mwooookoziii
Saabaabuu yaa wiiiimbo huuuu
Niii kumshukuruu mwooookoziiii
Kaizer hakikisha unapiga ile ma kroo baa pale chini kwa kiibodi. Fixed Point sauti ya kwanza, Kongosho ya pili, mwita ke mwita ya tatu..... vyote vilivyobaki niachieni ODM.

CC: Arushaone, Filipo, PakaJimmy

Haka kawimbo huwa kanapigwa baada ya Kukomnika....Basi kanisa zima lnarindimba kwa sauti mwanana na kinanda safi....

Uwiiii hapo nipo kanisa langu la nyumbani Kilema misa ya usiku..
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom