Hongera mzee Paschal Florian Mwarabu kutimiza miaka 70

Hongera mzee Paschal Florian Mwarabu kutimiza miaka 70

mwita ke mwita

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2010
Posts
8,058
Reaction score
3,765
Kwa wale wanaomfahamu mzee huyu yuko pande za ifakara, ni maarufu ndani ya kanisa katoliki hasa kwa kutunga nyimbo nzuri.

Ametunga nyimbo nzuri nyingi sana hasa za Bikira Maria na nyingine nyingi, mzee huyu ni mfano wa kuigwa licha ya umri wake mkubwa na changamoto zinazomkabili bado ameendelea kumtumikia Mungu kupitia uimbaji na utunzi.

Happy birthday kocha mwarabu.


attachment.php
 
Hebu tukumbushe nyimbo chache alizotunga basi.

Nakupenda Maria
Mama uliye bora
Furaha yangu daima
Vikae nawe daima
Nishike neema zako
Nifike juu mbinguni
hapo nadhani kidole kilikosea.....
nikae....
 
Picha zake sijafanikiwa kupata labda watu walio ifakara watusaidie, au kama bernard mukasa yupo humu yeye anaweza kuwa nazo
happy birthday to u mwarabu
mleta sredi tuwekee picha yake basi
 
Hii album yenye nyimbo hizi ilikuwa nzuri sana. Lol enzi hizo niko darasa la nne Agnes wa ghana kotazi alitokewa na bikira maria, tulikuwa tuaendaje kusali pale na kunywa maji ya baraka sehemu aliyokanyaga bikira maria lol


Hebu tukumbushe nyimbo chache alizotunga basi.

Nakupenda Maria
Mama uliye bora
Furaha yangu daima
Vikae nawe daima
Nishike neema zako
Nifike juu mbinguni
 
Hapybirthday Mzee Mwarabu, rusheni kapicha kamoja. Hawa wazee wanahitaji heshima wanaacha legacy nzuri.
 
He he he, hebu tupia na wewe kamoja.

Nakumbuka enzi za mafundisho ya komunio ya kwanza na kipaimara.
Inakuwaje tunasikia maneno, wanayosema, kwa lugha yetu wenyewe....
Tunasikia mambo haya ya Mungu, wanayosema, kwa llugha yetu wenyewe....
Wao ni Wagalilaya, nasi ni wa makabila, ya kutoka nchi mbali mbali... (duniani)...
Ina maana gani? linashangaza jambo hilo......


enzi hizo Rev. Sr.......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom