Arushaone
Platinum Member
- Mar 31, 2012
- 15,237
- 13,566
Na haka tena...
Mbaaaali kuuleee naaaasikiaa,
Maaalaikaa waaa Mbiiiinguniiiii,
Wakiimba weeeeengi pia,
Wiiimbo huoo juu aaaaanganiiii....
Glooooooo oooooooh ooooooooh ooooooooriaaaaaa
In excelsis deeeeeooooooo ooooooooo
Oooooooo oooooooooh oooooooh oooooooooriaaaaaaa
In exelsis Deeeeeoooooooo
Wachunga tuuuaaambieni
Sababu ya wiiiimboooo huooooo
Mwenye kwimbiwaaaaa ni naaani,
Juuu ya nani siiiifaaa hizooooo
Je hamjuii jaaambo kuuuuu
Laa kuzaliwaaa mwooookoziii
Saabaabuu yaa wiiiimbo huuuu
Niii kumshukuruu mwooookoziiii
Kaizer hakikisha unapiga ile ma kroo baa pale chini kwa kiibodi. Fixed Point sauti ya kwanza, Kongosho ya pili, mwita ke mwita ya tatu..... vyote vilivyobaki niachieni ODM.
CC: Arushaone, Filipo, PakaJimmy
ODM JF kuna raha zake mkuu. Afu kumbuka nakudai.