Hongera mzee Paschal Florian Mwarabu kutimiza miaka 70

Hongera mzee Paschal Florian Mwarabu kutimiza miaka 70

Jamani wadau wenzangu wapenzi wa nyimbo za watunzi hawa wakongwe kama Fr. D. Ntapambata, B. Byabato, F. Kashumba, B. Msike, J. Nkomago, Fr. S. Mutajwaha, J. Mgandu wasilianeni na mimi kwa namba +255752220649 tuwekeane utaratibu wa kurushiana nyimbo hizi ila mtachangia gharama kidogo maana mimi nimezinunua nairobi ghali sana na zina copyright ya Daughters of St. Pauline.

long live mzee Pascal Mwarabu Baba Heri umeandika jambo la maana nitakupm email.
 
Last edited by a moderator:
wadau wa uzi huu jana 23/04/2015 kwa mara nyingine tunamshukuru Mungu mzee wetu Pascal Frolian Mwarabu katimiza miaka 72. Tunamshukuru Mungu kwakuendelea kumjalia umri zaidi na pia kumponya maradhi yaliyokuwa yana mkabili.
Asprin Kaizer ram @fp mwita ke mwita Kongosho PETER FLORIAN

Hongera zake, Mungu azidi kumpigania, Biblia inasema siku zetu za kuishi ni miaka 70, na 80 ikiwa tuna nguvu.....
 
Last edited by a moderator:
Imani kitu cha ajabu sana sasa Mama Maria akikutokea ndio nini ?.Tafadhali sana muwe mnasoma Biblia Takatifu mafundisho ya kimapokeo yanafisha ubongo siku ukijagundua ulikuwa unapotea anajikuta umeangukia kwa watu wahuni kama Gwajima,Mzee wa Upako......

Hii album yenye nyimbo hizi ilikuwa nzuri sana. Lol enzi hizo niko darasa la nne Agnes wa ghana kotazi alitokewa na bikira maria, tulikuwa tuaendaje kusali pale na kunywa maji ya baraka sehemu aliyokanyaga bikira maria lol
 
Nimebarikiwa sana na huu uzi , kumbe jf ina wadau wa muziki mtakatifu aisee, Namkubali sana mzee kocha ( P F Mwarabu)
kwa nyimbo zake za kutafakarisha na za Mama Maria. Kiukweli mzee huyu ni hazina kwa kanisa ,
namuombea kwa Mungu ampe faraja kwa changamoto anazopitia katika masumbuko yake . Hongera sana mwitake mwita kwa uzi mzuri.
Ikiwezekana tufahamiane wadau wa muziki mtakatifu...
 
Imani kitu cha ajabu sana sasa Mama Maria akikutokea ndio nini ?.Tafadhali sana muwe mnasoma Biblia Takatifu mafundisho ya kimapokeo yanafisha ubongo siku ukijagundua ulikuwa unapotea anajikuta umeangukia kwa watu wahuni kama Gwajima,Mzee wa Upako......
mkuu hata biblia ni mapokeo, kanisa katoliki halijatengenezwa na biblia kama makanisa yenu,
 
Kwa wale wanaomfahamu mzee huyu yuko pande za ifakara, ni maarufu ndani ya kanisa katoliki hasa kwa kutunga nyimbo nzuri.

Ametunga nyimbo nzuri nyingi sana hasa za Bikira Maria na nyingine nyingi, mzee huyu ni mfano wa kuigwa licha ya umri wake mkubwa na changamoto zinazomkabili bado ameendelea kumtumikia Mungu kupitia uimbaji na utunzi.

Happy birthday kocha mwarabu.


attachment.php

Nazipenda sana nyimbo zilizotungwa na huyu mzee Pascal Mwarabu,shukrani mkuu mwita @ke mwita kwa kutuwekea picha yake,nilikuwa natamani sana niione japo picha yake huyu mtunzi,ana nyimbo nzuri mno.
 
Last edited by a moderator:
Imani kitu cha ajabu sana sasa Mama Maria akikutokea ndio nini ?.Tafadhali sana muwe mnasoma Biblia Takatifu mafundisho ya kimapokeo yanafisha ubongo siku ukijagundua ulikuwa unapotea anajikuta umeangukia kwa watu wahuni kama Gwajima,Mzee wa Upako......

hukielewi unachotaka kukibishia.
 
Jamani wadau wenzangu wapenzi wa nyimbo za watunzi hawa wakongwe kama Fr. D. Ntapambata, B. Byabato, F. Kashumba, B. Msike, J. Nkomago, Fr. S. Mutajwaha, J. Mgandu wasilianeni na mimi kwa namba +255752220649 tuwekeane utaratibu wa kurushiana nyimbo hizi ila mtachangia gharama kidogo maana mimi nimezinunua nairobi ghali sana na zina copyright ya Daughters of St. Pauline.

Mimi Nahitaji Instrumentals Zao na zile za kina S.Lwila na wengineo Ata kwa Hela tutaongea je zpo????
 
Mchango wa mzee Mwarabu hautasahaulika katika mziki wa kanisa Katoliki hapa Tanzania. Mungu azidi kumbaliki na kumjaza nguvu aendelee kutunga nyimbo hizi tamu.
 
Natafuta wimbo wenye haya maneno:

"Bwana hakawii kuitimiza, kuitimiza ahadi yake
Bwana hapendi Mtu yeyote apotee................"

Na ule unaopigwa Redio Tanzania wakati wa Kwaresma, una maneno haya:

Alilia kwa uchungu pale juu msalabani akakata roho kwa huzunii.
 
Hako kawimbo nikikasikia afu nikaunganisha na haka....

Ishara kubwa imeonekana mbinguuuuni
(ambapo), mwanamke aliyevikwa jua
(Pia) Na mwezi chini ya miguu yake,
Na Taji la nyoya kumi na mbili,
Juu ya kichwa chaaaaaakeee....

Huwa napata faraja sana wallah.....

Wakulu xmas imekaribia, na tuimbe sote

Malaika Gabrieli alitumwa na Mungu kwenda mpaka mji wa Galilayaaaaa......
Jina lake Nazaretiiiii.....
Kwa mwanamwali bikira (kwa mwanamwali bikira) Kwa mwanamwali bikiraaaaa.....
Aliyekuwa ameposwa na Yusufu (na Yusufu), wa ukoo wa Daudiiiii.....
Jina lake bikira huyo alikuwa Mariamuuuuuu....

Akaingia nyumbani kwake akasema...
Salamu Maria umejaa Neema (salamu Maria)
Umebarikiwa kuliko wanawake wote................................................ (Am sorry Kongosho)
Na Yesu mzao wa Tumbo lako amebarikiwa..............


Ah mimi bana, wacha tu nilale sasa

CC: Kaizer (kwa utekelezaji), Fixed Point, Kongosho, mwita ke mwita, ram
Na wakatoliki wote wenye mapenzi mema.

Bwana awee naaaaanyiiiiiiiii.....
Nendeni na amaaaaaniiiiiiii......
In
Hako kawimbo nikikasikia afu nikaunganisha na haka....

Ishara kubwa imeonekana mbinguuuuni
(ambapo), mwanamke aliyevikwa jua
(Pia) Na mwezi chini ya miguu yake,
Na Taji la nyoya kumi na mbili,
Juu ya kichwa chaaaaaakeee....

Huwa napata faraja sana wallah.....

Wakulu xmas imekaribia, na tuimbe sote

Malaika Gabrieli alitumwa na Mungu kwenda mpaka mji wa Galilayaaaaa......
Jina lake Nazaretiiiii.....
Kwa mwanamwali bikira (kwa mwanamwali bikira) Kwa mwanamwali bikiraaaaa.....
Aliyekuwa ameposwa na Yusufu (na Yusufu), wa ukoo wa Daudiiiii.....
Jina lake bikira huyo alikuwa Mariamuuuuuu....

Akaingia nyumbani kwake akasema...
Salamu Maria umejaa Neema (salamu Maria)
Umebarikiwa kuliko wanawake wote................................................ (Am sorry Kongosho)
Na Yesu mzao wa Tumbo lako amebarikiwa..............


Ah mimi bana, wacha tu nilale sasa

CC: Kaizer (kwa utekelezaji), Fixed Point, Kongosho, mwita ke mwita, ram
Na wakatoliki wote wenye mapenzi mema.

Bwana awee naaaaanyiiiiiiiii.....
Nendeni na amaaaaaniiiiiiii......
Kumbe JF kumejaa watoto the wa baba paroko hivi aisee? Daah! Safi sana. Nimewapenda sana. Nawapeni babu mwenyewe huyo hapo alikuwa bado nguvu zipo zaid
 
In

Kumbe JF kumejaa watoto the wa baba paroko hivi aisee? Daah! Safi sana. Nimewapenda sana. Nawapeni babu mweny
Screenshot_2017-03-08-09-29-15.jpg
Screenshot_2017-03-08-09-27-13.jpg
Screenshot_2017-03-08-09-27-13.jpg
ewe huyo hapo alikuwa bado nguvu zipo zaid
 

Attachments

  • Screenshot_2017-03-08-09-27-13.jpg
    Screenshot_2017-03-08-09-27-13.jpg
    8.1 KB · Views: 66
In

Kumbe JF kumejaa watoto the wa baba paroko hivi aisee? Daah! Safi sana. Nimewapenda sana. Nawapeni babu mwenyewe huyo hapo alikuwa bado nguvu zipo zaid
Ngoja kwa upendo niwaalike vijana wa kikatoliki wa kizazi kipya waungane nasi kwenye hili... naamini hapa hawatatokwa mapovu

CC" Otorong'ong'o, jiwe la majiwe Njooni tumwimbie bwana Mungu kwa shangwe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom