Hodi Dar, Nani wa kunipokea usiku huu

Hodi Dar, Nani wa kunipokea usiku huu

lete, nasikia 007 Vishu Mtata nusura amtoe pua Mbaga Jr
Mbaga Jr nilimkuta apo stend na bango lake..
246753DE-4183-4D9E-9EA2-7C29C09107A2.png
 
Nategemea kufika saa 4 za usiku huu,mwana jf aliyena usafiri naomba unipokee stand ya Magufuli,njoo pm nikupe namba Kama upo serious
Asanteni
Washakupokea au bado upo maguful terminal,sijui nimechelewa wapi!!yani hapa nipo kwenye hii gari yangu ya million 250 na scroll kwa simu yangu hii ya million 5 ndo naona uzi wako daah
 
Sio kichaka, ni pori kubwaa, km sio Hifadhi kabisaa.
😂😂😂😂😂
Amazon 😹😹😹
Ila JF siku hizi imepoa tumekua uduguu 🤣

Nimekumbuka enzi za watu kugombaniana mabwana nacheeka sana!! 🤣
Na sie tuna viranga kushadadia ugomvi hautuhusu khaaaa!!

Extrovert cazee mbaya sana wewe, ulikua unanipangia mpango wa kunila mwenyewe sijui 😹😹🤣🤣
 
Back
Top Bottom