Chunga tu kupewa alfu moja na mia nane baada ya kukunjwa usiku kuchaNategemea kufika saa 4 za usiku huu,mwana jf aliyena usafiri naomba unipokee stand ya Magufuli,njoo pm nikupe namba Kama upo serious
Asanteni
Kabisa kabisa..angeomba msaada wa pesa angepata fasta na kwenda kupumzika lodge au guest house.Watu wa hivi kuna kimoja labda walishakanyaga magonjwa hawana cha kupoteza, au ni janaume au ni binti lakini ana agenda na ana jopo la watu lipo nyuma yake kwa utapeli
Mtu mwenye shida aanze kusema
mwanaume mwenye gari! kweli? Aah
Mwambie apokee simu me namalizia mbege hapa nipate hata swagger za kuongea naye halafu naenda kumchukua š
umefika wapi mtoto mzuri?Waooooo!!!ā¤ļøā¤ļø
Unapiga miguu yote?Nategemea kufika saa 4 za usiku huu,mwana jf aliyena usafiri naomba unipokee stand ya Magufuli,njoo pm nikupe namba Kama upo serious
Asanteni
Sio kichaka, ni pori kubwaa, km sio Hifadhi kabisaa.š¹š¹š¹
JF ni kichaka chenye wanyama wakali..!!
Chiziii wee ššššKukublend mahi wanguā¦ š¹š¹
Shukuru Mungu kingekukuta kitu nakuambiaHili gari kweli limejua kunifedhehesha linaharibikaje jumapili hii na pishana na utamu hapa.
šššššKwa Dar hakuna mwanaume wa kukupokea bibie Fanya mpango upate mahali pa kulala tu. Ungekuwa mkoani zingekuja mpaka fuso
Bado yuko mlandizi sahivi, ššššUtayeenda kumpokea, please usiende kimyakimya, sema hapa ili tukiona hujaingia humu zaidi ya miezi 6. Tuombe uandikiwe R.IP kwenye ID yako. Mrembo muda umetaradadi, umeshafika? š¤
acha kina Mad Max, na 007 Vishu Mtata, Half american wapasuane hapo stendiššIntelligent businessman ule mzigo uliouagiza umeshafika Mbezi Magufuli, naomba uwashe gari uje kuuchukua chap kabla hujawahiwa na wahuni kwenda kuuharibu
Anaeenda kumpokea aende na Guta dada ana gunia mbili si mnakumbuka msimu wa mavuno huu.Utayeenda kumpokea, please usiende kimyakimya, sema hapa ili tukiona hujaingia humu zaidi ya miezi 6. Tuombe uandikiwe R.IP kwenye ID yako. Mrembo muda umetaradadi, umeshafika? š¤
Nenda baba ukabebe Bangi au Mirungi,Njoo PM