Watu wa hivi kuna kimoja labda walishakanyaga magonjwa hawana cha kupoteza, au ni janaume au ni binti lakini ana agenda na ana jopo la watu lipo nyuma yake kwa utapeliKuna mtu anaenda kuliwa kichwa huko
Sema nije kikupikea wapi?!Nategemea kufika saa 4 za usiku huu,mwana jf aliyena usafiri naomba unipokee stand ya Magufuli,njoo pm nikupe namba Kama upo serious
Asanteni
Nafikiri inakufaa wee, em changamkq fastaa mkuu.Mkuu hata blender zinaruhusiwa jtose tu
Mbavu zangu mie, WoiiiihMdada wa watu katoka njombe huko kapanda Upendo, na gunia moja ya maharage nyingine ya mahindi wewe unaenda na n Paso yako.
Si unajua kipindi cha mavuno hiki😂😂
😹😹😹 Mbuzi kafia kwa muuza supu..!!Mabazazi ya JF mnaitwaa hukuu, kuna mteja wenu ana jambo na nyie. Lol
Wee huogopiiii? 😂😂😂😂😂
M Mme wa mtu muda huu naangalia tamthilia siruhusiwi kutoka😄😄😄Nafikiri inakufaa wee, em changamkq fastaa mkuu.
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂Hili gari kweli limejua kunifedhehesha linaharibikaje jumapili hii na pishana na utamu hapa.
SumbawangaUnatokea mkoa gani?
Hata mie mke wa mtu, natazama series hapa.M Mme wa mtu muda huu naangalia tamthilia siruhusiwi kutoka😄😄😄
😂😂😂😂Tajiri Sina BAYA nyakua hiyo Mali.