PoaNjoo pm nikuelekeze
oooh kwahiyo huyu atakayekuja kukupokea na kipochi uko tayari kumpa?Mtu aliyekuwa anakuja kunipokea sim yake haipatikani tangu mchana so sioni pa kufikia
Kuna mtu anaenda kuliwa kichwa hukoWajinga tu hapa watakujia,
Yaani yeyote tu
Utaelewa tu, Ngojea....Na nani tena
Tajiri Sina BAYA nyakua hiyo Mali.Intelligent businessman ule mzigo uliouagiza umeshafika Mbezi Magufuli, naomba uwashe gari uje kuuchukua chap kabla hujawahiwa na wahuni kwenda kuuharibu
Mkuu hata blender zinaruhusiwa jtose tuWee em sema kwelii? 😂😂😂😂
Hapa nishauza figo ✊🏿Tajiri Sina BAYA nyakua hiyo Mali.