hodi

The history of the Jews in India reaches back to ancient history. Judaism was one of the first foreign religions to arrive in India in recorded history. Indian Jews are a religious minority in India who have historically lived there with very sparse instances of anti-Semitism from the local non-Jewish majority. The better-established ancient Jewish communities have assimilated many of the local traditions through cultural diffusion. While some Indian Jews state that their ancestors arrived in India during the time of the Ancient Kingdom of Judah, others identify themselves as descendants of Ancient Israel's Ten Lost Tribes who arrived earlier. Some claim descent particularly from Ancient Israel's tribe of Menashe and are referred as the Bnei Menashe. It is estimated that India's Jewish population peaked at around 20,000 in the mid-1940s, and began to rapidly decline due to their emigration to Israel after its creation in 1948.

View More On Wikipedia.org
  1. Inspire You

    Hodi wakuu

    Kaka na dada zangu, Baba na mama zangu, Bibi na babu zangu, Wajomba na Mashangazi zangu, Wadogo zangu wote. Heshima kwenu. Mimi nimejiunga hapa jf baada ya kusoma kama mgeni kwa muda kidogo, mpaka sasa nina mwezi mmoja kama mwana chama. Naomba ushirikiano wenu, mnionyeshe mitaa na chochoro za...
  2. F

    Ombeni mtapewa, tafuteni mtapata, bisheni hodi mtafunguliwa ni maneno ya Mungu mwenyewe. Kwanini hujibiwi maombi yako?

    Soma vizuri hasa huko chini kuna ujumbe wako. Mungu husimamia neno lake. Mungu ni mwaminifu, hadanganyi wala hadanganywi. Ukiomba kwake usipopata basi usikae kimya ukaanza kusema Mungu hajibu, sijui Mungu hufanya polepole au hata kusema kuwa Mungu hayupo. Muulize Mungu kwanini nimeomba kitu...
  3. KIBU DEE MTOMBANGILE

    Hodi hodi

    Mimi ni mgeni humu kutokea maeneo ya Mo Arena Bunju. Namtafuta mgonjwa wangu muhimu sana tulipotezana uwanja wa taifa baada ya goli la pili kufungwa baina ya Simba na Yanga. Sijui yu hali gani huko aliko?
  4. M

    Hodi hodi waungwana

    Hello wapendwa jukwaani,Mimi ni Mgeni kwenye jukwaa hili,nimependa kuungana nanyi ili kujifunza mengi kutoka Kwenu🙏
  5. Fundi kipara

    Hodi Bandugu!

    Hodi Bandugu! Mimi ni mgeni katika jukwaa hili, hivyo basi naomba ushirikiano wenu humu. Wadau wa mitandao ya kijamii msogee PM tupeane ushirikiano 🙏.
  6. S

    Hodi Hodi

    Nimetoka ukooooo...Mgeni wenu humu naomba mnipokee
  7. Pascal Mayalla

    Anayekuja pasi na hodi, huondoka pasi kuaga. Kuzuiwa bila kifungu, kuruhusu bila Kifungu. Ni hisani ya Rais Samia. Haki kuhisaniwa hadi lini?

    Wanabodi, Baada ya Rais Samia kuruhusu mikutano ya siasa, sasa ni nderemo na vifijo nchi mzima!. Na mimi kama Mtanzania mzalendo wa taifa letu, pale linapofanywa jambo jema lolote la kheri kwa mustakabali mwema kwa taifa letu, sina budi kujiunga na wengine wote wanaolitakia mema taifa hili kwa...
  8. S

    Hodi wanazengo

    Mgeni ila nilikua mwenyeji nimerudi hapa
  9. ngulukizi

    RIP MWAMBA

    Leo ndugu zangu nitawapa mkasa uliotokea kwenye mapenzi katika kambi moja ya jeshi Mkoa WA pwani.Katika mahusiano ya jamaa mmoja ambaye alikuwa mjeshi jamaa tulizoea kila siku anapigiwa na mkewe sasa siku hiyo akakuta SMS za mapenzi Kwa mkewe ndio kisanga kikaanza hapo jamaa akaanzisha timbwili...
  10. Sandy360

    Hodi! Hodi!

    Habari, mimi ni mgeni humu, naombeni ushiriKiano wenu.
  11. J

    Hodi wanajukwaa

    Natumai mko wazima wote, mimi mgeni naomba mnipokee.
  12. B

    Hodi hodi

    Habari wana jukwaa. Mimi ni mgeni humu naomba mnipokee ndugu yenu.
  13. Cognizant

    Hodi wana JF

    Nimefurahi kujumuika nanyi.
  14. DungaMawe

    Hodi hodi

    HODI HODI Salamu wakuu mimi ni mgeni huku naomba minipokee
  15. M

    Hodi hodi

    Wakuu salama? Jamani mimi ni mgeni nikaribie wapi naomba mwongozo au mwenyeji
  16. Kainetics

    Post yangu ya kwanza: Hodi JF

    Hodi, humu. Kainetics. Naomba mnipokee. Nakaribia.
  17. Afrocentric view

    Nini maana ya neno hodi hodi?

    Kwa Kiingereza hodi unasemaje?? Anyways hodi humu jamvini. Mimi new member naitwa Afrocentric, kwasababu sijawa brainwashed na propaganda za Wazungu, Wachina, Wahindi, Waarabu n.k.
  18. Joannah

    Weekend nikasema nipite kuhemea vitu huko masokoni na madukani, Basi Mambo ndio yalikuwa Ni hivi

    Hapa kwetu nyumbani Tanzania ndio tunalala Sasa kupumzisha mwili, Huko UGHAIBUNI ndio mnaamka sijui? anyways nitajua vizuri nikifika hukohuko.... Basi bwana, leo weekend nikasema nipite kuhemea vitu huko masokoni na madukani, Basi Mambo ndio yalikuwa Ni hivi🔥🔥 Picha linaanza. Amita Bachani...
  19. Rehema Chahe2022

    Hodi hodi mimi ni mgeni ninaomba munikaribishe humu jukwaani.

    Ninaitwa Rehema Chahe, ni mgeni humu ni matumaini yangu nitajifunza mengi kutoka kwenu na mtajifunza mengi kutoka kwangu, Baraka za Mungu ziwepo nanyi, asanteni.
  20. D

    Hodi Jamani

    Nahisi mpo njema sana Mimi mgeni naingia leo. Asanteni sana
Back
Top Bottom