NAtaka kuhamisha makazi na harakati zangu za maisha kiuchumi na kijamii naombeni muongozo.
Katika hali ya maisha,upatikanaji wa chakula,makazi,fursa za kiuchumi.
Kwasasa nipo Singida ila nataka nisogee ukanda wa pwani nikajitafute Wilaya ya Rufiji hususani ikwiriri imenivutia zaidi.
Pia...