cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,308
😂😂😂😂bora kuishia kutazama" alisema 20% percent
😂😂😂😂bora kuishia kutazama" alisema 20% percent
hahahahaha usisahau kukimbilia kwenye kona ya uwanja piaNazima taa kisha namaliza kilio cha furaha.
Hahaha 😂🤣😂hahahahaha usisahau kukimbilia kwenye kona ya uwanja pia
Ni sahihi. Ana shida ya akili huyo.Huyu kawaida yake. Alishawahi kusafiri kutoka Bukoba huko njemba ikampokea Dar ikaichapa kwa siku tatu na ikamwachia Tsh. 8,700 halafu ikasepa. Hata sikumbuki stori vizuri na sijui alirudije Bukoba. Kumbe bado anatumia the same M.O.....TANESCO national grid. High Voltage wires + likely kuna channels hazikamati frequency.