Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 52,050
- 125,889
Mkuu, kwann umepost picha yangu bila ridhaa yangu?Mbaga Jr nilimkuta apo stend na bango lake..
View attachment 3371337
Nakushtaki akiamungu
Mkuu, kwann umepost picha yangu bila ridhaa yangu?Mbaga Jr nilimkuta apo stend na bango lake..
View attachment 3371337
🤣🤣🤣 sasa tarehe 15 mi napata wapi hela,, nimejikopesha salary advance yaani July itakua ngumu sanaHatimae umetokea bro, pole na kazi mgeni hajambo.....
Kuna watu walikua wanakusema eti mgeni umempokelea salary advance, mwezi huu utasumbua sana kwenye ule uzi wa mshahara.
😂😂😂😂😂Amazon 😹😹😹
Ila JF siku hizi imepoa tumekua uduguu 🤣
Nimekumbuka enzi za watu kugombaniana mabwana nacheeka sana!! 🤣
Na sie tuna viranga kushadadia ugomvi hautuhusu khaaaa!!
Extrovert cazee mbaya sana wewe, ulikua unanipangia mpango wa kunila mwenyewe sijui 😹😹🤣🤣
Yaan!! 😂😂😂😂😹😹😹 Mtoto anautaka!!
Imeishaa hiyoo, kuanzia leo ikotokea tenda, fastaa nakustua.😂Chuma ya kuazima isingekosekana. Si unajua watoto bila kufake life hupati.
Basi kazi anayo 😃😃Ni yeye!! 😂😂😂😂
Simulia ilikuajee?! Tulikua tunasubiri mrejeshoo. LolUmetokea ugomvi sana pale Magufuli jana
Mzoefu huyoo, hana shida kabisaa. LolBasi kazi anayo 😃😃
Utaliwa tu jiandaeAmazon 😹😹😹
Ila JF siku hizi imepoa tumekua uduguu 🤣
Nimekumbuka enzi za watu kugombaniana mabwana nacheeka sana!! 🤣
Na sie tuna viranga kushadadia ugomvi hautuhusu khaaaa!!
Extrovert cazee mbaya sana wewe, ulikua unanipangia mpango wa kunila mwenyewe sijui 😹😹🤣🤣
😹😹😹 Binamu nyama ya hamu au sio?Utaliwa tu jiandae
utakubali nikugegede?Nategemea kufika saa 4 za usiku huu,mwana jf aliyena usafiri naomba unipokee stand ya Magufuli,njoo pm nikupe namba Kama upo serious
Asanteni
Amini kwamba😂😹😹😹 Binamu nyama ya hamu au sio?
haaaaa kumbe nae ni mchuuziHuyo ni bro tupo nae kwenye manunuzi ya wahaya kila weekend
bora kuishia kutazama" alisema 20% percentNa Kaswende km kifungashio.
mfanye kachumbal pilipil kwa mbaaalNina hamu naye mkuu
uzi usingekamilika bila uwepo wa koment ya mzabzab pesa ya mbege humalzia kweny nyapiNjoo tegeta kibaoni mrembo
Nazima taa kisha namaliza kilio cha furaha.mfanye kachumbal pilipil kwa mbaaal