Hizi mvua zote kwanini bado TANESCO wanakata umeme?

ComputersDAR

JF-Expert Member
Jan 21, 2013
213
241
Au ni mimi tu siyo sielewi chanzo cha huu mgao unaondelea sasa mwezi Novemba umeanza? Sasa hivi wamekata tena umeme na utarudi baada ya giza.
-
Kwakuwa TANESCO walisema tatizo la umeme linasababishwa na "Kupungua" kwa kina cha maji kwenye ma Bwawa yetu, na ni baada ya kuwahadaa wananchi kwa mda mrefu wakisingizia mara kuna matengenezo mara itilafu ya mitambo na baadae kuitimisha ni kina cha maji ndio tatizo.

Watanzania tunajua tatizo la Umeme ni la kisiasa lakini hatujuwi tija yake kisiasa ni nini. Fikiria adi Marehemu Rais Maghufuli alilalamika kuna watu wana hujumu Tanesco ili wauze mafuta na vilevile bwawa limejaa matope kwa makusudi ya watu.

Kumbuka huyo ni alikuwa Rais akilalamika baada ya kutonywa na wale wa "Upande wa pili".
Naomba kuuliza ili li TANESCO ni kwamba lenyewe ni likubwa kupita taasisi ya Rais, Waziri Mkuu, Bunge hata Jeshi kwa ujumla wao.

Umeme ni uchumi wa Nchi
Umeme ni Usalama wa Nchi
Umeme ni Ulinzi wa mali za wananchi


Lakini ni Tanzania peke yake inayochukulia umeme kama Anasa ya Nchi.
 
Ukipewa kofia na Tshirt unawakatia viuno wanaume wenzako wakati wa uchaguzi. Na bado mpaka maji muite mma.
PLO lumumba alisema, in Africa the affirnity with people with no ideas is amazing.
Yani nyomi inavyojaa na kumuunga mkono mgombea anayetukana mwenye matusi asiyekuwa na hoja wala plan ya kieleweka ya kutataua changamoto is amazing.
Utaskia wanawake, mimi jtampgoa kura kwanza kijana wa watu handsome, mwingine jamani kwanza hana makuu kijana yule mpole. Uhandsome na upole tangu lini ukakatatua changamoto
 
Mwisho wa kukatika kwa umeme ni mwezi wa tatu mwakani. Tunaomba muheshimu ratiba 😁

IMG_20231102_070937.jpg
 
Kwakuwa TANESCO walisema tatizo la umeme linasababishwa na "Kupungua" kwa kina cha maji kwenye ma Bwawa yetu, na ni baada ya kuwahadaa wananchi kwa mda mrefu wakisingizia mara kuna matengenezo mara itilafu ya mitambo na baadae kuitimisha ni kina cha maji ndio tatizo.

Watanzania tunajua tatizo la Umeme ni la kisiasa lakini hatujuwi tija yake kisiasa ni nini. Fikiria adi Marehemu Rais Maghufuli alilalamika kuna watu wana hujumu Tanesco ili wauze mafuta na vilevile bwawa limejaa matope kwa makusudi ya watu.

Kumbuka huyo ni alikuwa Rais akilalamika baada ya kutonywa na wale wa "Upande wa pili".
Naomba kuuliza ili li TANESCO ni kwamba lenyewe ni likubwa kupita taasisi ya Rais, Waziri Mkuu, Bunge hata Jeshi kwa ujumla wao.

Umeme ni uchumi wa Nchi
Umeme ni Usalama wa Nchi
Umeme ni Ulinzi wa mali za wananchi


Lakini ni Tanzania peke yake inayochukulia umeme kama Anasa ya Nchi.
 
Sio TANESCO ila sio kisa mvua imenyesha jana bas leo maji bwawani yanajaa,
And Yes mvua ikiendelea hatuhitaji uneme ukate tenaaaa
 
Wamesema tatizo ni uchakavu wa vifaa na mashine za kufua umeme
Kumbuka Makamba alikata umeme siku 7 mfululizo akisema wanatengeza mitambo iliyochakaa. Kwa hiyo hawakutengeza? Na kipindi cha magufuli pia walishasema wanabadilisha mitambo chakavu..
Sasa TANESCO na Serikali yake wanajuwa nyie wa Tanzania hamnaga kumbukumbu.
 
Mliambiwa nusu ya mitambo ya kufua umeme haifanyi kazi imezimwa yaani hata iwe El nino mwendo ni huu tu na ni toka zianze habari za service!
 
Back
Top Bottom