Rare Sapphire
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 576
- 1,626
Wakuu kwema?
Kulingana na Mkataba wa Huduma kwa Wateja wa TANESCO, mteja ukipata hasara kutokana tatizo la umeme, TANESCO inatakiwa kumfidia mteja huyo. Kipengele hiki kinasema;
"Kuwafidia wateja pale ambapo tatizo la umeme limesababisha uharibifu wa mali baada ya kuwa imehakikishwa kwamba tatizo hilo halikusababishwa kwa hali yoyote na mtumiaji wa umeme."
Mara ngapi umewahi kupata hasara kutokana na tatizo la umeme? Umewahi kudai fidia kutoka na hilo? Au ndio tunamuachia Mungu?
CC TANESCO
Kulingana na Mkataba wa Huduma kwa Wateja wa TANESCO, mteja ukipata hasara kutokana tatizo la umeme, TANESCO inatakiwa kumfidia mteja huyo. Kipengele hiki kinasema;
"Kuwafidia wateja pale ambapo tatizo la umeme limesababisha uharibifu wa mali baada ya kuwa imehakikishwa kwamba tatizo hilo halikusababishwa kwa hali yoyote na mtumiaji wa umeme."
Mara ngapi umewahi kupata hasara kutokana na tatizo la umeme? Umewahi kudai fidia kutoka na hilo? Au ndio tunamuachia Mungu?
CC TANESCO