Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini, imeweka wazi kuwa sababu ya mgao wa umeme nchini umesababishwa na upungufu wa maji na gesi.
“Sababu za uzalishaji wa umeme kuwa mdogo ni pamoja na upungufu wa maji kwenye mabwawa tegemezi yakiwemo Mtera, Kidatu na Kihansi; uchakavu wa mitambo ya kuzalishia umeme na miundombinu ya kusafirishia umeme, na upungufu wa gesi ya kuzalishia umeme. Aidha, athari za upungufu huo wa umeme ni maeneo mengi ya nchi kuingia katika mgao wa umeme.” – Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini
Kwa upande mwengine Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Doto Biteko amesema katika kipindi kifupi, zaidi ya mashine umba (transifoma) 87 zimeibwa katika mkoa wa Pwani na Dar es Salaam na hivyo kupelekea tatizo la umeme.
Nini maoni yako?
Written by Mjanja M1 ✍️
“Sababu za uzalishaji wa umeme kuwa mdogo ni pamoja na upungufu wa maji kwenye mabwawa tegemezi yakiwemo Mtera, Kidatu na Kihansi; uchakavu wa mitambo ya kuzalishia umeme na miundombinu ya kusafirishia umeme, na upungufu wa gesi ya kuzalishia umeme. Aidha, athari za upungufu huo wa umeme ni maeneo mengi ya nchi kuingia katika mgao wa umeme.” – Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini
Kwa upande mwengine Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Doto Biteko amesema katika kipindi kifupi, zaidi ya mashine umba (transifoma) 87 zimeibwa katika mkoa wa Pwani na Dar es Salaam na hivyo kupelekea tatizo la umeme.
Nini maoni yako?
Written by Mjanja M1 ✍️