Hivi yale Maji ya Mvua yanayopenda Kutuama sehemu nyingi Mkoani Morogoro hayawezi Kuhifadhiwa kwa Matumizi ya Kipindi cha Ukame?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,631
108,992
Muda na Nguvu za Kumuonyesha Mbwembwe za Kishamba za Kimedani Adui yako Genius wa Afrika upo ila wa Kutumia Akili Kubwa ya Kuhifadhi Maji mengi yanayozagaa Mkoani Morogoro kutokana na Mvua na Mafuriko ili yaje kuwa Msaada kwa Wakulima Kipindi cha Ukame hatuna.
 
hehehe pumzika kwanza wikiendi leo
 

Attachments

  • Screenshot_20240112-185314.jpg
    Screenshot_20240112-185314.jpg
    26.9 KB · Views: 5
Back
Top Bottom