Pablo Blanco
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 7,328
- 6,656
- Thread starter
- #81
Umeishi USA sehemu gani na kwa muda gani?Cigar nilikuwa naisikia mpaka nilipofika chuoni Marekani. Roommate alikuwa anachoma sana ila pamoja na ganja.
Umeishi USA sehemu gani na kwa muda gani?Cigar nilikuwa naisikia mpaka nilipofika chuoni Marekani. Roommate alikuwa anachoma sana ila pamoja na ganja.
Hili Latin name Pablo ndiyo hili kikwetu la Paulo?Hahaaa!!!! Na Mimi ndo walewale sigara na crack cocaine kwa sana tu
Dah! Kwa hiyo sigar siyo sigara?Wacha ushamba na ufala hizo sio sigara hiyo ni siga
Hivi kiko kama hicho nakipata wapiHii inaitwaje?View attachment 719961
Hiyo ulioishika naipata wapi kwa hapa bongo.
hajakufunga kamba mkuu, nkiwa tz hua nazitumia na mm mkuu, ukbeba hiz cheap za kutosha kbongo bongo ukachil km mikoa ya barid na red label yako mdomdo inapendeza ..
vijijn unamix na ulanz taratiiibu hhh
Heee? Kama ngisugii?Niliwahi Kusikia Ukivuta Unaweza Kujiny*a
Kama Haupo Vema
Umenikumbusha.Kila nikiona hizi Siga namkumbuka sana Rafiki yangu Hayati Makame Rasheed Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa mstaafu ilikuwa popote alipo lazima awe nazo!
Allah AMPE kauli thaabet huko aliko!
.Hiyo ulioishika naipata wapi kwa hapa bongo
Daaa!!!! Naijua tu shoppers moja hapa dar.
shopers mkuu
Ni bei gani moja nkaitafuteNzuri sana kwa kufanyia mikogo na mbwembwe hasa kwa vijana.
.Daaa!!!! Naijua tu shoppers moja hapa dar
Ile ya karibu na tmj, shoppers ipi ntaipata na mimi nazihitaji hizi tafadhali
Huwa naziona tu.Sijui bei yake mkuu.Ni bei gani moja nkaitafute
Ma filamee,unavuta nyuma ya keyboard au sio,?Kitu cha American siger hicho tunavutaga ma cowboys huku kiuno kimezungukwa na mkanda wenye bastola Matata ukizingua umelamba ya Shingo.Daah u cowboys raha sana
Daaah..! Kwetu tunaita Patunza..! [emoji6][emoji6][emoji6][emoji6]Umenikumbusha.
Kuna Mzee wangu mmoja aliniambia akiwa Jkt Makutupora kuna nyakati Makame alikuwa akija halafu anaagiza mabinti (hasa wawili).
Mzee anasema wakiwa lindo walikuwa wanapeana zamu kupiga chabo ila akikumbuka anaona ilikuwa risk sana