Hivi Sigara kama hizi nazipata wapi hapa Bongo

Hivi Sigara kama hizi nazipata wapi hapa Bongo

Nyie watu mnaoitwa Pablo aisee...sigara + ngada huwa mnapiga sana!
Yupo rafiki yangu anaitwa pablo, aisee anapiga sana fegi, bangi na hata shisha, now yupo canada sijui maisha yake yatakuwaje huko!
Yupo mwingine nae Pablo, alikuwa classmate chapombe, bangi +ubabe...sasa huyu huku jf sijui ni yule wa mexico..!!?!!
Kuna baba lao anaitwa Pablo Escobar huyo ni drug lord aliyetikisaga dunia.Hawa ma pablo wa bongo wanajibatiza jina tu kwa sababu ya ulaji wa ngada au kuuza.
 
Kuna baba lao anaitwa Pablo Escobar huyo ni drug lord aliyetikisaga dunia.Hawa ma pablo wa bongo wanajibatiza jina tu kwa sababu ya ulaji wa ngada au kuuza.
Hahaaa!!! Hivi unanijua au unanisikia,hi ndo shida ya jf mtu unakuwa unajibizana na mtu ambaye humjui
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom