Hivi Sigara kama hizi nazipata wapi hapa Bongo

Hivi Sigara kama hizi nazipata wapi hapa Bongo

Kama wewe si mzoefu,yaani unavutaga sport ama sm,
ukivuta cigar ukafikia nusu yake basi wewe kiboko.

Ilinichukua mwezi kumaliza cigar moja,ni kali,
kwa ubishoo zinafaa ila nilipomaliza pakiti ya cigar,
huwa ziko 6 tu,sikuwahi kurudia tena kununua.
Pakiti enzi hizo 2007 ilikuwa tsh elfu kumi
 
Kama wewe si mzoefu,yaani unavutaga sport ama sm,
ukivuta cigar ukafikia nusu yake basi wewe kiboko.

Ilinichukua mwezi kumaliza cigar moja,ni kali,
kwa ubishoo zinafaa ila nilipomaliza pakiti ya cigar,
huwa ziko 6 tu,sikuwahi kurudia tena kununua.
Pakiti enzi hizo 2007 ilikuwa tsh elfu kumi
Kali jamani. Nilivutaga moja nililewa nikajua imeekwa weed.
 
mi nataka kujua kiko zinauzwa wap na matumizi yake hasa nini? bei yake?..

nimeona uvivu kuanzisha Uzi wajameni
 
Ni fresh, ni poa, ni yako

Onyo: uvutaji wa sigara ni hatari kwa afya yako
 
mi naomna kujuzwa material yanayotengeneza hilo karatasi la juu(sina uhakika kama ni karatasi kama hizi za kawaida) hayana madhara kwa afya ya mtumiaji? tukitoa madhara ya sigara yenyewe..
Majani ya tumbaku
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom