soseji zipi??zimekaa kama soseji
soseji zipi??zimekaa kama soseji
Hahaaa!!!! Na Mimi ndo walewale sigara na crack cocaine kwa sana tu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] halafu kichwani una booonge la kofia supaflai ya kimalboroKitu cha American siger hicho tunavutaga ma cowboys huku kiuno kimezungukwa na mkanda wenye bastola Matata ukizingua umelamba ya Shingo.Daah u cowboys raha sana
hujakosea,karibu katika ulimwengu wetuKwa ushamba wangu naonaga mwanaume akivuta cigar ni bora kuliko yale maembassy
Mbawala.Kila nikiona hizi Siga namkumbuka sana Rafiki yangu Hayati Makame Rasheed Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa mstaafu ilikuwa popote alipo lazima awe nazo!
Allah AMPE kauli thaabet huko aliko!
Hahaha umenikumbusha mbali sana ,Ngisugii aka ugoro una stimu yake ya kipekee kabisaHeee? Kama ngisugii?
Mkuu nlijaribu ngisugii ikanishinda. Yan nkiweka mdomoni tu naskia jivi limebana, nkaona starehe gani hii sasa stimu zinakuja na kubanwa mavi?Hahaha umenikumbusha mbali sana ,Ngisugii aka ugoro una stimu yake ya kipekee kabisa
Ugoro kuna siku nilitumia kidogo nitapike, nikivuta sigara kama SM nakuwa na nyege balaa naweza hata kubaka,Mkuu nlijaribu ngisugii ikanishinda. Yan nkiweka mdomoni tu naskia jivi limebana, nkaona starehe gani hii sasa stimu zinakuja na kubanwa mavi?
we nae kumbe mtundu ivyoKali jamani. Nilivutaga moja nililewa nikajua imeekwa weed.
Katika kujaribu tu.we nae kumbe mtundu ivyo
nishajenga picha wewe utakua mwanamke wa aina gani hapa mjini
Lile unaweza ukadandiwa kweli maana puyo lake kama vile LA ganja. Dah ila ugoro nyoko sana mwanang yan kama ni amateur Kila ukiweka mdomoni lazima ubanwe mavi. Bora hata parikiUgoro kuna siku nilitumia kidogo nitapike, nikivuta sigara kama SM nakuwa na nyege balaa naweza hata kubaka,
hii cigar naiskia ila limefanana na bangi ukipita nalo road polis hawawezi kusanuka na wew kweli
Wewe kila kitu unahisi umewekewa weed, hata ukipewa keki utasema zinaweed...[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kali jamani. Nilivutaga moja nililewa nikajua imeekwa weed.
Hahaha ni kweli ila ile stimu yake huwa naifurahia kweliMkuu nlijaribu ngisugii ikanishinda. Yan nkiweka mdomoni tu naskia jivi limebana, nkaona starehe gani hii sasa stimu zinakuja na kubanwa mavi?
Aaah Ile mkuu inakuja haraka sana aisee kama kichwa cha panzi unazimaHahaha ni kweli ila ile stimu yake huwa naifurahia kweli
Shopers plaza ipi????Nenda Karambezi cafe zipoooo. Pia shoppers plazza zipooo
Mkuu naomba nielekeze shoppers nyingine nimeenda mbezi nimekosa.
mbezi beach kwa zena pia kna shoppers nyngne mkuu