Pablo Blanco
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 7,328
- 6,591
Hahaaa!!!! Na Mimi ndo walewale sigara na crack cocaine kwa sana tuNyie watu mnaoitwa Pablo aisee...sigara + ngada huwa mnapiga sana!
Yupo rafiki yangu anaitwa pablo, aisee anapiga sana fegi, bangi na hata shisha, now yupo canada sijui maisha yake yatakuwaje huko!
Yupo mwingine nae Pablo, alikuwa classmate chapombe, bangi +ubabe...sasa huyu huku jf sijui ni yule wa mexico..!!?!!
Naomba nielekeze kidogo sijawahi fika mbezi mbeachZipo za kila aina Shoperz Mbezi beach
Vipi sababu ya kifo ilikuwa nini??Kila nikiona hizi Siga namkumbuka sana Rafiki yangu Hayati Makame Rasheed Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa mstaafu ilikuwa popote alipo lazima awe nazo!
Allah AMPE kauli thaabet
Dah, hilo jina kwenye ukoo wetu lipite mbali ... sijui wewe ni yule mate wangu?!!? Hahaa...Hahaaa!!!! Na Mimi ndo walewale sigara na crack cocaine kwa sana tu
Ukimaliza kuwaza soseji, najua utawaza na mengine....tehteehhzimekaa kama soseji
Nzuri sana kwa kufanyia mikogo na mbwembwe hasa kwa vijana.
AiseeVijana wenyewe kiepe yai hiyo tumbaku haijachujwa kama huna kifua cha kuhimili unakwenda na maji
Vipi sababu ya kifo ilikuwa nini??
Hahahahaaa!Inabidi awe ngangari,avute huku anapigapiga kifua kama anatubu.Vijana wenyewe kiepe yai hiyo tumbaku haijachujwa kama huna kifua cha kuhimili unakwenda na maji