Hivi Sigara kama hizi nazipata wapi hapa Bongo

Pablo Blanco

JF-Expert Member
Dec 20, 2016
7,328
6,591
images%2858%29.jpeg
images%2858%29.jpeg
images%2859%29.jpeg
images%2857%29.jpeg
 
mi naomna kujuzwa material yanayotengeneza hilo karatasi la juu(sina uhakika kama ni karatasi kama hizi za kawaida) hayana madhara kwa afya ya mtumiaji? tukitoa madhara ya sigara yenyewe..
 
Nyie watu mnaoitwa Pablo aisee...sigara + ngada huwa mnapiga sana!
Yupo rafiki yangu anaitwa pablo, aisee anapiga sana fegi, bangi na hata shisha, now yupo canada sijui maisha yake yatakuwaje huko!
Yupo mwingine nae Pablo, alikuwa classmate chapombe, bangi +ubabe...sasa huyu huku jf sijui ni yule wa mexico..!!?!!
 
Nyie watu mnaoitwa Pablo aisee...sigara + ngada huwa mnapiga sana!
Yupo rafiki yangu anaitwa pablo, aisee anapiga sana fegi, bangi na hata shisha, now yupo canada sijui maisha yake yatakuwaje huko!
Yupo mwingine nae Pablo, alikuwa classmate chapombe, bangi +ubabe...sasa huyu huku jf sijui ni yule wa mexico..!!?!!
Hahaaa!!!! Na Mimi ndo walewale sigara na crack cocaine kwa sana tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom