Hivi sasa hivi bado kuna wanaume wakiombwa hela muda mfupi baada ya kutongoza wanatoa?

Balqior

JF-Expert Member
Jun 8, 2021
1,709
5,699
Group yangu ya wana wote wakipigwa vizinga na wadada waliotongoza siku moja kabla wanakataa, hapa mtaani hadi madogo wa kiume wanaosoma sekondari wanajua hiyo style ya utapeli, nilishangaa sana kuona mtoto wa kiume wa form 2 akimwambia mwenzake, "huyo ukimtumia hela, ghetto kwako hatokuja, na hela yako itaenda", ilhali mm nilivokuwa form 2 nlikuwa innocent kabisa sijui hiyo aina ya utapeli..

Mwingine akiombwa hata vocha ya tshs 1000 anamwambia mdada, iyo ela akaichukue gheto..

Sisi vijana tunajenga jamii ya aina gani sijui, mdada unaempenda akikuomba msaada unahisi kutapeliwa na kutumika, hata kama ana shida kweli..Yaani ndo kusema wanawake wengi wamekuwa matapeli kiasi hiki.. kinachosababisha wadada wawe roho mbaya hivi sielewi..
 
1683144806760.jpg
 
Siku ukipata hela kaka utashangaa kwann ulianzisha huu uzi. Wenye hela wanatoaga tu wakiombwa sio tu baada ya kutongoza hata kabla hawajatongoza wanatoaga tu hela kwa mdada na wala hawaumii

Shida jamii inapochukulia kama mbususu ni bidhaa. Kaka anawaza lazima ale mbususu kwanza ndio atoe hela na dada anawaza apewe hela kwanza ndo awaze kutoa mbususu
 
Siku ukipata hela kaka utashangaa kwann ulianzisha huu uzi. Wenye hela wanatoaga tu wakiombwa sio tu baada ya kutongoza hata kabla hawajatongoza wanatoaga tu hela kwa mdada na wala hawaumii

Shida jamii inapochukulia kama mbususu ni bidhaa. Kaka anawaza lazima ale mbususu kwanza ndio atoe hela na dada anawaza apewe hela kwanza ndo awaze kutoa mbususu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
SOmetimes ni umasini tu.
Binafsi kumpa pesa mwanamke nnaemlenda hua nafurahi sana, just to make her happy.

Yaani buku nayo ni ya kuja kuchukua geto, ukiendekeza hili utanunua wengi mno coz wadada wengi wanapenda pesa. Pesa zitakufanya uwe malaya wa kiume.
Saa ingine shida sio umaskini, naweza kuwa hata na tsh million 500 isio na kazi, na utayari wa kusaidia, ila mdada akiniomba Elf 1 ya vocha na nimemtongoza jana, naweza kumnyima

Kwa wadada wa sahivi, ukiwa na attitude ulio nayo wewe, utatumika sana, we unaona unasaidia, mwenzio anakuona boya Vishu Mtata
 
Group yangu ya wana wote wakipigwa vizinga na wadada waliotongoza siku moja kabla wanakataa, hapa mtaani hadi madogo wa kiume wanaosoma sekondari wanajua hiyo style ya utapeli, nilishangaa sana kuona mtoto wa kiume wa form 2 akimwambia mwenzake, "huyo ukimtumia hela, ghetto kwako hatokuja, na hela yako itaenda", ilhali mm nilivokuwa form 2 nlikuwa innocent kabisa sijui hiyo aina ya utapeli..

Mwingine akiombwa hata vocha ya tshs 1000 anamwambia mdada, iyo ela akaichukue gheto..

Sisi vijana tunajenga jamii ya aina gani sijui, mdada unaempenda akikuomba msaada unahisi kutapeliwa na kutumika, hata kama ana shida kweli..Yaani ndo kusema wanawake wengi wamekuwa matapeli kiasi hiki.. kinachosababisha wadada wawe roho mbaya hivi sielewi..
Mwanamke mpe hela
Wewe toa hela tu
Hata kama hajaomba siku hiyo akikupa namba tu mtumie elfu 50 mwambie imsaidie mambo madogo madogo..halafu utaniambia nini kitafuata..
 
Ndiyo bado tupo, tunapigwa parefu na tunajitetea, , just imagine unambembeleza mwanamke mkatumie na kuharibu pesa ulizozisotea.

Baadae tunaanza kujutia na kumlaumu shetan.

Ama nini Mungu atunasue sote tuliopo ktk mahusiano TOXIC na uchumba sugu usio na tija zaidi ya utapeli na kupotezeana muda(JOKE)
 
Group yangu ya wana wote wakipigwa vizinga na wadada waliotongoza siku moja kabla wanakataa, hapa mtaani hadi madogo wa kiume wanaosoma sekondari wanajua hiyo style ya utapeli, nilishangaa sana kuona mtoto wa kiume wa form 2 akimwambia mwenzake, "huyo ukimtumia hela, ghetto kwako hatokuja, na hela yako itaenda", ilhali mm nilivokuwa form 2 nlikuwa innocent kabisa sijui hiyo aina ya utapeli..

Mwingine akiombwa hata vocha ya tshs 1000 anamwambia mdada, iyo ela akaichukue gheto..

Sisi vijana tunajenga jamii ya aina gani sijui, mdada unaempenda akikuomba msaada unahisi kutapeliwa na kutumika, hata kama ana shida kweli..Yaani ndo kusema wanawake wengi wamekuwa matapeli kiasi hiki.. kinachosababisha wadada wawe roho mbaya hivi sielewi..
Sisi wengine mabaharia nilishasahau hata kutongoza nilishaachana zamani sana na huo utapeli siku hizi nanunua direct hakuna cha kutuma vocha wala nauli wala hela ya kusukia
 
Group yangu ya wana wote wakipigwa vizinga na wadada waliotongoza siku moja kabla wanakataa, hapa mtaani hadi madogo wa kiume wanaosoma sekondari wanajua hiyo style ya utapeli, nilishangaa sana kuona mtoto wa kiume wa form 2 akimwambia mwenzake, "huyo ukimtumia hela, ghetto kwako hatokuja, na hela yako itaenda", ilhali mm nilivokuwa form 2 nlikuwa innocent kabisa sijui hiyo aina ya utapeli..

Mwingine akiombwa hata vocha ya tshs 1000 anamwambia mdada, iyo ela akaichukue gheto..

Sisi vijana tunajenga jamii ya aina gani sijui, mdada unaempenda akikuomba msaada unahisi kutapeliwa na kutumika, hata kama ana shida kweli..Yaani ndo kusema wanawake wengi wamekuwa matapeli kiasi hiki.. kinachosababisha wadada wawe roho mbaya hivi sielewi..
Hivi unataka mdada ahudumiwe na nani na wewe kazi yako iwe ukiona amependeza unamsimamisha unatomba bure unaondoka
acha kulalamika
hudumia kitu chako
mimi demu wangu ana enjoy. niko tayari niibe yeye asikose
 
Just imagine
Wakati wewe unahonga ili akupende au upewe mbususu na anakupiga chenga

Kuna kidume mwingine anazagamua bure plus anapewa hizo hela unazotoa wewe

Wanaume mnaotoa hela ili mpendwe acheni "Simping"
 
Back
Top Bottom