Moja ya sababu ya sisi wanaume kulalamika baada ya kuombwa hela na wadada ni hii

AlphaMale

JF-Expert Member
Oct 26, 2019
613
1,402
Hatutaki kupendewa hela, nakutongoza leo kesho unaniomba hela, obviously inaonesha hunipendi na hujavutiwa na mm kimapenzi, ndo maana tunakuja huku jf kulalamika na kuanzisha thread.

Yani mdada anavokuomba hela kwenye 6th sense, mwanaume unahisi hapa hamna mapenzi, unahisi huyu mwenza wangu mpya hanipendi, hana hisia na mm, na unahisi kutumika kipesa tu

NISIELEWEKE VIBAYA: NI HIVI
Wanaume wote tunapenda kuwapa hela za bure wanawake tunaowapenda, na naamini kusaidiana kipesa ni muhimu kwenye mahusiano ya kimapenzi, na sipingi wanaume kuwapa hela wapenzi wao pale wanapoombwa msaada wa kipesa.

NA:
Mdada unaejua anakupenda kwa dhati hata akikuomba hela, unajua kweli huyu ana shida na unaitoa kwa moyo mweupe tena unampa zaidi ya hela aliyoomba, ila kuna scenario nyingine mwanaume ukiombwa hela, moyoni unahisi kabisa kuwa hapa hamna mapenzi na hupendwi, unahisi kuchunwa tu na kutumika kipesa..ndo maana tunakuja kulalamika humu jf
 
FB_IMG_1577260443903.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
AlphaMale,
Na kwa wale ambao hawaombi pesa ila ukiwatumia sms hawajibu kwa wakati na ukipiga simu wakati mwingine haipokelewi ila umkirushia pesa tu anakuwa na furaha tele na kuzidisha chating huku akikuita majina yote matamu, hawa unawazungumziaje mkuu.
 
Na kwa wale ambao hawaombi pesa ila ukiwatumia sms hawajibu kwa wakati na ukipiga simu wakati mwingine haipokelewi ila umkirushia pesa tu anakuwa na furaha tele na kuzidisha chating huku akikuita majina yote matamu, hawa unawazungumziaje mkuu.

wote wale wale christeve88
 
B
Hatutaki kupendewa hela, nakutongoza leo kesho unaniomba hela, obviously inaonesha hunipendi na hujavutiwa na mm kimapenzi, ndo maana tunakuja huku jf kulalamika na kuanzisha thread.

Yani mdada anavokuomba hela kwenye 6th sense, mwanaume unahisi hapa hamna mapenzi, unahisi huyu mwenza wangu mpya hanipendi, hana hisia na mm, na unahisi kutumika kipesa tu

NISIELEWEKE VIBAYA: NI HIVI
Wanaume wote tunapenda kuwapa hela za bure wanawake tunaowapenda, na naamini kusaidiana kipesa ni muhimu kwenye mahusiano ya kimapenzi, na sipingi wanaume kuwapa hela wapenzi wao pale wanapoombwa msaada wa kipesa.

NA:
Mdada unaejua anakupenda kwa dhati hata akikuomba hela, unajua kweli huyu ana shida na unaitoa kwa moyo mweupe tena unampa zaidi ya hela aliyoomba, ila kuna scenario nyingine mwanaume ukiombwa hela, moyoni unahisi kabisa kuwa hapa hamna mapenzi na hupendwi, unahisi kuchunwa tu na kutumika kipesa..ndo maana tunakuja kulalamika humu jf
Bila kusahau ubovu wa "huduma"LICHA YA KUJIPIGA PIGA PAKUBWA!
 
Na wale walio kwenye ndoa na wana mishahara yao lakini kutwa kupiga vizinga waume zao mambo madogo madogo tuwaweke kwenye kundi gani?

utasikia sms "dia nikwambie kitu kuna? ukijibu tu ndio! anasema: kuna mchango wa harusi ya rafiki yangu natakiwa kutoa laki moja si utanipa eti dia?

Na wakati mshahara wake ni laki 9 kwa mwezi na matumizi yake ni saloon, nguo na majukumu mengine mwanaume ndio kabeba.
 
Back
Top Bottom