Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 26,132
- 34,103
Inaitwa Laana ya kikeYani unamuonea wivu mpaka marehemu? Hii inaitwaje kitaalam?
Inaitwa Laana ya kikeYani unamuonea wivu mpaka marehemu? Hii inaitwaje kitaalam?
Tulikubaliana hii iwe awamu ya sita ili naye atawale miaka miwili kulingana na utaratibu wa chama.Yaani mtu kajiuzuru mwenyewe kutokana na Ufisadi wake ambao Umeigharimu nchi pakubwa (hasa kwa kuitia hasara) halafu leo kafariki tunasema/tunamuita ni Waziri Mkuu Mstaafu!
Lowassa alistaafu Uwaziri Mkuu wake kama wengine au alijiuzuru kutokana na Kashfa zake za Ufisadi alizojaribu kuzizima kwa Utajiri wake mkubwa na wa kutukuka?
GENTAMYCINE hiki kikombe cha Unafiki na Upuuzi (Ujuha) kilichopo kwa Watanzania wengi (hasa kwa huu msiba) wala sitokinywa kabisa kutokana na Dhambi zake kubwa za Ufisadi na Utajiri wake wa Mashaka ambao Ulimshtua na hata Kumuumiza Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere.
Ye amewahi kuja kukanusha ya kwamba hahusiki kwa lolote?Kizazi kipi, cha Makonda?
Unafiki na uongo huleta laana ya kudumu. Mzee Lowasa amesingiziwa saaana. Ilikuwa ni wivu tuu kwa vile Watanzania hatupendi elites [werevu].
Hadi leo tofauti na wengine hatujawahi kuambiwa Mzee Lowasa alifisadi fedha kiasi gani!!!!. Za Escrow, Meremeta nk tuliambiwa na wahusika ni kina nani.
Hapa sio KIGALIYaani mtu kajiuzuru mwenyewe kutokana na Ufisadi wake ambao Umeigharimu nchi pakubwa (hasa kwa kuitia hasara) halafu leo kafariki tunasema/tunamuita ni Waziri Mkuu Mstaafu!
Lowassa alistaafu Uwaziri Mkuu wake kama wengine au alijiuzuru kutokana na Kashfa zake za Ufisadi alizojaribu kuzizima kwa Utajiri wake mkubwa na wa kutukuka?
GENTAMYCINE hiki kikombe cha Unafiki na Upuuzi (Ujuha) kilichopo kwa Watanzania wengi (hasa kwa huu msiba) wala sitokinywa kabisa kutokana na Dhambi zake kubwa za Ufisadi na Utajiri wake wa Mashaka ambao Ulimshtua na hata Kumuumiza Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere.
Umenena vyemaWatu wa Kaskazini hawatokuelewa, maana wao walitaka Lowasa awe raisi licha ya ufisadi wake bila kujali atapitia CDM au CCM.