Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,014
- 9,883
Nilikuwa nasoma sehemu nikakuta kuwa watoto wa kwanza wanalalamikia kuwa "Makamu Mzazi". Yaani ni mtoto anayekabidhiwa jezi kabla mchezo hajauelewa. Mtoto wa kwanza anatarajiwa kulea wadogo zake na wazazi wake at the same time. Nadhani ukiona mtu amekomaa kimawazo, unauliza tu "Hivi wewe ni mtoto wa kwanza eekh"
Kwenye jamii ni ngumu kujua mtoto wa kati, ila wa kwanza na wa mwisho ni rahisi kumbaini. hivi hili suala la mtoto wa kwanza kuwa mzazi ni dunia nzima au ni bongo tu?
Mimi kwetu ni wa kwanza, aisee, naombeni mwenye kamba aniuzie kwa bei yeyote, nina kazi nayo
Kwenye jamii ni ngumu kujua mtoto wa kati, ila wa kwanza na wa mwisho ni rahisi kumbaini. hivi hili suala la mtoto wa kwanza kuwa mzazi ni dunia nzima au ni bongo tu?
Mimi kwetu ni wa kwanza, aisee, naombeni mwenye kamba aniuzie kwa bei yeyote, nina kazi nayo