Ushuhuda: Tusirudie makosa ya wazazi wetu kukariri elimu ni ufunguo wa maisha, ufunguo wa uhakika ni kumfundisha mtoto biashara ama kujiajiri mapema.

sky soldier

JF-Expert Member
Mar 30, 2020
5,408
19,033
Elimu sio ya kuibeza lakini ni vipi kama mzazi/mlezi una biashara ama umejiajiri kwanini umkazanie mtoto awe anasoma tu wakati wewe una formula ya uhakika ya kupiga pesa ? inasahangaza kuona mzazi anaingiza almost milioni 3 na kuendelea kila mwezi lakini anamkazania mtoto awe anasoma tu ili aje "KUJARIBU BAHATI YA KUAJIRIWA" (ni bahati kwasababu ajira zimekuwa ngumu na huenda mtoto shule ikamshinda), Kuna haja gani ya kusubiria mtoto apitie msoto ndio uanze kumshirikisha kwenye biashara wakati unaweza kuanza nae tangu ana miaka 10 ? mbaya zaidi ukiondoka mapema hata watoto hawana idea ya kusimamia mambo yako watauza mali zako kwa bei za kutupa na biashara kufilisika.

Na hapa kuna wazazi wanawafundisha watoto biashara ama kujiajiri ndivyo sivyo, Biashara kama duka unakuta mtoto tangu mdogo anachojua ni kuuza tu wala hajui faida inayopatikana, mzigo unaponunuliwa, vibali, kodi, n.k. Na mzazi anajisifu na kujipiga kifua kwamba anamfundisha mtoto biashara, LA HASHA !! Unamwandaaa aje auzie wengine maduka kwa mshahara wa laki 1.

Nao waliojiajiri mfano wakulima na wafugaji unakuta wanachofundisha watoto ni kuchunga ngombe na kulima tu, wala hawajawahi kwenda nao mnadani ama sokoni kutafuta wateja, kumfundisha mtoto kunegotiate, kumpa mtoto iridha ya wateja, n.k. mtoto akiulizia mzazi anamwambia soma kwanza !! ni kweli kusoma ni muhimu lakini kuna ubaya gani kumuongezea elimu ya kujipatia kipato cha uhakika ? kumyima mtoto haya maarifa ni kumuandaa awe shamba boy au mchungaji wa mbuzi.


Mimi binafsi kama mzazi nilipomaliza chuo nilipitia msoto nikimaliza soli kutafuta ajira, nilipewa kamtaji kufungua duka langu ila ugeni wangu katika biashara ulizifanya changamoto nazokutana nazo kwa mara ya kwanza zinilambe mitama huku nikipata faida ndogo sana, baada ya miaka kadhaa nikapata ajira stable lakini nikaona kazini pekee kutegemea mshahara ni kuridhika, sikukomaa vizuri kwa uzoefu kwenye biashara niliyofanya kabla sijaajiriwa lakini baada ya kuajiriwa bado nilikuwa na kiu kiu kuendelea na biashara, kama kawaida changamoto zilinilamba mitama ila kwa with time nimekuwa mzoefu na nina biashara kadhaa zinazonipa faida, nipo na confidence kubwa kwenye biashara na ndio imenibadilisha hata kiuchumi, account inasoma visifuri vya ziada.

Nilipostuka nimefungua kaduka ka mahitaji kwa mtaji wa kawaida kabisa kwa lengo la kusimulate watoto, nimeweka binti wa kuuza, ila watoto nilienda nao TRA kukata tax clearance, Niliwashirikisha closely kupata Tin namba ya eneo la biashara, niliwaonesha namna ya kulipia leseni ya biashara, wao ndio watakuwa wanalipia kodi ya makadirio kila baada ya miezi minne, kufanya stock kila siku litakuwa jukumu lao, n.k. Baada ya mwaka au miezi 6 nimepanga kuifunga hii biashara kisha nifungue upya kwa lengo la kuwazoesha wazoee process za kufungua na vibali.

Mwakani hivi naona watakuwa wamezoea zoea ndio ntaanza kuwashirikisha kwenye biashara zangu kuu.
 
Ni uhakika kwa nchi kama Marekani lakini kwa Tanzania wapo wenye degree hizi na wanasota mtaani.

Ajira unakuta kwa mwaka hazifiki hata 200 kwa wenye hizo degree lakini wahitimu kila mwaka ni zaidi ya elf 5
Mada ngumu hii, ila ni sawa tu wakijifunza vyote wanakua na ramani mbili...
 
ni kweli familia za wahindi walilifahamu hili mapema sana
Kwakweli tupo nyuma sana watanzania wa asili, nzazi kama una forumula ya uhakika anza kummegea mtoto mapema

Mambo ya shule ni kweli yapewe uzito lakini sio kwa kusimamia mguu moja
 
Kwakweli tupo nyuma sana watanzania wa asili, nzazi kama una forumula ya uhakika anza kummegea mtoto mapema

Mambo ya shule ni kweli yapewe uzito lakini sio kwa kusimamia mguu moja
Hiyo ya kufunga kufungua, TRA usajili, TiN n.k sio vya lazima saana katika kumfunza kwa sababu kwanza ni mambo ya sera ambayo yanaweza badilika badilika time to time.

Wekeza nguvu kumfunza

1. Sehemu za kupata mizigo
2. Kushika hela, kutumia ikiwemo mishahara na kisha kununua mizigo tena

3. Kutafuta wateja na kuwatunza wateja
4. Kuongeza thamani katika biashara au bidhaa

5. Kutafiti changamoto za wanaofanya biadhara jirani na biashara yenu na kuona vitu gani hawafanyi vizuri (changamoto) na kuzitumia kuboresha ya kwenu


Vitu kama hivi ndio principle za biashara na hazibadiliki,

Ila sio kujua kulipa serikali kodi tuuu
 
Mwanangu ana miaka 5 lakin anauwezo wa kutengeza katuni kupitia 3d na anajua kiingeleza hapo hata shule sijamuanzinsha na sina mpango wa kumuanzisha ni moja kwa moja veta miaka mitatu akitoka hapo ni I.T toka hapo apambane na dunia mambo ya what is malaria? hapa noo
 
Kwa fani za STEM(science, tech, engineering, math) elimu ni ufunguo aisee....

Hiyo aya ya mwisho nimependa.
Na kwenye hiyo stem ndio tunapopigwa bao na tutaendelea kuwa watumwa wa wadhungu.
Hamna donor kantriii isiyowekeza sana kwenye stem.

Hizi biashara tunazofanya sie ni za survival mode not developmental.
Nchi inategemea kilimo but u dnt manufacture ur own tractors unategemea nini
 
Elimu sio ya kuibeza lakini ni vipi kama mzazi/mlezi una biashara ama umejiajiri kwanini umkazanie mtoto awe anasoma tu wakati wewe una formula ya uhakika ya kupiga pesa ? inasahangaza kuona mzazi anaingiza almost milioni 3 na kuendelea kila mwezi lakini anamkazania mtoto awe anasoma tu ili aje "KUJARIBU BAHATI YA KUAJIRIWA" (ni bahati kwasababu ajira zimekuwa ngumu na huenda mtoto shule ikamshinda), Kuna haja gani ya kusubiria mtoto apitie msoto ndio uanze kumshirikisha kwenye biashara wakati unaweza kuanza nae tangu ana miaka 10 ? mbaya zaidi ukiondoka mapema hata watoto hawana idea ya kusimamia mambo yako watauza mali zako kwa bei za kutupa na biashara kufilisika.

Na hapa kuna wazazi wanawafundisha watoto biashara ama kujiajiri ndivyo sivyo, Biashara kama duka unakuta mtoto tangu mdogo anachojua ni kuuza tu wala hajui faida inayopatikana, mzigo unaponunuliwa, vibali, kodi, n.k. Na mzazi anajisifu na kujipiga kifua kwamba anamfundisha mtoto biashara, LA HASHA !! Unamwandaaa aje auzie wengine maduka kwa mshahara wa laki 1.

Nao waliojiajiri mfano wakulima na wafugaji unakuta wanachofundisha watoto ni kuchunga ngombe na kulima tu, wala hawajawahi kwenda nao mnadani ama sokoni kutafuta wateja, kumfundisha mtoto kunegotiate, kumpa mtoto iridha ya wateja, n.k. mtoto akiulizia mzazi anamwambia soma kwanza !! ni kweli kusoma ni muhimu lakini kuna ubaya gani kumuongezea elimu ya kujipatia kipato cha uhakika ? kumyima mtoto haya maarifa ni kumuandaa awe shamba boy au mchungaji wa mbuzi.


Mimi binafsi kama mzazi nilipomaliza chuo nilipitia msoto nikimaliza soli kutafuta ajira, nilipewa kamtaji kufungua duka langu ila ugeni wangu katika biashara ulizifanya changamoto nazokutana nazo kwa mara ya kwanza zinilambe mitama huku nikipata faida ndogo sana, baada ya miaka kadhaa nikapata ajira stable lakini nikaona kazini pekee kutegemea mshahara ni kuridhika, sikukomaa vizuri kwa uzoefu kwenye biashara niliyofanya kabla sijaajiriwa lakini baada ya kuajiriwa bado nilikuwa na kiu kiu kuendelea na biashara, kama kawaida changamoto zilinilamba mitama ila kwa with time nimekuwa mzoefu na nina biashara kadhaa zinazonipa faida, nipo na confidence kubwa kwenye biashara na ndio imenibadilisha hata kiuchumi, account inasoma visifuri vya ziada.

Nilipostuka nimefungua kaduka ka mahitaji kwa mtaji wa kawaida kabisa kwa lengo la kusimulate watoto, nimeweka binti wa kuuza, ila watoto nilienda nao TRA kukata tax clearance, Niliwashirikisha closely kupata Tin namba ya eneo la biashara, niliwaonesha namna ya kulipia leseni ya biashara, wao ndio watakuwa wanalipia kodi ya makadirio kila baada ya miezi minne, kufanya stock kila siku litakuwa jukumu lao, n.k. Baada ya mwaka au miezi 6 nimepanga kuifunga hii biashara kisha nifungue upya kwa lengo la kuwazoesha wazoee process za kufungua na vibali.

Mwakani hivi naona watakuwa wamezoea zoea ndio ntaanza kuwashirikisha kwenye biashara zangu kuu.
Huu uzi una point kubwa sana ila cha ajabu hautapata wachangiaji wengi maana wabongo wengi wanapenda mada za kupigana miti na umbea wa Mange kimambi
 
Huu uzi una point kubwa sana ila cha ajabu hautapata wachangiaji wengi maana wabongo wengi wanapenda mada za kupigana miti na umbea wa Mange kimambi
Jamani lakini kupigana miti napo mbona kwa wenzwtu inawpa hela nyingi ni kwamba tuu sie hatujaweza commercialize kupigana miti
 
Elimu sio ya kuibeza lakini ni vipi kama mzazi/mlezi una biashara ama umejiajiri kwanini umkazanie mtoto awe anasoma tu wakati wewe una formula ya uhakika ya kupiga pesa ? inasahangaza kuona mzazi anaingiza almost milioni 3 na kuendelea kila mwezi lakini anamkazania mtoto awe anasoma tu ili aje "KUJARIBU BAHATI YA KUAJIRIWA" (ni bahati kwasababu ajira zimekuwa ngumu na huenda mtoto shule ikamshinda), Kuna haja gani ya kusubiria mtoto apitie msoto ndio uanze kumshirikisha kwenye biashara wakati unaweza kuanza nae tangu ana miaka 10 ? mbaya zaidi ukiondoka mapema hata watoto hawana idea ya kusimamia mambo yako watauza mali zako kwa bei za kutupa na biashara kufilisika.

Na hapa kuna wazazi wanawafundisha watoto biashara ama kujiajiri ndivyo sivyo, Biashara kama duka unakuta mtoto tangu mdogo anachojua ni kuuza tu wala hajui faida inayopatikana, mzigo unaponunuliwa, vibali, kodi, n.k. Na mzazi anajisifu na kujipiga kifua kwamba anamfundisha mtoto biashara, LA HASHA !! Unamwandaaa aje auzie wengine maduka kwa mshahara wa laki 1.

Nao waliojiajiri mfano wakulima na wafugaji unakuta wanachofundisha watoto ni kuchunga ngombe na kulima tu, wala hawajawahi kwenda nao mnadani ama sokoni kutafuta wateja, kumfundisha mtoto kunegotiate, kumpa mtoto iridha ya wateja, n.k. mtoto akiulizia mzazi anamwambia soma kwanza !! ni kweli kusoma ni muhimu lakini kuna ubaya gani kumuongezea elimu ya kujipatia kipato cha uhakika ? kumyima mtoto haya maarifa ni kumuandaa awe shamba boy au mchungaji wa mbuzi.


Mimi binafsi kama mzazi nilipomaliza chuo nilipitia msoto nikimaliza soli kutafuta ajira, nilipewa kamtaji kufungua duka langu ila ugeni wangu katika biashara ulizifanya changamoto nazokutana nazo kwa mara ya kwanza zinilambe mitama huku nikipata faida ndogo sana, baada ya miaka kadhaa nikapata ajira stable lakini nikaona kazini pekee kutegemea mshahara ni kuridhika, sikukomaa vizuri kwa uzoefu kwenye biashara niliyofanya kabla sijaajiriwa lakini baada ya kuajiriwa bado nilikuwa na kiu kiu kuendelea na biashara, kama kawaida changamoto zilinilamba mitama ila kwa with time nimekuwa mzoefu na nina biashara kadhaa zinazonipa faida, nipo na confidence kubwa kwenye biashara na ndio imenibadilisha hata kiuchumi, account inasoma visifuri vya ziada.

Nilipostuka nimefungua kaduka ka mahitaji kwa mtaji wa kawaida kabisa kwa lengo la kusimulate watoto, nimeweka binti wa kuuza, ila watoto nilienda nao TRA kukata tax clearance, Niliwashirikisha closely kupata Tin namba ya eneo la biashara, niliwaonesha namna ya kulipia leseni ya biashara, wao ndio watakuwa wanalipia kodi ya makadirio kila baada ya miezi minne, kufanya stock kila siku litakuwa jukumu lao, n.k. Baada ya mwaka au miezi 6 nimepanga kuifunga hii biashara kisha nifungue upya kwa lengo la kuwazoesha wazoee process za kufungua na vibali.

Mwakani hivi naona watakuwa wamezoea zoea ndio ntaanza kuwashirikisha kwenye biashara zangu kuu.
False dichotomy.

Kwani kumfundisha mtoto biashara si elimu?

Au tunakariri elimu lazima uende darasani na upewe cheti na serikali?
 
Safi sana, tulio ambiwa soma tu kwanza maisha utayakuta, sasaivi tupo mtaani tunasaga meno baada ya kumaliza chuo ajira hamna biashara ni ngumu huna ujuzi wowote hakika haya ni mateso nilishafanya biashara ikafa vibaya sana sikupata tena mtaji hali ni ngumu ngumu ngumu.
Elimu sio ya kuibeza lakini ni vipi kama mzazi/mlezi una biashara ama umejiajiri kwanini umkazanie mtoto awe anasoma tu wakati wewe una formula ya uhakika ya kupiga pesa ? inasahangaza kuona mzazi anaingiza almost milioni 3 na kuendelea kila mwezi lakini anamkazania mtoto awe anasoma tu ili aje "KUJARIBU BAHATI YA KUAJIRIWA" (ni bahati kwasababu ajira zimekuwa ngumu na huenda mtoto shule ikamshinda), Kuna haja gani ya kusubiria mtoto apitie msoto ndio uanze kumshirikisha kwenye biashara wakati unaweza kuanza nae tangu ana miaka 10 ? mbaya zaidi ukiondoka mapema hata watoto hawana idea ya kusimamia mambo yako watauza mali zako kwa bei za kutupa na biashara kufilisika.

Na hapa kuna wazazi wanawafundisha watoto biashara ama kujiajiri ndivyo sivyo, Biashara kama duka unakuta mtoto tangu mdogo anachojua ni kuuza tu wala hajui faida inayopatikana, mzigo unaponunuliwa, vibali, kodi, n.k. Na mzazi anajisifu na kujipiga kifua kwamba anamfundisha mtoto biashara, LA HASHA !! Unamwandaaa aje auzie wengine maduka kwa mshahara wa laki 1.

Nao waliojiajiri mfano wakulima na wafugaji unakuta wanachofundisha watoto ni kuchunga ngombe na kulima tu, wala hawajawahi kwenda nao mnadani ama sokoni kutafuta wateja, kumfundisha mtoto kunegotiate, kumpa mtoto iridha ya wateja, n.k. mtoto akiulizia mzazi anamwambia soma kwanza !! ni kweli kusoma ni muhimu lakini kuna ubaya gani kumuongezea elimu ya kujipatia kipato cha uhakika ? kumyima mtoto haya maarifa ni kumuandaa awe shamba boy au mchungaji wa mbuzi.


Mimi binafsi kama mzazi nilipomaliza chuo nilipitia msoto nikimaliza soli kutafuta ajira, nilipewa kamtaji kufungua duka langu ila ugeni wangu katika biashara ulizifanya changamoto nazokutana nazo kwa mara ya kwanza zinilambe mitama huku nikipata faida ndogo sana, baada ya miaka kadhaa nikapata ajira stable lakini nikaona kazini pekee kutegemea mshahara ni kuridhika, sikukomaa vizuri kwa uzoefu kwenye biashara niliyofanya kabla sijaajiriwa lakini baada ya kuajiriwa bado nilikuwa na kiu kiu kuendelea na biashara, kama kawaida changamoto zilinilamba mitama ila kwa with time nimekuwa mzoefu na nina biashara kadhaa zinazonipa faida, nipo na confidence kubwa kwenye biashara na ndio imenibadilisha hata kiuchumi, account inasoma visifuri vya ziada.

Nilipostuka nimefungua kaduka ka mahitaji kwa mtaji wa kawaida kabisa kwa lengo la kusimulate watoto, nimeweka binti wa kuuza, ila watoto nilienda nao TRA kukata tax clearance, Niliwashirikisha closely kupata Tin namba ya eneo la biashara, niliwaonesha namna ya kulipia leseni ya biashara, wao ndio watakuwa wanalipia kodi ya makadirio kila baada ya miezi minne, kufanya stock kila siku litakuwa jukumu lao, n.k. Baada ya mwaka au miezi 6 nimepanga kuifunga hii biashara kisha nifungue upya kwa lengo la kuwazoesha wazoee process za kufungua na vibali.

Mwakani hivi naona watakuwa wamezoea zoea ndio ntaanza kuwashirikisha kwenye biashara zangu kuu.
 
Jamani lakini kupigana miti napo mbona kwa wenzwtu inawpa hela nyingi ni kwamba tuu sie hatujaweza commercialize kupigana miti
sahih tena ina hela hatar ila upigaj wa miti wa wabongo sijaupenda kwa kweri yaan wanapiga miti polepole na hawajui kuandaana yapo yapo tu hapa nataka nilete mapinduz kwenye hy secta ngoja niongeze mtaji
 
Jamani lakini kupigana miti napo mbona kwa wenzwtu inawpa hela nyingi ni kwamba tuu sie hatujaweza commercialize kupigana miti
sahih tena ina hela hatar ila upigaj wa miti wa wabongo sijaupenda kwa kweri yaan wanapiga miti polepole na hawajui kuandaana yapo yapo tu hapa nataka nilete mapinduz kwenye hy secta ngoja niongeze mtaji
 
Back
Top Bottom