Habari.
Ninaishi kwenye familia ambayo wazazi wamempa nafasi kubwa mtoto wa kwanza Tuseme first born wetu.
Kiukweli hali hii imekuwa ikinikwaza sana hadi niliapa siku nikija kuzaa sitafanya hivi kwa watoto wangu.
First Born wetu ni kama ndo msemaji mkuu wa familia, kila anachosema yeye ni sahihi hataki mawazo wala ushauri hali hii imepelekea mimi kugombana naye muda mwingi.
Kiukweli amekuwa na mchango mkubwa katika familia Yetu hata kuhakikisha sisi Wote tumesimama wenyewe.
Leo hii nimekuwa mkubwa najigemea ila nimejikuta Niko mbali na familia yangu kwa kitendo cha kuchukia dada yetu mkubwa kutaka kuchukua nafasi ya wazazi na kunyenyekewa.
Anaamua kuuza kiwanja anaamua chochote akipigwa hataki na mzazi atamsapoti kwa kila kitu.
Muda mwingi amekuwa na ukaribu na baba name Wanashirikishana Siri zao wenyewe.
Mtazamo wangu nimeamua kuwa mbali na ndugu.
Ninaishi kwenye familia ambayo wazazi wamempa nafasi kubwa mtoto wa kwanza Tuseme first born wetu.
Kiukweli hali hii imekuwa ikinikwaza sana hadi niliapa siku nikija kuzaa sitafanya hivi kwa watoto wangu.
First Born wetu ni kama ndo msemaji mkuu wa familia, kila anachosema yeye ni sahihi hataki mawazo wala ushauri hali hii imepelekea mimi kugombana naye muda mwingi.
Kiukweli amekuwa na mchango mkubwa katika familia Yetu hata kuhakikisha sisi Wote tumesimama wenyewe.
Leo hii nimekuwa mkubwa najigemea ila nimejikuta Niko mbali na familia yangu kwa kitendo cha kuchukia dada yetu mkubwa kutaka kuchukua nafasi ya wazazi na kunyenyekewa.
Anaamua kuuza kiwanja anaamua chochote akipigwa hataki na mzazi atamsapoti kwa kila kitu.
Muda mwingi amekuwa na ukaribu na baba name Wanashirikishana Siri zao wenyewe.
Mtazamo wangu nimeamua kuwa mbali na ndugu.