platozoom
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 9,548
- 11,517
si ndo maana ukahamia kwa kule manake ulijua bunduki yako risasi zake haziui na sindano yako haikozi?
eeeeeeeh!!
si ndo maana ukahamia kwa kule manake ulijua bunduki yako risasi zake haziui na sindano yako haikozi?
usjali lol! ila tu iyo huwa tunakaa kisha usiku tunaenda club japo kudance kidogo lol! japo wazee lakin tutoe stress atii.
Habari zenu wana jamvi.
Naombeni maoni yenu /michango yenu.
Mie ni Mdada wa miaka 30 nima MBA ya UDSM na nimebahatika nimeajiriwa hapa DSM mitaa ya post mpya.Pia nina ishi na Virus visababishavo ukimwi (HIV)
Naisha maisha ya kawaida kabisa nimejenga na nina kiusafiri cha kunifikisha popote napotaka kwenda.Vile vile ni Mrembo nimeumbika haswaa maji ya kunde umbo la kibantu haswaa hakuna mwanaume akutane na mie asigeuke mara mbili mbili kuniangalia.
Niliishi maisha ya kawaida tu hapo awali adi mwaka 2008 mwishoni nilipata mchumba kwenda kupima mie nikangundulika nimeathirika wapendwa.kweli ilikuwa hali ngumu sana kwa upande wangu.Nikakaa kimya adi leo sijawambia mtu ndo naweka wazi hapa Jamii leo hii.Namshukuru Mungu nina afya njema sana sina hapa uwezi kujua hata ukiambiwa uwezi kukubali.
Shida ni hii hapa Unyanyapaa kwa baadhi ya jamaa zetu katika jamii zinazotuzunguka umekuwa mkubwa sana.
Hali hii uwa inanipelekea kutaka kuambuka kwa makusudi wanaume wanaojigonga kwangu.Na wakati mwingine mie kama binadamu uwa najikuta kwenye mahusiano kama mjuavyo mara ya kwanza mtatumia kinga ya pili njema inataka kavu hapo ndo uwa napatwa na ngazi mwili mzima.
Jamani napenda kutoa wito kwa waathirika mwenzangu hapa Jamii forum tujiunge walau tufanye ka network ketu ili tuangalie namna ya kupambamba na Maradhi+Unyanyapaa na kukumbusha jamii UKIMWI upo nna pia hauchagui.Maana sie wagonjwa ndo tunajukumu la kuwalinda hawa wanao tunyanyapaa.
Tukichukulia Hasira unyanyapaa nawaaambia waTanzania wengi watapoteza maisha yao kwa HIV.
Na ninajutia sana Kwa kuwaambukiza wengine kwa taama zao za kimwili.
Asante
HIV+
Habari zenu wana jamvi.
Naombeni maoni yenu /michango yenu.
Mie ni Mdada wa miaka 30 nima MBA ya UDSM na nimebahatika nimeajiriwa hapa DSM mitaa ya post mpya.Pia nina ishi na Virus visababishavo ukimwi (HIV)
Naisha maisha ya kawaida kabisa nimejenga na nina kiusafiri cha kunifikisha popote napotaka kwenda.Vile vile ni Mrembo nimeumbika haswaa maji ya kunde umbo la kibantu haswaa hakuna mwanaume akutane na mie asigeuke mara mbili mbili kuniangalia.
Niliishi maisha ya kawaida tu hapo awali adi mwaka 2008 mwishoni nilipata mchumba kwenda kupima mie nikangundulika nimeathirika wapendwa.kweli ilikuwa hali ngumu sana kwa upande wangu.Nikakaa kimya adi leo sijawambia mtu ndo naweka wazi hapa Jamii leo hii.Namshukuru Mungu nina afya njema sana sina hapa uwezi kujua hata ukiambiwa uwezi kukubali.
Shida ni hii hapa Unyanyapaa kwa baadhi ya jamaa zetu katika jamii zinazotuzunguka umekuwa mkubwa sana.
Hali hii uwa inanipelekea kutaka kuambuka kwa makusudi wanaume wanaojigonga kwangu.Na wakati mwingine mie kama binadamu uwa najikuta kwenye mahusiano kama mjuavyo mara ya kwanza mtatumia kinga ya pili njema inataka kavu hapo ndo uwa napatwa na ngazi mwili mzima.
Jamani napenda kutoa wito kwa waathirika mwenzangu hapa Jamii forum tujiunge walau tufanye ka network ketu ili tuangalie namna ya kupambamba na Maradhi+Unyanyapaa na kukumbusha jamii UKIMWI upo nna pia hauchagui.Maana sie wagonjwa ndo tunajukumu la kuwalinda hawa wanao tunyanyapaa.
Tukichukulia Hasira unyanyapaa nawaaambia waTanzania wengi watapoteza maisha yao kwa HIV.
Na ninajutia sana Kwa kuwaambukiza wengine kwa taama zao za kimwili.
Asante
HIV+
Hahahaaaaaa! Watu hamsahau! Ile sio nitoke vipi! Kweli eti mwenzenu amenikuta! LOLEST!!!! Nilinusurika BAN, ila uzi ulifungiwa
****k u!!
umenifanya nicheke sana platozoom. sasa ngoja nikwambie cacico huwa anakuja na hubby wake mie huwa naaga kabisa na huwa ana hakikisha niko full kila kona, snowhite vile vile. sasa usitegemee hilo. lol!
Oyaah Sister HIV+, punguza ghadhab, HIV haiuwi mtu sasa hivi. Niliweka nyuzi humu kwenye ukumbi wa daktari. Kuna mwana JF mmoja anaejiita MziziMkavu akaponda sana dawa iitwayo 4A9 bila kufanya utafiti wowote, hata bila ya kuonana na waloivumbuwa hiyo dawa. Hii dawa imevumbuliwa na Mtanzania mwenzetu na imesaidia wengi sana, ni bora kuliko ARV na haina side effects.
Wasome kwenye website yao, nenda kaijaribu uje kutupa majibu hapa hapa. Bofya: 4a9
Baada ya kuusambaza ndio umepata busara sio?
mkuu naujuaga uchokozi wako lakn jua kabisa kwamba hakuna binadamu ambaye ni msimamizi wa furaha ama afya ya mwingine bali tu washiriki wa furaha mtu aipatayo kwa kuwa na afya njema. sasa katuonyesha kabisa kwamba hata ukikutana nae huwez kujua kwamba kaathirika na line uloshade bluu ya mwisho limaanisha hivyo ingawa kiswahili chake ni kigumu kueleweka kwa haraka.
nimempenda alipotoa angalizo kwa wengine kuepuka wasije wakaambukiza kusudi jambo ambalo linatoa faraja kwa kila mtu. sasa weye endelea kuchokoza kwa kusoma na kukosoa kila mstari. ila ukweli ndio huo. ama wataka fimbo ya mwalimu itumike kukuadhibu? kumbuka mwl mie ni mkali.
Inaonekana injinia huwa ana-provide mabaunsa lol!
ulaaniwe mara trillioni!
nIMEMHESHIMU SANA MLETA MADA,
NOTHING BUT LOVE AND RESPECT
LABDA NIULIZE SWALI MOJA LA UJUMLA, UNAPOJUA UNA HIV NA UKAFANYA TENDO LA NDOA BILA KINGA HUWA UNAPATA MAWAZO GANI??
Nasema haya kwa sababu kuna mtu unakuta anajijua kabisa lakini analazimisha wasitumie kinga (hii ni kwa wote, males and females)....
Kwa kosa gani/ Kutoa maoni yangu ni kosa? Au na wewe ni msambazaji pia?