HIV inanitesa

HIV inanitesa

Hiyoo dawa naifahamu nahuyoo mtengenezaji namjua nilisha kwenda kwake ila sikupata mafanikio.
 
Pole sn, ila usiendelee kuambukiza, dawa tayari imepetikana nakuombea kwa alla uweze kuipata mapema ili uwe na furaha na amani
 
Nashukuru sana kaka Kweli jamii inapaswa kukumbusha juu ya janga hili.
Yatupasa kuunga nguvu ya pamoja ili kunusuru vizazi vetu.
 
Song: "Alone"
Introduction:​
Philly Lutaaya, who composed "Alone", was a Ugandan musician, who was the first public figure in Uganda to publicly declare his HIV-positive status. He then toured the country talking about HIV, and made a tremendous contribution to opening up this subject for public discussion and debate. Unfortunately he died in December 1989, and this song "Alone" then became a sort of anthem of the AIDS community in Uganda, and we thought it might be appropriate if we concluded by singing "Alone" together. Glen Williams.
"Alone"​
by Philly Bongoley Lutaaya (1951 - 1989) Out there somewhere, alone and frightened Of the darkness, the days are long Life is hiding, no more making new contacts No more loving arms thrown around my neck Take my hand now, I'm tired and lonely Give me love, give me hope Don't desert me, don't reject me All I need is love and understanding
Chorus:​
Today it's me, tomorrow someone else It's me and you, we've got to stand up and fight We'll shed a light in the fight against AIDS Let's come on out, let's stand together and fight AIDS In times of joy, in times of sorrow Let's take a stand and fight on to the end With open hearts, let's stand out and speak out to the world We'll save some lives, save the children of the world Let's be open, advise the young ones A new generation to protect and love Hear them singing, playing, laughing Let's give them everything in truth and love Take the message, cross the frontiers Break the barriers, we'll fight together The doors are open, we'll lead the struggle We won't bow down now, no we will fight on​
Chorus


Naupenda sana sana huu wimbo subiri niigoogle vidoe yake pia niiweke hapa
 
hivi wataka kuniambia kujiita HIV+ NI KUJIKUBALI? je utatofautishaje yule anaye jiita simply kwasababu ameathirika na hana jinsi kwenye kundi la wale wanaoojiita baada ya kukubali hali halisi?

naamin maandish ama mwandiko wa mtu can sometimes define the person, sasa tell me mwandiko wa huyu dada umemdefine vipi kwako kama wataka kumfanyia kanseli?

kuhusu hiyo verb ilofanywa noun na gfsonwin nafikiri aliwaza yote mawili na akamaanisha noun mkono ukaandka verb msamehe.

Kujikubali, pamoja na kukubali tatizo ni hatua ya kwanza katika kutatua tatizo lenyewe.

Ndugu yetu kafanya jambo la busara la kwanza, kaenda kupima HIV. Wengi wanashindwa hili, pongezi zake.

Kafanya jambo la busara la pili, kaja hapa kutukumbusha kuhusu janga hili na kututaka ushauri. Kaanza kutukumbusha kwa jina lake.

Wengine wanataka kufanya nini? Wanataka denial. Deny kama HIV ipo. Ifute kwenye JF names kwani ukiiweka hapo itawakumbusha watu na kuwaharibia utamu.Deny deny deny. With a dilapidated benevolence that purports to do so lovingly.

Utamfariji vipi mtu HIV+ anaefunguka kwa kumuambia HIV ni kitu cha kuonea aibu na kufichwa hivyo abadili jina lake?

Huwezi kumfariji, utamfariji kwa kumwambia HIV ni sehemu ya maisha na ingawa ni janga tusiloombea, ukilipata haliondoi utu wako, na kama una nia ya kujumuika na wenzako ukiwa muwazi, karibu ujumuike nasi, hatutakubagua wala kukytaka ubadili jina.

Maana tunakupenda kama ulivyo, HIV+ OR -.

Hii habari ya kutaka abadili jina ndo unyanyapaa huuhuu anaousema.
 
Huyu demu yaani naona ni muuaji tu na hata hiyo anayosema ni network ya waathirika naona kama ana lake jambo.


Yale yale ya unyanyapaa. Mtu hata humjui tayari ushanza "ni muuaji tu".
 
Huyu demu yaani naona ni muuaji tu na hata hiyo anayosema ni network ya waathirika naona kama ana lake jambo.

Ndio ana lake jambo. Si ndo hilo moja amelitaja au?

hajamuwekea mtu mtutu wa bunduki kuwa lazima ajiunge nae.
 
Mtoa mada nina uhakika utazaa mtoto salama, kwani huyo mcggumba wako aliathirika? Na ndiye aliyekuambkiza? Nakushauri tafuta mchumba kutokana na sifa ulizojisifia utawapata wengi tu
 
habari zenu wana jamvi.
Naombeni maoni yenu /michango yenu.
Mie ni mdada wa miaka 30 nima mba ya udsm na nimebahatika nimeajiriwa hapa dsm mitaa ya post mpya.pia nina ishi na virus visababishavo ukimwi (hiv)

naisha maisha ya kawaida kabisa nimejenga na nina kiusafiri cha kunifikisha popote napotaka kwenda.vile vile ni mrembo nimeumbika haswaa maji ya kunde umbo la kibantu haswaa hakuna mwanaume akutane na mie asigeuke mara mbili mbili kuniangalia.

Niliishi maisha ya kawaida tu hapo awali adi mwaka 2008 mwishoni nilipata mchumba kwenda kupima mie nikangundulika nimeathirika wapendwa.kweli ilikuwa hali ngumu sana kwa upande wangu.nikakaa kimya adi leo sijawambia mtu ndo naweka wazi hapa jamii leo hii.namshukuru mungu nina afya njema sana sina hapa uwezi kujua hata ukiambiwa uwezi kukubali.

Shida ni hii hapa unyanyapaa kwa baadhi ya jamaa zetu katika jamii zinazotuzunguka umekuwa mkubwa sana.
Hali hii uwa inanipelekea kutaka kuambuka kwa makusudi wanaume wanaojigonga kwangu.na wakati mwingine mie kama binadamu uwa najikuta kwenye mahusiano kama mjuavyo mara ya kwanza mtatumia kinga ya pili njema inataka kavu hapo ndo uwa napatwa na ngazi mwili mzima.

Jamani napenda kutoa wito kwa waathirika mwenzangu hapa jamii forum tujiunge walau tufanye ka network ketu ili tuangalie namna ya kupambamba na maradhi+unyanyapaa na kukumbusha jamii ukimwi upo nna pia hauchagui.maana sie wagonjwa ndo tunajukumu la kuwalinda hawa wanao tunyanyapaa.

Tukichukulia hasira unyanyapaa nawaaambia watanzania wengi watapoteza maisha yao kwa hiv.
Na ninajutia sana kwa kuwaambukiza wengine kwa taama zao za kimwili.
Asante
hiv+

pole sana
 
Huyu demu yaani naona ni muuaji tu na hata hiyo anayosema ni network ya waathirika naona kama ana lake jambo.

Mods tuwekeeni kitufe cha 'dislike' tuwe tunabofya tu na kuondoka. Mengine hayahitaji kuyawekea maelezo.
 
what i can't understand is how people know that you are positive ili wakunyanyapae. ok umesema toka upime hujawa kumwambia mtu kwamba uko +ve sasa watu huota ama?

to me and am very serious unajinyanyapaa mwenyewe and taking into account ushauri wa snowhite your name can tell us so.

my take.
leave everything behind be you, amini kwamba hakunaga wewe mwingine and so long as you are living you deserve everything good. stop living under illusions kama huna watu unaowaambia ama kama huna bifu na mtu sidhan kama mtu atakunyanyapaa pasi sababu.

you know what u are suffering from, is inferiority complex ambayo ni rooted from tatizo ulilo nalo and thats why you can date a person pasi kumwambia ukweli at first sight. kama kweli unajipenda unasema ukweli and you look for someone ambaye yuko kama wewe maisha yanasonga mbona hapa jamvini wengi tu hupata wapenzi ambao ni waathirika kama wao kwa kujitangaza wazi? na hawajawah kurudi kutultltmikia kwamba wamekuwa victimized?

nakuombea sana Mungu akujalie ujikubali.

Ama hujaona post hii hapa https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/328854-hiv-inanitesa-2.html#post4694571

Ama hujaielewa.

Huwezi kusema kwamba kwa sababu watu hawakujui kwamba wewe ni HIV+ hawawezi kukunyanyapaa.

Kama uko katika jamii inayoona wanawake wasioweza kuzaa si wanawake kamili, na wewe ni mwanamke usiyeweza kuzaa, ukapita sehemu ukasikia watu wanajiongelea kivyao "yule mwanamke gani mwanamke jina, hata kuzaa hazai ndoa mwaka wa kumi sasa" tayari hii tabia ya jamii kunyanyapaa wanawake wasioweza kuzaa imeshakunyanyapaa na wewe kama sehemu ya watu hao hata bila kukujua personally.

Na huwezi kumwambia mtu anayelalamika kuhusu unyanyapaaji huu kwamba"wee gangamala tu usiwasikilize hao, ondoa inferiority complex", kwa sababu ana haki ya kulalamika juu ya unyanyapaaji huu.

Tatizo hapa si inferiority complex ya wenye HIV au wasioweza kuzaa, tatizo ni superiority complex ya wengine.
 
Nashukuru sana kaka Kweli jamii inapaswa kukumbusha juu ya janga hili.
Yatupasa kuunga nguvu ya pamoja ili kunusuru vizazi vetu.

Mpaka umefikia uamuzi huu,ulishawaambukiza wangapi drum?
 
Habari zenu wana jamvi.
Naombeni maoni yenu /michango yenu.
Mie ni Mdada wa miaka 30 nima MBA ya UDSM na nimebahatika nimeajiriwa hapa DSM mitaa ya post mpya.Pia nina ishi na Virus visababishavo ukimwi (HIV)

Naisha maisha ya kawaida kabisa nimejenga na nina kiusafiri cha kunifikisha popote napotaka kwenda.Vile vile ni Mrembo nimeumbika haswaa maji ya kunde umbo la kibantu haswaa hakuna mwanaume akutane na mie asigeuke mara mbili mbili kuniangalia.

Niliishi maisha ya kawaida tu hapo awali adi mwaka 2008 mwishoni nilipata mchumba kwenda kupima mie nikangundulika nimeathirika wapendwa.kweli ilikuwa hali ngumu sana kwa upande wangu.Nikakaa kimya adi leo sijawambia mtu ndo naweka wazi hapa Jamii leo hii.Namshukuru Mungu nina afya njema sana sina hapa uwezi kujua hata ukiambiwa uwezi kukubali.

Shida ni hii hapa Unyanyapaa kwa baadhi ya jamaa zetu katika jamii zinazotuzunguka umekuwa mkubwa sana.
Hali hii uwa inanipelekea kutaka kuambuka kwa makusudi wanaume wanaojigonga kwangu.Na wakati mwingine mie kama binadamu uwa najikuta kwenye mahusiano kama mjuavyo mara ya kwanza mtatumia kinga ya pili njema inataka kavu hapo ndo uwa napatwa na ngazi mwili mzima.

Jamani napenda kutoa wito kwa waathirika mwenzangu hapa Jamii forum tujiunge walau tufanye ka network ketu ili tuangalie namna ya kupambamba na Maradhi+Unyanyapaa na kukumbusha jamii UKIMWI upo nna pia hauchagui.Maana sie wagonjwa ndo tunajukumu la kuwalinda hawa wanao tunyanyapaa.

Tukichukulia Hasira unyanyapaa nawaaambia waTanzania wengi watapoteza maisha yao kwa HIV.
Na ninajutia sana Kwa kuwaambukiza wengine kwa taama zao za kimwili.
Asante
HIV+

usipopata PM sijui BTW pole sana na uwe unafanyaga na mazoezi mama enheee na pia bado unapenda kutoa tu waonee huruma hawa wenye tamaa..
 
Pole sana dada tafadhali nitumie email ID yako nitakushauri kitu cha kufanya please usidharau
 
................MShukuru MUNGU .......... kwa kujitambua wengi hawajajaliwa kujitambua hii user name yako, umeanza kujinyanyapaa wewe mwenyewe! IBADILISHE kuwa ni mwathirika sio kifo, una chance na fursa nyingi duniani, kuugua sio kufa, wanakufa wazima wagonjwa wanabaki, jipende na furahia maisha, MUNGU akutie nguvu, akuwezeshe endelea kumcha MOLA kuathirika sio sababu ya kujikataa na kuwapa wengine faida, endelea kufuata ushauri maelekezo ya Madktari
 
Professor Jay ameimba vizuri kwenye Msinitenge
Ukimwi haupatikani kwa ngono tu hata kwa kuchangia sindano na likes zenye ncha kali.
Pia kumbuka starehe ya pro jay nazipenda sana nilitaka kuziupload sema simu imekataa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom