HIV inanitesa

HIV inanitesa

duuu pole sana dada ILA HIYO USER NAME YAKO SIJAIPENDA BWANA!
 
usifikie hatua hiyo, usianzishe hii mada ikawa sababu ya kukutenga, wewe ni kama mimi na wengine, mimi sijui kama nina HIV, naogopa kupima, naogopa kupima si kwa sababu yyt ile ila ni kwa sababu kwa hizo unazozisema. Tuanze jambo hili

1. Kuna magonjwa mabaya heri ya HIV wengine wapo na hali mbaya kwa kisukari, pressure nk
2 Mbona wew na mimi tunafanyakazi, tuaruka na kucheza,

kikubwa ni kumlinda kila aliembele yako.

usianzishe kikundi chenu, anza kusema kikundi cha wana jf. Jihakikishie unaacha kitu chenye thamani

kila hatua moja mbele, na sio kukutana kimwili na HIV- usimwambie una HIV+ isipokuwa kataa tu, kataa sana

bado unaweza kuwa na mwenza wako. Hiyo ndio hoja sahihi hapa kwa sasa, kwa kuwa umesema uliacha kufunga ndoa kwa sababu hiyo, atafunguka ambae angependa uwe nae, vinginevyo basi, unauhuru wa kuona huhitaji kuzaa na

kwa kuwa uliachana na uliempenda bado unaweza kuishi kwa raha kama mimi na mtu yeyote yule.

Jenga imani na maisha ya wengine,
 
Usikate tamaa dadangu, stick to those who value you much, ignore wanaokunyanyapaa, afterall kwa nn unateseka na wanyanyapaaji na unaacha kufurahia na wanaokuwa nawe, mi nipo pamoja nawe
 
Lahaula! Jamani Snowhite,mjini hakuna wazee, wazee wapo hukooo sikonge,chole samvula au samvula chole, tandahimba na kwingineko. Huku mjini....mhh..ukiniita ivo lazima unitake radhi atiii. Kicheko!

ah mi naukemea uzee kwa nguvu zote!kabinti kangu ka kwanza kana miaka 14 tu,sa na mi nijiite mzee na babangu ajiite nani!akha mwenzangu hapa ujana kwa kwenda mbele nawakimbiza mtindo mmoja ndani ya hivi hiv vitenge na viatu vya kutumbukiza hahahhahahahahhahah!chezeya mujini wewe!
 
They call me King Kong, copy?
They call me King Kong, copy?
They call me King Kong, copy, copy, copy?
They call me King Kong, copy?
Big ballin’ is my hobby
So much so they think I’m down with the
illuminati
My watch do illuminate
My pockets are tottie
But I’m God body, ya’ll better ask
somebody
I was born a God
I made myself a king
Which means I down graded to a human
being
You was born a Goddess
I made you my queen
Which means we upgraded to Louis the
thirtee
NALIKUBALI HILI SONGI.
 
Pole bi mdada..keep on moving.Mungu anakuona
 
Hebu weka picha yako walau kuanzia maeneo ya kiunoni kushuka chini nione hilo figa la kibantu mwanawane..pole sana lakini.
 
Pole dada

HIV haiuwi, ajali za magari ndo zinaua zaidi.

Unaweza kuishi maisha ya kawaida kama wengine. Unaweza kuolewa, tena kwa Harusi, ukazaa watoto wenye afya, ukawalea na ukawasomesha.

HIV sio kifo, HIV ni hali ya maisha tu kama vile umasikini ama ujinga

Na pia jipe moyo, tumia dawa na lishe za asili pia.

Weka malengo na utashinda.

Mie mwenyewe sijapima tangu mwaka juzi, hivo wengi wetu hatujapima na hatujui afya zetu.

Kwa hiyo watanzania tuache unyanyapaa, leo kwake kesho kwako ama kwa ndugu yako.
 
Pia unaweza kufanya mapenzi na mwanaume bila kumwambukiza.

Inatakiwa wanaume tuache kufikiri tunaweza kukomoa uke. Tufanye Ngono bila michubuko
 
Dah pole sana dis isue nakumbk when i waz smal kuna 2likua 2nadiscus that isue kuna kaka mmja akasema ningekuwa rais ningewauwa wote wenye HIV ili kusewepo na maambukiz c2 2kamwambia sio vizuri kabsa aftr years sister ake akapata, th girl waz descent man alifany kusud kumuambukiza nikakumbka je anaweza rudia ile idea alosema nt gud kunyanyapaa even 2 say bd thngs abt the afected people God z there 4 u dear dnt lose hope
 
Mkuu Safari_ni_Safari hautakiwi kumjibu hivyo. Yeye ameshasema anajutia kwa kuwaambukiza wengine. Inatosha maana ameshajutia na hivyo kutubu. Tunachotakiwa kufanya ni kumpa moyo aendelee kijilinda na kuwalinda wengine. Tuache unyanyapaa maana unyanyapaa ndio kiama chetu pale wanao nyanyapaliwa wanapoamua kuambukiza makusudi ili kulipa kisasi. Tuache unyanyapaa.


sister usimind mbona tupo wengin tu wenye hilo tatizo, kikubwa usimwambukize mtu makusudi ila mwambie ukweli kuwa umeathirika mtumie kinga, mbona mimi huwa nawatel na wenyewe wanakubali, peace and love sisteri:high5:
 
nIMEMHESHIMU SANA MLETA MADA,

NOTHING BUT LOVE AND RESPECT

LABDA NIULIZE SWALI MOJA LA UJUMLA, UNAPOJUA UNA HIV NA UKAFANYA TENDO LA NDOA BILA KINGA HUWA UNAPATA MAWAZO GANI??

Nasema haya kwa sababu kuna mtu unakuta anajijua kabisa lakini analazimisha wasitumie kinga (hii ni kwa wote, males and females)....
 
Ukimwi usikuchanganye, kwanza unashika nafasi ya 4 kwa kuua, ila nakusihi usiambukize wengine dadaangu..
 
They call me King Kong, copy?
They call me King Kong, copy?
They call me King Kong, copy, copy, copy?
They call me King Kong, copy?
Big ballin’ is my hobby
So much so they think I’m down with the
illuminati
My watch do illuminate
My pockets are tottie
But I’m God body, ya’ll better ask
somebody
I was born a God
I made myself a king
Which means I down graded to a human
being
You was born a Goddess
I made you my queen
Which means we upgraded to Louis the
thirteen
Hot tottie, her body like cognac
Her momma likes herb tea
We birthed a couple of sacks
And after she sleeped, I creeped in to
her tee-pee
We did it Indian style, had the girls
speaking
In tongue she like young, you hung,
what you done, done
Stop it fore you wake up my momma
might (ahhhh)
Now that I’ve arrived it’s time that I go...
I’m so cold, I’m so cold...
I’m like oh Kimosabe
Your body is my hobby
We’re freakin’
This ain’t cheatin’ as long as we tell
nobody
Tell your girls you’re leaving
I’ll meet you in the lobby
I’m so cold, yeah I need that hot tottie
Hot tottie (hot tottie)
Hot tottie (thought I’d never fall in love,
thought I’d never fall in love)
I’m so cold, I’m so cold (ho)
I’m so cold, I’m so cold (ho)
I’m so cold, I’m so cold (ho)
I’m so cold, I’m so cold (ho)
I need a hot tottie
Will you be my hot tottie?
She said she wanna make me better
She wanna make me better

Haya King kong naona umebadili Verse ya Jay z kutoka King Hov mpaka King Kong
 
Pongezi kwa kujitambulisha maana kuna wenye ngoma na wanajificha mbaya zaidi wanaisambaza

hastahili pongezi maana bado hajatambulika, au wewe unamjua HIV+ ni nani?..
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom