Bra-joe
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,562
- 986
Pole sana dada yangu, unyanyapaa ktk jamii kweli upo, lkn kama umeamua kuwakinga wengine kwa maambukizi honera sana kwa hilo, nakushauri ukiwa ktk mahusiano umjengee mwenza wako mazingira ya no condom no sex, aking'ang'ania kavu basi mueleze ukweli. Mungu akubariki dada yangu.