Habari zenu wana jamvi.
Naombeni maoni yenu /michango yenu.
Mie ni Mdada wa miaka 30 nima MBA ya UDSM na nimebahatika nimeajiriwa hapa DSM mitaa ya post mpya.Pia nina ishi na Virus visababishavo ukimwi (HIV)
Naisha maisha ya kawaida kabisa nimejenga na nina kiusafiri cha kunifikisha popote napotaka kwenda.Vile vile ni Mrembo nimeumbika haswaa maji ya kunde umbo la kibantu haswaa hakuna mwanaume akutane na mie asigeuke mara mbili mbili kuniangalia.
Niliishi maisha ya kawaida tu hapo awali adi mwaka 2008 mwishoni nilipata mchumba kwenda kupima mie nikangundulika nimeathirika wapendwa.kweli ilikuwa hali ngumu sana kwa upande wangu.Nikakaa kimya adi leo sijawambia mtu ndo naweka wazi hapa Jamii leo hii.Namshukuru Mungu nina afya njema sana sina hapa uwezi kujua hata ukiambiwa uwezi kukubali.
Shida ni hii hapa Unyanyapaa kwa baadhi ya jamaa zetu katika jamii zinazotuzunguka umekuwa mkubwa sana.
Hali hii uwa inanipelekea kutaka kuambuka kwa makusudi wanaume wanaojigonga kwangu.Na wakati mwingine mie kama binadamu uwa najikuta kwenye mahusiano kama mjuavyo mara ya kwanza mtatumia kinga ya pili njema inataka kavu hapo ndo uwa napatwa na ngazi mwili mzima.
Jamani napenda kutoa wito kwa waathirika mwenzangu hapa Jamii forum tujiunge walau tufanye ka network ketu ili tuangalie namna ya kupambamba na Maradhi+Unyanyapaa na kukumbusha jamii UKIMWI upo nna pia hauchagui.Maana sie wagonjwa ndo tunajukumu la kuwalinda hawa wanao tunyanyapaa.
Tukichukulia Hasira unyanyapaa nawaaambia waTanzania wengi watapoteza maisha yao kwa HIV.
Na ninajutia sana Kwa kuwaambukiza wengine kwa taama zao za kimwili.
Asante
HIV+
Kwa vigezo hapati mzuka unaostahili....mbona tunapelekana kubaya bila sababu. Duuh!
Baada ya kuusambaza ndio umepata busara sio?
Mzabzab hivi kama una ufahamu mzuri kuhusu ukimwi unavyoambukizwa, maneno uliyoandika hapa si mema kabisa, inakuwaje kama mtoto amezaliwa hivyo? umeongezewa damu chafu, umepata ajali ukaabukizwa, tafadhali think again ulichoandika hapa, hakuna mtu anayetafuta ukimwi ndugu yangu.. ni matokeo tu!gonjwa mmelitafuta alafu hamtaki watu kuwanyanyapa ebo!!! wee kama una ngoma ujue watu watakuwa wanakukwepa tuu. sasa kubaliana na hali hiyo kuwa muwazi kwa hao wanaokutaka kukumega bila ndomu
Unajua mwalimu kuna watu wanakurupuka tu kuvamia thread bila kuisoma vizuri na in totality.......na hii inasababisah hata watu kufeli mitahani kwa kukimbilia kujibu maswali bila kuyasoma vizuri
Wewe ni mmoja wao
gonjwa mmelitafuta alafu hamtaki watu kuwanyanyapa ebo!!! wee kama una ngoma ujue watu watakuwa wanakukwepa tuu. sasa kubaliana na hali hiyo kuwa muwazi kwa hao wanaokutaka kukumega bila ndomu
Katika kufanya nini? Unaelewa maana ya FAILING TO FAIL?.............au na wewe ni msambazaji?
Kama ni msambazaji, inahu...?
usicheke kilema hujafa hujaumbika na wala yeye hakuomba,sio vizuri huko ndio kunyanyapaa kwenyewe.........Baada ya kuusambaza ndio umepata busara sio?
usicheke kilema hujafa hujaumbika na wala yeye hakuomba,sio vizuri huko ndio kunyanyapaa kwenyewe.........