HIV inanitesa

HIV inanitesa

Sidhani kama ni umuhimu wa network yenu ila tungeomba JF waweke jukwaa la kujadili ukimwi. watakaotaka kujifunza na kuelimishana basi wawe wanachati bila kuangalia kuwa huyu ameathirika au la. Pole saaana dada. Mwamini Mungu.
 
Nkupe kompany 0656404721
Habari zenu wana jamvi.
Naombeni maoni yenu /michango yenu.
Mie ni Mdada wa miaka 30 nima MBA ya UDSM na nimebahatika nimeajiriwa hapa DSM mitaa ya post mpya.Pia nina ishi na Virus visababishavo ukimwi (HIV)

Naisha maisha ya kawaida kabisa nimejenga na nina kiusafiri cha kunifikisha popote napotaka kwenda.Vile vile ni Mrembo nimeumbika haswaa maji ya kunde umbo la kibantu haswaa hakuna mwanaume akutane na mie asigeuke mara mbili mbili kuniangalia.

Niliishi maisha ya kawaida tu hapo awali adi mwaka 2008 mwishoni nilipata mchumba kwenda kupima mie nikangundulika nimeathirika wapendwa.kweli ilikuwa hali ngumu sana kwa upande wangu.Nikakaa kimya adi leo sijawambia mtu ndo naweka wazi hapa Jamii leo hii.Namshukuru Mungu nina afya njema sana sina hapa uwezi kujua hata ukiambiwa uwezi kukubali.

Shida ni hii hapa Unyanyapaa kwa baadhi ya jamaa zetu katika jamii zinazotuzunguka umekuwa mkubwa sana.
Hali hii uwa inanipelekea kutaka kuambuka kwa makusudi wanaume wanaojigonga kwangu.Na wakati mwingine mie kama binadamu uwa najikuta kwenye mahusiano kama mjuavyo mara ya kwanza mtatumia kinga ya pili njema inataka kavu hapo ndo uwa napatwa na ngazi mwili mzima.

Jamani napenda kutoa wito kwa waathirika mwenzangu hapa Jamii forum tujiunge walau tufanye ka network ketu ili tuangalie namna ya kupambamba na Maradhi+Unyanyapaa na kukumbusha jamii UKIMWI upo nna pia hauchagui.Maana sie wagonjwa ndo tunajukumu la kuwalinda hawa wanao tunyanyapaa.

Tukichukulia Hasira unyanyapaa nawaaambia waTanzania wengi watapoteza maisha yao kwa HIV.
Na ninajutia sana Kwa kuwaambukiza wengine kwa taama zao za kimwili.
Asante
HIV+
 
Mleta mada usihofu, jikubali, uwe mwangalifu usitake kabisa kuambukiza mtu mwingine. Weka wazi kuwa uko positive na anayelazimisha mapenzi bila kinga kataa. Pia kama utajiunga katika social network za PLWA kule unaweza kumpata mpenzi ambaye mna status moja na ikawa rahisi kuwa wapenzi kwa kufuata taratibu zake. Kila binadamu ni natural being na social life is the part kwa hiyo tusione vibaya ni kwa nini hawa wenzetu wa HIV+ wanahitaji pia masuala ya mapenzi. Na si lazima u-break the silence hata kwa wasio kuhusu. La hasha, kama si lazima si lazima kusema pia. It is your life na furahia. Kuna mtu namfahamu toka 1995 ni HIV+ na ni mzima wa afyam just accept the situation. Mbona wa cancer wanakufa in a short time, pressure, kisukari, etc. Utaishi maisha marefu sana ili mradi uwe unakula vyakula balanced ili CD4 zisishuke uanze kutumia ARVs kwa kuwa zimeonekana ubora wake kuchaachuliwa. Keep it up for sharing.
 
UDSM natamani nikuone! kama ulivyosema mwisho unajukumu kubwa kuwalinda wale ambao hawajaadhirika.
 
Kwa vigezo hapati mzuka unaostahili....mbona tunapelekana kubaya bila sababu. Duuh!

Yeeesss!! sasa unajiuliza ni mzuka upi huo??? wa nyama kwa nyama au mzuka wa kukuambukiza vizuri?
 
gonjwa mmelitafuta alafu hamtaki watu kuwanyanyapa ebo!!! wee kama una ngoma ujue watu watakuwa wanakukwepa tuu. sasa kubaliana na hali hiyo kuwa muwazi kwa hao wanaokutaka kukumega bila ndomu
Mzabzab hivi kama una ufahamu mzuri kuhusu ukimwi unavyoambukizwa, maneno uliyoandika hapa si mema kabisa, inakuwaje kama mtoto amezaliwa hivyo? umeongezewa damu chafu, umepata ajali ukaabukizwa, tafadhali think again ulichoandika hapa, hakuna mtu anayetafuta ukimwi ndugu yangu.. ni matokeo tu!
 
  • Thanks
Reactions: ram
Wewe ni mmoja wao

Unajua mwalimu kuna watu wanakurupuka tu kuvamia thread bila kuisoma vizuri na in totality.......na hii inasababisah hata watu kufeli mitahani kwa kukimbilia kujibu maswali bila kuyasoma vizuri
 
Lol! Si ajabu wewe mwenyewe ni muathirika, usimyooshe mwenzio kidole andalaia hivyo vidole vinne vinamuelekea nanai, huna haya wewe

gonjwa mmelitafuta alafu hamtaki watu kuwanyanyapa ebo!!! wee kama una ngoma ujue watu watakuwa wanakukwepa tuu. sasa kubaliana na hali hiyo kuwa muwazi kwa hao wanaokutaka kukumega bila ndomu
 
am sorry to say this but mathematics doesnt lie na ukweli ni kwamba over 90% ya maambukizi utokea through sex. sasa i do sympathize na wale wanandoa waaminifu ambao mwenzi wao ndio anakuja kuwapa gonjwa nd watoto. ila huyu dada kaonyesha kabisa kwanza yeye sio responsible....totaly reckless na hana ubinadamu. yeye anajijua na ngoma then anaenda kumegwa na watu bila kinga and u want me to recant my statement!?? hilo hapa alilitaka mwenyewe sasa asilaumu watu kuwa wanawanyanyapaa hapa. its the life u choose the price u pay.
 
Pole shosti usijali kila binadamu hukosea,zidi kumuomba mwenyezi mungu na fuata masharti na mungu atakusaidi kwani hakuna kubwa kwa mungu wala usife moyo...........
 
am just calling a spade a spade. i can empathize na hali yake but i will not sympathize....watu wanaambiwa kila leo jamni be careful wait msiufwate utamu huo mtakufa au use condom watu hawataki...basi kubaliana na matokeo ya choices zako.
 
usicheke kilema hujafa hujaumbika na wala yeye hakuomba,sio vizuri huko ndio kunyanyapaa kwenyewe.........

Nimecheka wapi kilema kipi? Hivi umesoma alichoandika au unakurupuka tu.......kwa taarifa yako toka 2008 amegundulika anao na bado akaendelea kugawa papuchi..sasa unataka tumsifie kwa lipi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom