HIV inanitesa

Mrembo, kwanza nakupa hongera sana tena sana.....najua waathirika watakuPM na yatafanyika yale mtakayoyakusudia. Pili napenda kukupongeza kwa ukweli uliouanika kuwa "ni sisi waathirika" ndio mnaoweza kunusuru maisha ya wote ambao hawajaathirika. Naomba uniPM namba yako na jina lako ili nikutumie zawadi kwa courier yeyote au hata kwa Western Union. Nimeamua kusema hivi kwani namaanisha. Hata kama itakuwa kidogo na wewe unazo nyingi usijali kwani zawadi ni zawadi.

Mungu akubariki sana kwa uaminifu wako..Amen
 
At the risk of recording a third person self narration that's criticising a critique of my critique....

Kiranga hawezi kuwa critique kwani critique ni kitendo, wala si mtu, labda ulimaanisha "critic".

Ukweli unabakia pale pale, huwezi kumfariji mhanga wa ubaguzi wa waafrika kwa kumwambia aache kuvaa nguo za kiafrika zinazomtambulisha yeye kama muafrika. Hii si faraja, to the contrary ni kuendeleza unyanyapaa.

Unachotakiwa kumwambia ni kwamba uafrika wake ni sehemu ya utu na anatahaminiwa.

Vivyo hivyo, huwezi kumfariji mtu aliye HIV+ kwa kumwambia abadili hilo jina la HIV+ (Jambo amabalo litakuwa kinyume na nia yake ya ku raise HIV awareness).

Tunachotakiwa kufanya ni kumwambia kwamba bado tunampenda hivyo hivyo kama alivyo hata kama hatabadilika, kwa sababu wenye HIV+ nao ni watu wenye mchango katika jamii.


Tukimwambia abadili jina ni kama vile tunamwambia kwamba HIV ni mkosi, inapunguza utu, inatakiwa kufichwa na isionyeshwe, kitu ambacho ni kinyume kabisa na spirit yake ya kufunguka na ku raise awareness aliyotuonyesha hapa.
hivi wataka kuniambia kujiita HIV+ NI KUJIKUBALI? je utatofautishaje yule anaye jiita simply kwasababu ameathirika na hana jinsi kwenye kundi la wale wanaoojiita baada ya kukubali hali halisi?

naamin maandish ama mwandiko wa mtu can sometimes define the person, sasa tell me mwandiko wa huyu dada umemdefine vipi kwako kama wataka kumfanyia kanseli?

kuhusu hiyo verb ilofanywa noun na gfsonwin nafikiri aliwaza yote mawili na akamaanisha noun mkono ukaandka verb msamehe.
 
Last edited by a moderator:
pole sana dada . sasa kama mtu akitaka kavu kavu ukimwambia kuwa wewe ni mwathirika bado ataendelea kutaka tu???
Kuna watu wakiwa kwenye ile kitu hawaambiliki tena atakwambia nipe tu hivyo virus navitafuta sana,ngoma akimaliza full maswali eti ulisema nini wakati ule!!!!!!Haponi mtu ni Mungu anatulinda
 
Kila mtu atakufa! Full stop!!!

Si wote wataokufa wapo wataoenda mbinguni bila kuonja mauti,pia wapo walio enda bila kuonja mauti kina Enock,Elijah
" Truly I say to you, There be some standing here, which shall not taste of death, till they see the Son of man coming in his kingdom. " Mathew 16:28
 
sasa hivi viwanja vimebadilika lol! Kuna sehem nzuri acha kabisa wewe yaani ni full misosi na mamvinyo ya kufa mtu. Ngoja nikamilishe kaz nitakualika mahali hutoamini. Btw nakumbuka ulinikatili hamu yangu ya kwenda kunywa chai na wewe umesahahu enh?

This time kuna coffee bar moja matata mahali hakya mungu lazima uende hata kwa fimbo lol?
nahisi nakijua hicho kijiwe!! Kipo karibu na mitaa ya kwangu simbali kivileeeeeee bisha, hebu twende pm tupeanapo new vijiwe vya kujiliwaza, lol!
 
Oyaah Sister HIV+, punguza ghadhab, HIV haiuwi mtu sasa hivi. Niliweka nyuzi humu kwenye ukumbi wa daktari. Kuna mwana JF mmoja anaejiita MziziMkavu akaponda sana dawa iitwayo 4A9 bila kufanya utafiti wowote, hata bila ya kuonana na waloivumbuwa hiyo dawa. Hii dawa imevumbuliwa na Mtanzania mwenzetu na imesaidia wengi sana, ni bora kuliko ARV na haina side effects.

Wasome kwenye website yao, nenda kaijaribu uje kutupa majibu hapa hapa. Bofya: 4a9
 
Last edited by a moderator:
At the risk of recording a third person self narration that's criticising a critique of my critique....

Kiranga hawezi kuwa critique kwani critique ni kitendo, wala si mtu, labda ulimaanisha "critic".

Ukweli unabakia pale pale, huwezi kumfariji mhanga wa ubaguzi wa waafrika kwa kumwambia aache kuvaa nguo za kiafrika zinazomtambulisha yeye kama muafrika. Hii si faraja, to the contrary ni kuendeleza unyanyapaa.

Unachotakiwa kumwambia ni kwamba uafrika wake ni sehemu ya utu na anatahaminiwa.

Vivyo hivyo, huwezi kumfariji mtu aliye HIV+ kwa kumwambia abadili hilo jina la HIV+ (Jambo amabalo litakuwa kinyume na nia yake ya ku raise HIV awareness).

Tunachotakiwa kufanya ni kumwambia kwamba bado tunampenda hivyo hivyo kama alivyo hata kama hatabadilika, kwa sababu wenye HIV+ nao ni watu wenye mchango katika jamii.


Tukimwambia abadili jina ni kama vile tunamwambia kwamba HIV ni mkosi, inapunguza utu, inatakiwa kufichwa na isionyeshwe, kitu ambacho ni kinyume kabisa na spirit yake ya kufunguka na ku raise awareness aliyotuonyesha hapa.

bana nilikuwa nawaza noun ya kitendo nikaishia kuandika verb nisamehe.
 
At the risk of recording a third person self narration that's criticising a critique of my critique....

Kiranga hawezi kuwa critique kwani critique ni kitendo, wala si mtu, labda ulimaanisha "critic".

And "Critic" he is :A S shade:
 
Umelewa.....
afu ushapiga sana kavu wewe,,hizi safari sio maji ndugu yangu,,,ndio maana ya kuambiwa mnywe kwa utaratibu

Duh...yashakuwa hayo kaka?....hapa ulikuwa unafanya nini kwani?

aids-campaign.jpg
 
Asante sana Thanda kwa Mchango wako.
Nakuomba uni Pm Mana mie siwezi ku PM sijapost zaidi ya 5 hivyo siwezi kuku Pm.
Ni PM ntakupa Private Mail yangu.
 
Habari zenu wana jamvi.

HIV+

Chill out bestito..ukimwi sio ugonjwa kiviiiile kama zamani,..una kazi na maisha ya poa tu,,kula vizuri,have fun usisubirie kufa hata kidogo...i got lots of people wanakula hapi tu, na ARV, na vegies na matunda ya kutosha...HIV ni story

Kinachokuumiza ni mawazo tu...achana nayo
 
Pole sana bi dada, umefanya vyema kuja na wazo hilo, mimi binafsi nitaungna nawe ili kuielimisha jamii kuhusu athari za ugonjwa huo....
 
Maisha lazima yaendelee Mwenyezi Mungu akupe shufaa n' asante kwa uwazi.
 
Back
Top Bottom