Hili Tangazo la Timu Lowassa linatudharau!

Hili Tangazo la Timu Lowassa linatudharau!

... jamani, tumchague tu huyu jamaa, hatamaliza mwaka hata mmoja madarakani. anaumwa.!
 
Nadhan una matatizo makubwa ya kutotambua nyakati kupitia maandishi.nikusaidie kufumbua ulipoona pamefumbwa.ni hivi sijasema lowasa atakufa bali nachomaanisha ni kupigwa chini kwenye harakati zake ndani ya chama na hapo ndo wapambe wake watabaki wamejikunyata.umeelewa mtoto mzuri?siku zingine usihukumu kabla hujahukumiwa,umesikia heee!

Bila Shaka atakuwa amesikia unajua tatizo la timu lowasa ni kujipofua.
 
Tambua kwamba tunamjadili mtu ambaye atakuwa amiri jeshi mkuu wa majeshi yetu,mkuu wa nchi na kiongozi wa watu.kama wananchi lazima tujue kiwango cha uimara wa kiongozi wetu.unataka tuchague tu ili wakati wa maadhimisho pale taifa akikagua gwaride atuangukie?unataka tumchague kila siku awe ujerumani kutibu kile anachoita jicho!hiyo mchakamchaka ya maendeleo anayosema ataisimamia lini?kifupi,tunajadili mtu muhimu kwa maslahi ya taifa na si unyanyapaa kama unavyotaka kuhamisha mada.

Kwa hawa team lowasa utaumwa. Wanatetea ambacho kinaonekana kwa macho kuwa kinawezekana kumbe hata hakiwezekani.
 
EL anataka akapumzikie Ikulu. ccm wakimpitisha kipindi cha kampeni ataanguka jukwaani mara kibao kuliko mwenzie anayeondoka.
 
Afya ya mtu ni siri ya mtu na familia yake!, unless yeye mwenyewe aseme wazi kuwa ni mgonjwa na anaumwa kitu fulani kama alivyofanya JK!. Yes 'jamaa yangu' looks sick, mwenyewe amesema yuko ok, as fit as fiddle!. Who are you kumsemea anaumwa parkinson?.

Tena wewe FaizaFoxy, ni mtu mwenye daraja la juu sana humu jf kwa sababu u miongoni mwa wanawake wacheche humu who can think, most women feels only few think, kama ilivyo kwa most men think, few feels!, na kwa avatar yako suggest wewe ni mtu wa dini, swala 5!, afya ya mtu iko mikononi mwa Mola wako!, unaweza kumuona mtu kama anaumwa akadunda hadi miaka 100!, na kuna mwingine anayeonekana fit kabisa, kesho unaweza kusikia tii!.

Nawaombeni sana tusilete unyanyapaa kuhusu hali za afya za watu, kwa maana hakuna ajuaye siku wala saa!, kila siku iendayo kwa Mungu, Israel humpitia kila kiumbe mara sabaini fii sabaa kwa siku, kuhakikisha siku ikifika, saa ikifiki, dakika ikifika, haipiti hata sekunde!.

Pasco

Mkuu, kweli afya ya mtu ni siri yake na daktari wake. Hilo halina ubishi. Rais wa nchi si mtu tu kama watu wengine. Afya yake ni suala la kitaifa. Afya yake ina implications kwenye mambo mengi ya kitaifa. Anatibiwa kwa gharama ya mlipa kodi, ikiwa bahati mbaya ataaga dunia (hatuombei hilo), kikatiba makamu wake atashika nafasi yake lakini si yule wananchi waliomchagua japo watanzania hatulipi sana umuhimu la nani ni mgombea mwenza. Siku likitupa ndiyo tutajua umuhimu wa kufuatilia mgombea mwenza maana anaweza kushika hatamu muda wowote.

Tena ningetamani from the word go, mtu akitangaza nia, aseme nani atakuwa mgombea mwenza tupime package nzima.

Katiba mpya ijayo (siyo hii ya nyoka wa makengeza) suala la afya ya Rais liwekwe wazi. Asiyetaka asigombee. Akafiche afya yake kwa mke/mumewe huko.
 
Lowasa cyo mgonjwa shida yake ni pombe kali anazokunywa

ameanguka zaidi ya mara 3,na juzi kati mlinzi wake "Tendewa"Alimuwahi asianguke ingekuwa mara ya 4
 
Jamani mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Kama mzee lowasa anafaa kuwa rais Apewe aongoze. Maana mnavyojitahidi kumpaka matope mheshiwa ni kama vile hana haki ya kugombea.
 
Mkuu, kweli afya ya mtu ni siri yake na daktari wake. Hilo halina ubishi. Rais wa nchi si mtu tu kama watu wengine. Afya yake ni suala la kitaifa. Afya yake ina implications kwenye mambo mengi ya kitaifa. Anatibiwa kwa gharama ya mlipa kodi, ikiwa bahati mbaya ataaga dunia (hatuombei hilo), kikatiba makamu wake atashika nafasi yake lakini si yule wananchi waliomchagua japo watanzania hatulipi sana umuhimu la nani ni mgombea mwenza. Siku likitupa ndiyo tutajua umuhimu wa kufuatilia mgombea mwenza maana anaweza kushika hatamu muda wowote.

Tena ningetamani from the word go, mtu akitangaza nia, aseme nani atakuwa mgombea mwenza tupime package nzima.

Katiba mpya ijayo (siyo hii ya nyoka wa makengeza) suala la afya ya Rais liwekwe wazi. Asiyetaka asigombee. Akafiche afya yake kwa mke/mumewe huko.

Umeliweka vizuri sana.
 
respect wa boda hoja yangu ni moja tu. . . . .Wadhamini ni wananchi, watakaongozwa ni wananchi na wqpiga kura ni wananchi. . . . . .waachwe wazungumze kwa mapana na marefu juu ya mgombea yeyote yule. . . .Bila kuvunja utu wala sheria hilo tu baas. . . !!!
 
Last edited by a moderator:
Kila mtanzania anaumwa...tofauti ni kiwango cha uuguaji, Lowassa hata kama anaumwa maradhi yake hayamfanyi asiwe Rais, Mbona kuna kiongozi mkubwa tu ana kifafa? na tulimchagua sisi wenyewe? hizi team za Urais sasa zitatupeleka pabaya sana.
Wait a minute please. Huyo kiongozi mwenye kifafa ni nani?
 
Mkuu, kweli afya ya mtu ni siri yake na daktari wake. Hilo halina ubishi. Rais wa nchi si mtu tu kama watu wengine. Afya yake ni suala la kitaifa. Afya yake ina implications kwenye mambo mengi ya kitaifa. Anatibiwa kwa gharama ya mlipa kodi, ikiwa bahati mbaya ataaga dunia (hatuombei hilo), kikatiba makamu wake atashika nafasi yake lakini si yule wananchi waliomchagua japo watanzania hatulipi sana umuhimu la nani ni mgombea mwenza. Siku likitupa ndiyo tutajua umuhimu wa kufuatilia mgombea mwenza maana anaweza kushika hatamu muda wowote.

Tena ningetamani from the word go, mtu akitangaza nia, aseme nani atakuwa mgombea mwenza tupime package nzima.

Katiba mpya ijayo (siyo hii ya nyoka wa makengeza) suala la afya ya Rais liwekwe wazi. Asiyetaka asigombee. Akafiche afya yake kwa mke/mumewe huko.
Kula like mkuu
 
Sometimes naona kama sina tatizo na Lowasa. Ila tatizo kwenye kambi yake lipo lijamaa linaitwa joka lenye makengeza.
 
mpaka dakika tisini au raundi kumi na mbili mbona bongo zetu zitakuwa vmbunga vya umauti na vyeny hatare kiasi! teh teh teh. "ishu hapa ni mstakabali sahili wa taifa hili hivyo basi 'afya' ya mtaka dhamana ya kuliongoza taifa hili kwenda kweny neema lina nafasi yake".
 
Jacob Malihoja said:
TANGAZO MUHIMU
=========
Kuna Video Clips za Mzee zimefanyiwa Slow Motion Kidogo zinasambazwa ili kupotosha watu waone Mzee anaumwa. Zipo kama tatu hivi ambazo nimekutana nazo. Naamini wengi wengi mmekutana nazo pia, Moja ile ya jogging ya Albino kule Temeke, Moja anakaa kwenye kiti ofisini Na nyingine anatembea, inawezekana zipo zingine ama zitakuja zingine tena. Video hizo mkikutana nazo msishiriki kuzisambaza, pili mzitolee maelezo Haya niliyowapa kwamba zimefanyiwa slow motion kidogo ili kupotosha mana kuna watu wanaamini tena na wengine ni kati yetu pia. Watu wanatakiwa walifahamu hilo kuwa zimefanyiwa slow motion kwa kiwango fulani.
==============
By Jacob Malihoja
Mshauri wa Siasa
Team Lowassa Makao Makuu
"Mtu mwenye akili akikuambia jambo la kipumbavu wakati anajua una akili, ukikubaliana nae anakudharau"- Mwl. Nyerere

Na kweli hapo kwenye red uko sahihi kabisa, Yaani tukikubali huo utetezi wa kipumbavu wakati tuna akili, utatudharau sana! HATUKUBALI NG'O!
 
Kama ni slow motion, basi watanzania tumefika mbali kwenye elimu ya video editing maana hiyo slow motion ina-apply only kwa Lowassa lakini inakuwa nonfunctional kwa msaidizi wake aliyemsadia kuvuta kiti. Kuna umuhimu wa kuandaa Mobile hospital siku ya maamuzi kwa CCM (kumpata mgombea) maana huyu Lowassa anaweza kuchomoka kwa sababu ya pressure.
 
Back
Top Bottom