Mitanzania ni mijitu mijinga ajabu!. Watu wote wanaompinga mgombea mmoja tuu kwa hoja za ufisadi nao pia ni wajinga tuu kama wajinga wengine, kwa sababu mzazi wa rushwa na usisadi ni CCM!, huwezi kuupinga ufisadi kwa kumnyooshea kidole fisadi mmoja tuu ndani ya chama cha kifisadi kilichojaa mafisadi!.
Huu ufisadi wa CCM haukuanza leo, ufisadi mkubwa wa mwanzo ni EPA, ndipo ikaja Richmond bado uchaguzi uliofuatia sisi waTanzania, kwa ridhaa zetu wenyewe tukaichagua tena CCM!, na hata hii October inayokuja, tutaichagua tena CCM!, huu sio ujinga ni nini?!.
Mijitu ignorants, kila siku kazi kutupigia mikelele humu kuhusu ufisadi, halafu siku ya siku, ikifika, tunakichagua chama kile cha kifisadi, watu wale wale na kurudi kupiga kelele zile zile!.
Kama hoja ni ufisadi, hakuna msafi ndani ya CCM!.
2015 hatutafuti malaika!, Tanzania inahitaji mkombozi, ikitokea mkombozi mwenyewe ndio fisadi, then be it.
Pasco