Tujiandae kwa gharama nyingine za uchaguzi baada ya 2015....
Hatuwezi kuongozwa na mtu alietuibia kiufisadi...
Kwa katiba ya Tanzania hakuna uchaguzi wa marudio.
Kama ikatokea Rais amefariki basi Makamu wa Rais ndiye anakuwa Rais kwa kipindi kilichobaki.