Hili Tangazo la Timu Lowassa linatudharau!

Hili Tangazo la Timu Lowassa linatudharau!

Labda wengine mmeshaliona hili:
My Take: Sasa kama ni kweli wanafikiria hili au wanaamini hili basi bila ya shaka wanatufikiria sisi sote akili zetu ziko kwenye chupa. Hivi kweli video zote hizi zimewekwa slow motion? Seriously? Inawezekana Lowassa hana matatizo makubwa ya kiafya kama inavyohisiwa na baadhi ya watu lakini kusema kuwa video zimefojiwa ili kumfanya aonekane dhaifu zaidi nadhani si kutendea haki watu wengine. Kuna njia moja ya uhakika pkuondoa wasiwasi huu.
Mkuu Mzee Mwanakijiji, japo mimi siko Team Lowassa, wala team yoyote, ila namsupport huyu 'jamaa yangu', kiukweli tangazo hilo is a mistake!, kwanza namfahamu huyo jamaa aliyesaini hapo anajiita Mshauri wa Siasa wa Team Lowassa Makao Mkuu, the way alivyoiweka ni misleading, watu wanaweza kudhani ni kweli huyu ndie mshauri wa Team Lowassa, kiukweli huyu ni kiongozi wa fb group na whatsup group linalojiita team lowassa na huyu ndio mshauri wa group hilo.

Mimi nimeiangalia video moja hiyo ya kukaa, ni bonafide genuine, kuhusu hali ya afya ya 'jamaa yangu' hata mtu mwenye macho tuu ya kawaida, hahitaji kutumia darubini au hadubini kuona au kuelezwa kuwa mzee ni mgonjwa, ila, hali ya afya ya mgombea sio miongoni mwa sifa, vigezo au sababu ya kukubalika au kukataliwa, kwa sababu inachohitaji CCM sio kiongozi bora, kama CCM inataka kiongozi bora itampitisha Jaji Agustino Ramadhani. CCM haihitaji kiongozi mwenye uwezo mkubwa wa kuihamisha Tanzania hapa ilipo kuifikisha kule ilikopaswa kuwepo. Ingehitaji kiongozi wa aina hii ingempitisha Prof. Mhongo, Dr. Magufuli au Prof. Mwandosya. Rushwa na ufisadi sio tatizo kwa CCM, kwa sababu CCM ndie mzazi, mlezi na msimamizi mkuu wa rushwa zote na ufisadi wote unaolitafuna taifa hili.

CCM inachohitaji ni ushindi tuu!. CCM inataka kushinda tuu uchaguzi kwa landslide victory, kwa njia yoyote ile, na kwa mbinu zozote, yaani by hooks and crooks!. Kiongozi wa kuwapatia CCM hiyo landslide victory ni huyu 'jamaa yangu', hiyo afya ataimarishwa na yule yule anayesimamia kuhakikisha 2015 'jamaa yangu anatinga Ikulu ya Magogoni au kupitia CCM au kupitia njia nyingine yoyote!.

Ikitokea ni yeye akapitishwa na CCM, then huyu ndie rais wetu 2015!. Ikitokea asipitishwe na CCM, chama chochote atakachojiunga nacho ndicho chama kitakachoishika ikulu yetu!. Hii hali ya afya tunamuachia YEYE ambayo huyu 'jamaa yangu' ameishasema wazi kuwa "nayaweza yote katika YEYE anitiaye nguvu!.

Kwa sasa zimebaki siku 10 tuu muhimu!.

Pasco


 
Mkuu Mzee Mwanakijiji, japo mimi siko Team Lowassa, wala team yoyote, ila namsupport huyu 'jamaa yangu', kiukweli tangazo hilo is a mistake!, kwanza namfahamu huyo jamaa aliyesaini hapo anajiita Mshauri wa Siasa wa Team Lowassa Makao Mkuu, the way alivyoiweka ni misleading, watu wanaweza kudhani ni kweli huyu ndie mshauri wa Team Lowassa, kiukweli huyu ni kiongozi wa fb group na whatsup group linalojiita team lowassa na huyu ndio mshauri wa group hilo.

Mimi nimeiangalia video moja hiyo ya kukaa, ni bonafide genuine, kuhusu hali ya afya ya 'jamaa yangu' hata mtu mwenye macho tuu ya kawaida, hahitaji kutumia darubini au hadubini kuona au kuelezwa kuwa mzee ni mgonjwa, ila, hali ya afya ya mgombea sio miongoni mwa sifa, vigezo au sababu ya kukubalika au kukataliwa, kwa sababu inachohitaji CCM sio kiongozi bora, kama CCM inataka kiongozi bora itampitisha Jaji Agustino Ramadhani. CCM haihitaji kiongozi mwenye uwezo mkubwa wa kuihamisha Tanzania hapa ilipo kuifikisha kule ilikopaswa kuwepo. Ingehitaji kiongozi wa aina hii ingempitisha Prof. Mhongo, Dr. Magufuli au Prof. Mwandosya. Rushwa na ufisadi sio tatizo kwa CCM, kwa sababu CCM ndie mzazi, mlezi na msimamizi mkuu wa rushwa zote na ufisadi wote unaolitafuna taifa hili.

CCM inachohitaji ni ushindi tuu!. CCM inataka kushinda tuu uchaguzi kwa landslide victory, kwa njia yoyote ile, na kwa mbinu zozote, yaani by hooks and crooks!. Kiongozi wa kuwapatia CCM hiyo landslide victory ni huyu 'jamaa yangu', hiyo afya ataimarishwa na yule yule anayesimamia kuhakikisha 2015 'jamaa yangu anatinga Ikulu ya Magogoni au kupitia CCM au kupitia njia nyingine yoyote!.

Ikitokea ni yeye akapitishwa na CCM, then huyu ndie rais wetu 2015!. Ikitokea asipitishwe na CCM, chama chochote atakachojiunga nacho ndicho chama kitakachoishika ikulu yetu!. Hii hali ya afya tunamuachia YEYE ambayo huyu 'jamaa yangu' ameishasema wazi kuwa "nayaweza yote katika YEYE anitiaye nguvu!.

Kwa sasa zimebaki siku 10 tuu muhimu!.

Pasco



Tujiandae kwa gharama nyingine za uchaguzi baada ya 2015....
Hatuwezi kuongozwa na mtu alietuibia kiufisadi...
 
Mkuu Mzee Mwanakijiji, japo mimi siko Team Lowassa, wala team yoyote, ila namsupport huyu 'jamaa yangu', kiukweli tangazo hilo is a mistake!, kwanza namfahamu huyo jamaa aliyesaini hapo anajiita Mshauri wa Siasa wa Team Lowassa Makao Mkuu, the way alivyoiweka ni misleading, watu wanaweza kudhani ni kweli huyu ndie mshauri wa Team Lowassa, kiukweli huyu ni kiongozi wa fb group na whatsup group linalojiita team lowassa na huyu ndio mshauri wa group hilo.

Mimi nimeiangalia video moja hiyo ya kukaa, ni bonafide genuine, kuhusu hali ya afya ya 'jamaa yangu' hata mtu mwenye macho tuu ya kawaida, hahitaji kutumia darubini au hadubini kuona au kuelezwa kuwa mzee ni mgonjwa, ila, hali ya afya ya mgombea sio miongoni mwa sifa, vigezo au sababu ya kukubalika au kukataliwa, kwa sababu inachohitaji CCM sio kiongozi bora, kama CCM inataka kiongozi bora itampitisha Jaji Agustino Ramadhani. CCM haihitaji kiongozi mwenye uwezo mkubwa wa kuihamisha Tanzania hapa ilipo kuifikisha kule ilikopaswa kuwepo. Ingehitaji kiongozi wa aina hii ingempitisha Prof. Mhongo, Dr. Magufuli au Prof. Mwandosya. Rushwa na ufisadi sio tatizo kwa CCM, kwa sababu CCM ndie mzazi, mlezi na msimamizi mkuu wa rushwa zote na ufisadi wote unaolitafuna taifa hili.

CCM inachohitaji ni ushindi tuu!. CCM inataka kushinda tuu uchaguzi kwa landslide victory, kwa njia yoyote ile, na kwa mbinu zozote, yaani by hooks and crooks!. Kiongozi wa kuwapatia CCM hiyo landslide victory ni huyu 'jamaa yangu', hiyo afya ataimarishwa na yule yule anayesimamia kuhakikisha 2015 'jamaa yangu anatinga Ikulu ya Magogoni au kupitia CCM au kupitia njia nyingine yoyote!.

Ikitokea ni yeye akapitishwa na CCM, then huyu ndie rais wetu 2015!. Ikitokea asipitishwe na CCM, chama chochote atakachojiunga nacho ndicho chama kitakachoishika ikulu yetu!. Hii hali ya afya tunamuachia YEYE ambayo huyu 'jamaa yangu' ameishasema wazi kuwa "nayaweza yote katika YEYE anitiaye nguvu!.

Kwa sasa zimebaki siku 10 tuu muhimu!.

Pasco



Mkuu pasco nakubaliana na wewe afya si kigezo cha mtu kuwa mgombea au kutokuwa huyu jamaa sijui kitokee nini lakin kwa jinsi navoona huyu ndiye 2015 Mungu amlinde tuu atuongozeee hii nchi ata mwaka kuna vitu vya kunyooshwa he can do it better then any one can watia nia woteee huyu jamaa ni heavy weight anyway way ccm hii ni yo call mpitishen awe rais msimpitishe awe rais
 
Haya ni moja ya matumizi mabaya ya Mb zako Mzee Mwanakijiji.

nadhani uwezo wakufikiri na kung'amua umefika kikomo kajiunga namoja yamakundi ya propaganda katika makundi ya CCM,waungwana wanasema simba akizeeka hugeuka paka..itakuwa Mzee Mwanakijiji kafikia katika hali hii
 
1) Mbona wao hawatupi au kusambaza hizo ambazo hazina slow motion? Kama hizo video ziko edited, wasambaze wao basi ambazo ni original.

2) Na video itakuaje edited kwenye vitendo tu halafu sauti isiwe edited? si maneno yatapishana na vitendo?

3) Inawezekanaje wanaonekana watu wawili kisha mmoja akawekewa slow motion mwingine asiwekewe na wote tunawaona pamoja kwa wakati huohuo mmoja? Editing ya wapi hiyo?

Nimependa hasa hoja yako ya tatu. Kwenye tukio moja afanyiwe slow motion yeye tu. Maajabu haya. Hasa ile aliyoshindwa kusimama, yule anaemsaidia labda yeye kufanyiwa fast motion.

Walete original tuzione!
 


kuhakikisha 2015 'jamaa yangu anatinga Ikulu ya Magogoni au kupitia CCM au kupitia njia nyingine yoyote!.

Ikitokea ni yeye akapitishwa na CCM, then huyu ndie rais wetu 2015!. Ikitokea asipitishwe na CCM, chama chochote atakachojiunga nacho ndicho chama kitakachoishika ikulu yetu!. Hii hali ya afya tunamuachia YEYE ambayo huyu 'jamaa yangu' ameishasema wazi kuwa "nayaweza yote katika YEYE anitiaye nguvu!.

Kwa sasa zimebaki siku 10 tuu muhimu!.

Pasco


Hata huko Korogwe Prof Maji Mafupi ametishia kuchukua MAAMUMZI MAGUMU!! Kumekucha hivyo. Mnatishia watu wazima nyau!!!
 
ujinga zaidi ni pale mtetezi wa fisadi anapojaribu kutufundisha cha kumtetea mkubwa wa majambazi.
 
Bahati mbaya, ndugu yangu malihoja nakufahamu vizuri sana. huu ni mwendelezo wako wa kujifanya unafikiri juu ya vichwa vya watu wengine. hivi una mamlaka gani ya kutupa maelekezo kana kwamba tuna fikra zinazofanana kwa huyo mtu wako mgonjwa kweli? hivi unaweza kutoka na akili timamu na kupinga kuumwa kwa huyo mzee hata kama si kwa kiwango hicho unachofikiri wewe? mbona hamtuamibii kwamba mpaka sasa ameshaanguka mara ngapi badala yake unakuja na suala la slow motion? unadhani atakusadia katika mkakati wako wa kugombea ubunge kule kwenu? kuna jambo moja tu linakuja nalo haliko mbali sana, ambapo mtakaa kama watoto yatima.

wewe utakuwa unajua anachoumwa huyu binadamu mwenzako na kwanini useme kuna jambo linakuja?kwani wewe ni Mungu?mimi sio mwanasiasa wala sipo hapa kumtetea wala kumkandamiza Lowassa ila kwa namna ambavyo umeandika hapa kunaonekana kuna kitu unakifahamu kuhusu afya ya huyu binadamu mwenzako aliyeumbwa na Mungu kama wewe na pia huna mamlaka juu ya uhai wake pia.hivi kwa mfano ikitokea leo nimemtokea la kutokea huyu binadamu mwenzio Lowassa ni kwanini wewe usiisaidie Polisi kueleza chanzo na kama ikishindikana kwa polisi wa Tanzania kwa sababu wanazozijua wao na aina ya watu kama wewe basi mengine yote utayakuta kwa Mwenyezi Mungu kuyajibu.Jamani hizi siasa ama madaraka sio kila kitu duniani hadi kufikiria kuweka maisha ya binadamu wengine rehani wakati wote mwisho wa siku tunaishia kufunikwa na udongo huu huu na kuliwa na mchwa hao hao.au kuna watu hawataguswa na mchwa nini??au mchwa wao watakuwa wa dhahabu?????hii ni mbaya sana
 
Nashangaa wanaosema afya si kigezo muhimu kwa mgombea.
Tafadhali mtafakari kauli zenu upya. Katika vyote, afya ni muhimu zaidi. Tuliyaona Nigeria kwa Yardua. Nchi ilikuwa inaongozwa na mkewe na genge la wezi akiwa hoi hadi alipofariki.
Hatuwezi kuchagua mtu,harafu tuongozwe na mwingine.
 
Kwa maoni yangu nadhani mtu akisafiri kwa muda mrefu na kukaa kwenye
kiti na utu uzima wake lazima kwa vyovyote ataamka kwa uvivu kwenye kiti,
hii ni kwa mtu yoyote regardless ni mzima wa afya au mgonjwa,labda sababu za ufusadi
zime expire nafasi inayofuata ni afya yake,nani mzima hapa Tanzania especially tunaokaa \
Dar unakaa kwenye foleni barabarani masaa 4 mpaka 6 kufika nyumbani mavumbi ya AC na ya barabarani,
mji mchafu majalala kila kona,nani atasema yuko mzima 100%.
 
Labda wengine mmeshaliona hili:



My Take: Sasa kama ni kweli wanafikiria hili au wanaamini hili basi bila ya shaka wanatufikiria sisi sote akili zetu ziko kwenye chupa. Hivi kweli video zote hizi zimewekwa slow motion? Seriously? Inawezekana Lowassa hana matatizo makubwa ya kiafya kama inavyohisiwa na baadhi ya watu lakini kusema kuwa video zimefojiwa ili kumfanya aonekane dhaifu zaidi nadhani si kutendea haki watu wengine. Kuna njia moja ya uhakika pkuondoa wasiwasi huu.

Uwongo mwungine ni wa kipumbavu! SLOW MOTION gani ambayo mtu anaamka kusimama halafu in the middle anarudi kukaa kwenye kiti. Kama ingekuwa slow motion basi angeamka moja kwa moja ingawa taratibu na kusimama upright.

Lakini hii anaamuka anafika katikati ya kusimama anarudi kukaa kwenye kiti! Au mwenzetu msamiati wa slow motion ni tofauti kabisa na ule unaofahamika duniani kote.
 
Ile video ya kukaa ni genuine video! Hilo halina ubishi kwani Lowassa ameonekana akishindwa kusogeza kiti ili aketi na akabaki kama mtu ambaye mwili umekata 'network' ndipo jamaa wa pembeni kwa haraka akamsaidia na Lowassa akajitupa kwenye kiti! Huwezi kufanyia slow motion upande mmoja wa video na ukaacha mwingine! Jamaa anayemsaidia Lowassa ndiye anayedhihirisha kuwa ni bona fide video!
 

Ikitokea ni yeye akapitishwa na CCM, then huyu ndie rais wetu 2015!. Ikitokea asipitishwe na CCM, chama chochote atakachojiunga nacho ndicho chama kitakachoishika ikulu yetu!. Hii hali ya afya tunamuachia YEYE ambayo huyu 'jamaa yangu' ameishasema wazi kuwa "nayaweza yote katika YEYE anitiaye nguvu!.

Kwa sasa zimebaki siku 10 tuu muhimu!.

Pasco

Eti chama chochote atakachojiunga nacho ndicho kitakwenda Ikulu!

Kwa akili hizi nakushauri ukafanyiwe HEAD TRANSPLANT na Dr. Cannavaro!
 
Labda wengine mmeshaliona hili:



My Take: Sasa kama ni kweli wanafikiria hili au wanaamini hili basi bila ya shaka wanatufikiria sisi sote akili zetu ziko kwenye chupa. Hivi kweli video zote hizi zimewekwa slow motion? Seriously? Inawezekana Lowassa hana matatizo makubwa ya kiafya kama inavyohisiwa na baadhi ya watu lakini kusema kuwa video zimefojiwa ili kumfanya aonekane dhaifu zaidi nadhani si kutendea haki watu wengine. Kuna njia moja ya uhakika pkuondoa wasiwasi huu.






Waache majambazi wagombane wenyewe
 
Lowassa hana uwezo wa kushikilia hata kikombe cha kahawa kwa sekunde 30. Anaweza kufa jukwaani huyu mzee
 
Huyo aliyetoa hilo tangazo ni punguani, slow motion kwenye picha iwe kwa Lowassa tu wengine hawajawekewa hiyo slow motion?

Lowassa ni mgonjwa kweli na nilisema humu toka zamani ana kila dalili za Parkinson Disease wala haihitaji kuwa daktari kulielewa hilo, kama ni mpenzi wa michezo na umewahi kufatilia maisha ya Muhammad Ali kwenye video utaliona hilo pasi na shaka.

Coordination ya brain na viungo vya mwili wa Lowassa vina synch differently, vina wrong timing.

Lowassa ni mgonjwa. Full stop.
 
Labda wengine mmeshaliona hili:



My Take: Sasa kama ni kweli wanafikiria hili au wanaamini hili basi bila ya shaka wanatufikiria sisi sote akili zetu ziko kwenye chupa. Hivi kweli video zote hizi zimewekwa slow motion? Seriously? Inawezekana Lowassa hana matatizo makubwa ya kiafya kama inavyohisiwa na baadhi ya watu lakini kusema kuwa video zimefojiwa ili kumfanya aonekane dhaifu zaidi nadhani si kutendea haki watu wengine. Kuna njia moja ya uhakika pkuondoa wasiwasi huu.






Tatizo la watanzania wengi ni ubinafsi, ukiona mtu anakomaa kusafisha uchafu wa mafisadi ujue mchumia tumbo huyo. Watu wengine bwana, mnaumiza watanzania wengi kwa kutetea ufisadi ili mshibishe matumbo yenu! Aibu.
 
Team lowasaaaaa! Nyie ni watu hatari kwa mustakabali wa nchi!
 
Back
Top Bottom