Gogle
JF-Expert Member
- Feb 26, 2013
- 1,495
- 871
hii hapa nini.....!?
Malaysian Airlines flight MH370
Sent from my iPad using JamiiForums mobile app
hii hapa nini.....!?
Hapo ndio mlango mkuu wa kuzimu kama imepelekwa hapo itakuwa ngumu kuipata
Hebu malizia basi,Kinavutwa kwenda juu ama kinavutwa kwenda Chini ya bahari!Na km hilo wana litambua hivyo,walijipanga vipi kukabiliana na Mvutano huo.
Wanasema ukienda Kigoma inakupasa kuwa na 'adabu', sasa usiishie hapo tu we ebu fuatilia mwenyewe huko then ujue tuna vitu vingi vya kujifunza hata visivyo kwenye mitahala ya NECTA!ndio nini hiyo mkuu, fafanua kwa wale ambao hatufahamu?
Sio lazima iwe huko tu, usije kushangaa ukaikuta 'nyingine' kati ya Mafia na Ushelisheli!Hata mimi niliwaza hili........ila huko ni mbali ujue.......
Inabidi waongeze wigo wa kuitafuta, wasiishie tu huko eneo ilikopita.Sio lazima iwe huko tu, usije kushangaa ukaikuta 'nyingine' kati ya Mafia na Ushelisheli!
Mwaka 1978 February; East Africa Airways walikuwa na dege kubwa la mizigo lililoitwa Simba. Rubani wake alikuwa Capt. Wilbert Urio, katika fani hii kuna vimbwanga kadha wa kadha kuna kisa kimoja anasimulia kwamba wakati wanavuka atlantiki instruments zote kwenye cockpit ziligoma kufanya kazi baada ya mwanga mkali kupita mbele yao na kuwaachia kiwi cha macho.
Ndege ilikosa nguvu na kuanza kushuka chini mdogomdogo mpaka tumbo la ndege likaguza maji ya bahari wakati huo walikwisha kata tamaa na kuanza kusali lakini ghafla kwa nguvu za ajabu ndege ikaruka kwa mruko usio wa kawaida mpaka kwenye attitude waliyokuwa wana i maintain na ghafla instrument zote zikaanza kufanya kazi na pia kwenye radar ikaanza kuonekana, baada ya kufika kwenye destination iliyokusudiwa salama ndege ilifanyiwa uchunguzi wa hali ya juu lakini hakuna dosari yeyote iliyoonekana.
Pengine imeyeyuke
wewe mwanga mshukuru tu mungu wako mwalimu mwakanyamale hayupo hapa. wewe ulikuwa ni mtu wa kupigwa tu rula kichwani. unapataje 11 unapojumlisha hizi tarakimu hapa 10/3/2014? au umetoka kwenye grosare?
usafiri wa anga ni janga la kidunia,moyo wa kukwea pipa wanaupata wapi ?Astaghufulila heri niwe mshamba.
usafiri wa anga ni janga la kidunia,moyo wa kukwea pipa wanaupata wapi ?Astaghufulila heri niwe mshamba.