Hii ya Malaysia Airlines ni maajabu tu

Hii ya Malaysia Airlines ni maajabu tu

Sasa Hivi tutashuhudia mabango kwenye mashirika ya ndege yakitahadhalishwa juu ya uwizi wa ndege za abiria ulioanza hapa duniani
 
Leo ni siku ya nne, lakini hakuna alamu yoyote ya ndege ya Malaysia Airlines, haijulikani kama imedondoka au imezama baharini na kama ingezama mabaki yangeonekana au hata kama ingelipuliwa mabaki nayo yangebaki, sasa sijui imepotelea wapi! Kila nikifuatilia nakutana na still missing!

kweli hesabu ni janga la taifa! siku nne kivipi mkuu? haya na tuhesabu kwa pamoja kwa kutumia vidole au visoda: yaani kutoka ijumaa, jumamosi, jumapili, jumatatu, jumanne, jumatano, alhamisi hadi leo ijumaa=8days.
 
kweli hesabu ni janga la taifa! siku nne kivipi mkuu? haya na tuhesabu kwa pamoja kwa kutumia vidole au visoda: yaani kutoka ijumaa, jumamosi, jumapili, jumatatu, jumanne, jumatano, alhamisi hadi leo ijumaa=8days.
Una uhakika hii thread ameileta leo Ijumaa,
Kusoma huwezi, hata picha huoni?
 
kweli hesabu ni janga la taifa! siku nne kivipi mkuu? haya na tuhesabu kwa pamoja kwa kutumia vidole au visoda: yaani kutoka ijumaa, jumamosi, jumapili, jumatatu, jumanne, jumatano, alhamisi hadi leo ijumaa=8days.
umeshindwa kabisa kushirikisha kichwa na kujua thread ilianzishwa lini?
 
oooh!! kumbe mjinga mimi. nimekubali mkuu nilikurupuka.
ok. kumbe umeshagundua, pamoja kamanda, haya tuendelee kutafakari, ingekuwaje kama rais anayesafiri sana duniani JK angekuwemo kwenye hiyo ndege?
 
kweli hesabu ni janga la taifa! siku nne kivipi mkuu? haya na tuhesabu kwa pamoja kwa kutumia vidole au visoda: yaani kutoka ijumaa, jumamosi, jumapili, jumatatu, jumanne, jumatano, alhamisi hadi leo ijumaa=8days.

Mkuu hii thread niliiweka hapa Jumanne ya Machi 11 mwaka huu wa 2014, labda utakuwa umechelewa kuisoma, pole!
 
Leo ni siku ya nne, lakini hakuna alamu yoyote ya ndege ya Malaysia Airlines, haijulikani kama imedondoka au imezama baharini na kama ingezama mabaki yangeonekana au hata kama ingelipuliwa mabaki nayo yangebaki, sasa sijui imepotelea wapi! Kila nikifuatilia nakutana na still missing!

Kweli kupotea kwa hii ndege ni maajabu mkubwa. Mimi nadhani hii ndege ilianguka baharini sehemu yenye kina kirefu sana na katika kuanguka kwake ilitanguliza pua hivyo ikazama yote na kwenda chini kabisa ya bahari bila kukatika vipande hivyo iko chini kabisa ya bahari pamoja na abiria wote. Hii ndege haiwezi kuwa angani baada ya wiki moja toka iliporuka. Ndege na meli zinazotafuta zinaangalia uwezekano wa kuona kitu chochote kikielea kama vile bawa la ndege au mkia lakini haziwezi kuona kwakuwa kwa mtizano wangu ilizama yote kutokana na kuanguka huku ikielekeza pua hivyo ni kama ili-dive. Lakini Mungu ni mkubwa huenda ndege ikapatikana pamoja na abiria wake wakiwa hai!
 
kweli hesabu ni janga la taifa! siku nne kivipi mkuu? haya na tuhesabu kwa pamoja kwa kutumia vidole au visoda: yaani kutoka ijumaa, jumamosi, jumapili, jumatatu, jumanne, jumatano, alhamisi hadi leo ijumaa=8days.

Mkuu hebu jitahidi kuwa unatoa kwanza boliti kwenye jicho lako kabla ya kutoa kibanzi kwenye jicho la mwingine.

Ukiangalia kwa makini mada hii imeanzishwa tarehe 11 Machi na kwa mahesabu yako hivyohivyo utagundua mleta mada alikua sahihi kusema siku 4 zilikua zimepita.

Itoshe kusema kua wewe ndo umekurupuka kwa mwendo kasi mtoroko (escape velocity).

Asante, cc. Bigbro
 
Last edited by a moderator:
Mkuu hebu jitahidi kuwa unatoa kwanza boliti kwenye jicho lako kabla ya kutoa kibanzi kwenye jicho la mwingine.

Ukiangalia kwa makini mada hii imeanzishwa tarehe 11 Machi na kwa mahesabu yako hivyohivyo utagundua mleta mada alikua sahihi kusema siku 4 zilikua zimepita.

Itoshe kusema kua wewe ndo umekurupuka kwa mwendo kasi mtoroko (escape velocity).

Asante, cc. Bigbro

haya bn nimekubali
 
Hapa kuna kitu hapa, hawa jamaa wanafichaficha mambo tu
- Officials initially said four or five passengers checked in for the flight but did not board, fueling speculation about terrorism. Officials later said some people with reservations never checked in and were simply replaced by standby passengers, and no baggage was removed.
source:Missing plane sent signals to satellite for hours
 
Kweli kupotea kwa hii ndege ni maajabu mkubwa. Mimi nadhani hii ndege ilianguka baharini sehemu yenye kina kirefu sana na katika kuanguka kwake ilitanguliza pua hivyo ikazama yote na kwenda chini kabisa ya bahari bila kukatika vipande hivyo iko chini kabisa ya bahari pamoja na abiria wote. Hii ndege haiwezi kuwa angani baada ya wiki moja toka iliporuka. Ndege na meli zinazotafuta zinaangalia uwezekano wa kuona kitu chochote kikielea kama vile bawa la ndege au mkia lakini haziwezi kuona kwakuwa kwa mtizano wangu ilizama yote kutokana na kuanguka huku ikielekeza pua hivyo ni kama ili-dive. Lakini Mungu ni mkubwa huenda ndege ikapatikana pamoja na abiria wake wakiwa hai!

Experts say that if the plane crashed into the ocean, some debris should be floating even if most of the jet is submerged. Past experience shows that finding the wreckage can take weeks or even longer, especially if the location of the plane is in doubt.
source:http://news.yahoo.com/missing-plane-sent-signals-satellite-hours-211405973--politics.html
 
Back
Top Bottom