sebastian longfellow
Senior Member
- Feb 13, 2014
- 173
- 117
Usafiri wa anga ni wa salama zaidi kuliko usafiri wa magari. Unalijua hilo?
ushahidi uambatane na takwim pamoja na link.kwann unasema hivyo?
Usafiri wa anga ni wa salama zaidi kuliko usafiri wa magari. Unalijua hilo?
Nadhani mpaka ipokelewe ndio unaweza kujua location....kwa upande mwingine huenda simu zao hawajaenable GPS...We acha tu its perplexing situation we really confused of these news, umeamkaje wewe?
Sent from nokia Jeneza
ushahidi uambatane na takwim pamoja na link.kwann unasema hivyo?
Takwimu na vyanzo ni vya kumwaga.
Lakini pia wala huhitaji takwimu kulijua hilo na wala huhitaji kwenda mbali. Mwaka jana Tanzania ni watu wangapi walikufa kutokana na ajali za ndege ukilinganisha na zile za magari?
awali nilisema ni janga la kidunia kwa kujua fikra usafiri wa anga nchini haujaenea wala si wa ufanisi ukilinganisha na magar.sasa npe idad ya ndege zifanyazo safari za mabara zilizowahi kuanguka na angalau majeruhi walionusurika
Yaani nikupe idadi za ndege za mabara yote? Hebu kuwa mahsusi bana
Ila, kwa kuanzia tu, hebu bofya hapa upate takwimu za Marekani ambapo usafiri wa anga pamoja na wa magari umeenea sana pengine kuliko sehemu nyingine yoyote duniani.
Naanza kukumbuka Series ya "Lost"!
Hiyo ni miujjiza ya baba yetu, Mungu wetu wa mbinguni, na hiyo ni ishara kidigo tu anataka kuwathibitishia binadamu ukuu na uwepo wake na hasa kwa hao wenzetu wa mashariki ya mbali, ambao wengi hawaamini uwepo wa Mungu!Mwaka 1978 February; East Africa Airways walikuwa na dege kubwa la mizigo lililoitwa Simba. Rubani wake alikuwa Capt. Wilbert Urio, katika fani hii kuna vimbwanga kadha wa kadha kuna kisa kimoja anasimulia kwamba wakati wanavuka atlantiki instruments zote kwenye cockpit ziligoma kufanya kazi baada ya mwanga mkali kupita mbele yao na kuwaachia kiwi cha macho.
Ndege ilikosa nguvu na kuanza kushuka chini mdogomdogo mpaka tumbo la ndege likaguza maji ya bahari wakati huo walikwisha kata tamaa na kuanza kusali lakini ghafla kwa nguvu za ajabu ndege ikaruka kwa mruko usio wa kawaida mpaka kwenye attitude waliyokuwa wana i maintain na ghafla instrument zote zikaanza kufanya kazi na pia kwenye radar ikaanza kuonekana, baada ya kufika kwenye destination iliyokusudiwa salama ndege ilifanyiwa uchunguzi wa hali ya juu lakini hakuna dosari yeyote iliyoonekana.
Leo ni siku ya nne, lakini hakuna alamu yoyote ya ndege ya Malaysia Airlines, haijulikani kama imedondoka au imezama baharini na kama ingezama mabaki yangeonekana au hata kama ingelipuliwa mabaki nayo yangebaki, sasa sijui imepotelea wapi! Kila nikifuatilia nakutana na still missing!
Hebu malizia basi,Kinavutwa kwenda juu ama kinavutwa kwenda Chini ya bahari!Na km hilo wana litambua hivyo,walijipanga vipi kukabiliana na Mvutano huo.
osie umuufya ndai?Niko huku lukozi nimemwambia bibi aichek kwenye mitambo yake asili kasema hii ngoma iko kalenga iringa