Hii ya Malaysia Airlines ni maajabu tu

Hii ya Malaysia Airlines ni maajabu tu

Mkuu kweli kabisa, huu usafiri licha ni nadra sana kutokea ajali lakini kwangu bado unabaki Kuwa usafiri hatari sana
Kuna mzungu mmoja pamoja na uzungu wake, alikua hapandi ndege kamwe tena alikua mchezaji. kwahiyo mkuu sipingi msimamo wako maana itegemea maono yaku kuhusu usafiri wa ndege, mimi siku ya kwanza kupanda usafiri huu kule Mtwara, baada ya ndege kupaa baada nusu dakika nilipoangalia chini, nilitamani nimwambie rubani anishushe. Kwa jinsi vitu vilivyokua vikionekana ila hamna jinsi, pia siku moja kuna dada alilia sana baada ya ndege kupaa.
 
Inawezekana sana kuwa imeenda out the space kwa wanaojua geografia watakubaliana nami. kuna level angani ambapo ndege hairuhusiwi kufika gravitation force ya juu inakuwa na nguvu sana so huenda ilirich that point then ikamuvuzishwa kwenda juu zaidi thus why haionekani labda NASA watusaidie

Tukumbuke kua ilikua na mafuta ya kutembea masaa 7 hewan....yaan mimi hadi imenichanganya.....Yan ukifikiria hiki unaona hakiwezekan!!
 
Inawezekana sana kuwa imeenda out the space kwa wanaojua geografia watakubaliana nami. kuna level angani ambapo ndege hairuhusiwi kufika gravitation force ya juu inakuwa na nguvu sana so huenda ilirich that point then ikamuvuzishwa kwenda juu zaidi thus why haionekani labda NASA watusaidie

Acha kuchekesha umma wewe. Kusudi object iende outer space, kitu kiitwacho escape velocity kinahusika hapo. Rudi tu darasani
 
Nachukia kupanda ndege, nakumbuka siku moja natoka OR Tambo na air tanzania nilijuta kwa jinsi vyuma vilivyokuwa vinagonga utadhani bushi zimeisha, tukafika sehemu ndege ilipigwa na turbulence, pilot akatoa signal za hatari, akazima taa, akawasha taa zimazoelekeza emergency doors, nilikaa na mkaburu akaanza kutafuta safety jacket...macho yalinitoka
Dah we acha tu huu usafiri wa haraka ila muda fulani unatiana tumbo joto, kuna sehemu inaona kabisa ishuka alafu rubani anaipandisha tena, mara nyingine inahisi kama inatembea barabarani tena ya vumbi.
 
Professa Maji Marefu asingekuwa na majukumu ya kitaifa huko dodoma bila shaka angetusiadia kuitafuta hiyo kwa njia ya unajimu.
 
Kwa sababu hesabu za kiluminatti zinafanywa hivyo..........

Na hizo hesabu za kiluminati zimeingizwa lini kwenye syllabus za shule zetu za watu wote Tanzania? siyo kila mtu hum jf ataelewa hizo syllabus za kisabato ujue Preta.
 
Sheikh Yahaya Angekuepo angetuambia ukweli wa Hili suala...manake kuna siku sheikh Yahaya alisema kuna Joka kubwa sana baharini huwa linameza ndege...
 
Na hizo hesabu za kiluminati zimeingizwa lini kwenye syllabus za shule zetu za watu wote Tanzania? siyo kila mtu hum jf ataelewa hizo syllabus za kisabato ujue Preta.

Hizo hesabu bana za ajabu fulani.......nina clip moja inayofundisha namna ya kuzikokotoa.......ngoja niingie chimbo nikupandishie.........
 
mostly probably the plane has landed at a certain military base!
 
Hizo hesabu bana za ajabu fulani.......nina clip moja inayofundisha namna ya kuzikokotoa.......ngoja niingie chimbo nikupandishie.........

poa...nitazicheki kesho bas. ngoja saa hizi nikalale zangu kabla iluminati hajaanza kulirubuni niende lambo...si unajua tena lambo saa hizi ndo kama kunakucha!
 
Back
Top Bottom