Hii ya Malaysia Airlines ni maajabu tu

Hii ya Malaysia Airlines ni maajabu tu

Taarifa za habari zinasema kuwa ndugu wa abiria wakipiga simu kwa wahanga simu zao bado zinaita ila hazipokelewi.


Sent from my Lumia phone using Tapatalk

Kwa tekinolojia waliyonayo hii si itasaidia kujua mahali inapoitia hizo simu?
 
Mpk saa kadhaa zilizopita simu za familia 22 zimesaini kuwa wanapiga simu za wapendwa wao zaita bila kupokelewa, so huenda bado wapo salama kwenye eneo ambapo signals za cellphone zafika

Kwa uelewa wangu kama ni hivyo wanashindwaje kuzi track hizo simu na kujua uelekeo zilipo?
 
Kwa uelewa wangu kama ni hivyo wanashindwaje kuzi track hizo simu na kujua uelekeo zilipo?

Its a misery mkuu, ingia page yao facebook wanaweka updates daily


Sent from nokia Jeneza
 
Acha matusi e mwanadamu usiyejua hata kesho yako ikoje...

Unajua unabii ni nini na utabiri ni nini?

Mkuu sijatukana isipokuwa kama umetafsiri hivyo, ikiwa kitu sio kilivyo maneno yangu hayawez kigeuza kiwe tofauti. With assumption am tabula rassa, give out 5 biblical qualities of a prophet (utakuwa umesaodia na maana halisi ya nabii). Please nakusubiri maana wengi wanaongea kwa hisia na sio fact


Sent from nokia Jeneza
 
Mpaka hapo mtu hawezi kunishauri nikwee pipa, hata kama ni Urusi nitafika tu kwa basi kupitia Cairo,Jerusalem, damascus, Syria, Turkey nakunywa mbege kidogo zen naamsha popo hadi Georgia na ntafika tu kuliko madude haya.
 
Mpaka hapo mtu hawezi kunishauri nikwee pipa, hata kama ni Urusi nitafika tu kwa basi kupitia Cairo,Jerusalem, damascus, Syria, Turkey nakunywa mbege kidogo zen naamsha popo hadi Georgia na ntafika tu kuliko madude haya.

Na Marekani utafikaje kwa basi??
 
....pengine imepelekwa GAMBOSHI, ile ya BARIADI au ile ya BAGAMOYO.


Mkuu hata Atlantic napo kuna maajabu, nasikia kuna eneo linaitwa bermuda triangle ambapo vitu vingi sana humezwa na visionekane, jaribu google uone
 
Bermuda Triangle kwa ndege ni kama Kisiwa cha Nungwi kwa meli, wajaribu kuchunguza eneo hilo.
 
Minadhani kunakuchanganyikiwa kwa kila mwenye ndugu ama rafiki ambae nimuhanga.. technology ya sasa upige simu iite washindwe kujua hawa watu walipo sio kweli. Kwanza hata lile sanduku jeusi lingetuma signal naingekuwa rahisi kuipata.
 
Kweli ajabu baada ya kumsoma huyu Soejatman. Wao wenyewe hawajui waanzie wapi maana all communication systems provide nothing. Hapo hapo mawasiliano ya mara ya mwisho yanasema ndege ilikuwa umbali wa kutoka usawa wa bahari salama kabisa kwa ndege angani 35,000f. Hakika hii ni ajabu
 
5 min ago

Wednesday, March 12, 01:00 PM MYT +0800 Malaysia Airlines MH370 Flight Incident - 14th Media Statement

Malaysia Airlines' primary focus at this point in time is to care for the families of the passengers and crew of MH370. This means providing them with timely information, travel facilities, accommodation, meals, medical and emotional support. All these costs are borne by Malaysia Airlines.

We have deployed teams of caregivers consisting of trained MAS staff and volunteers from Mercy Malaysia and Tzu Chi Foundation. These caregivers are stationed at five different locations at Beijing and four different locations in Kuala Lumpur.

As of now, we have 115 family members in Kuala Lumpur and they are taken care of by 72 different caregivers. At least one caregiver is assigned to each family together with a Mandarin translator for the families from China.

The caregivers have been keeping the families updated on the search and rescue efforts as well as provide emotional support.

Equal amount of initial financial assistance are being given out to all families of passengers and crew over and above their basic needs. This amount is extended to families of all crew and passengers in Malaysia as well those from other nations.

We regret and empathise with the families and we will do whatever we can to ease their burden. We are as anxious as the families to know the status of their loved ones.


Sent from nokia Jeneza
 
Back
Top Bottom