nilikua nataka kuuliza hkn watanzania au watu toka EAC ktk list ya abiria?Kuna mtu kaniambia na watanzania walikuemo, sijui ni kweli?
nilikua nataka kuuliza hkn watanzania au watu toka EAC ktk list ya abiria?
Leo ni siku ya nne, lakini hakuna alamu yoyote ya ndege ya Malaysia Airlines, haijulikani kama imedondoka au imezama baharini na kama ingezama mabaki yangeonekana au hata kama ingelipuliwa mabaki nayo yangebaki, sasa sijui imepotelea wapi! Kila nikifuatilia nakutana na still missing!
hii kitu siyo mie nimetumiwa hii siku ya kwanza ilivyoanguka .imepatikana mkuu..kitu hiko hapo
ngoma ya leo saa 4 asubuhi hiyohii kitu siyo mie nimetumiwa hii siku ya kwanza ilivyoanguka .
inawezekana ujue malasyia watz wako kibao wanasoma na wengi hupiga hizo route fupi fupiMimi alieniambia ni kijana anasoma huko sasa sijui kwakweli
inawezekana ujue malasyia watz wako kibao wanasoma na wengi hupiga hizo route fupi fupi
The Air France plane that crashed a few years back was found after 2 and a half years at the bottom of the Atlantic ( inside a deep trench of about 8 kms under the water). Siku nne sio kitu.
imepatikana mkuu..kitu hiko hapo
Leo ni siku ya nne, lakini hakuna alamu yoyote ya ndege ya Malaysia Airlines, haijulikani kama imedondoka au imezama baharini na kama ingezama mabaki yangeonekana au hata kama ingelipuliwa mabaki nayo yangebaki, sasa sijui imepotelea wapi! Kila nikifuatilia nakutana na still missing!
ngoma ya leo saa 4 asubuhi hiyo
The Air France plane that crashed a few years back was found after 2 and a half years at the bottom of the Atlantic ( inside a deep trench of about 8 kms under the water). Siku nne sio kitu.
Nationalities of people aboard Flight 370Nationality Passengers Crew Total[QUOTE said:utafiti;8924196]Kuna mtu kaniambia na watanzania walikuemo, sijui ni kweli?