haya bn nimekubali
Sawa mkuu, na tuendelee sasa kupata updates.
haya bn nimekubali
Wachina wanasema ni hii hapa
View attachment 144541
Sosi: Satellite eyeing Malaysia flight detects 'suspected crash area' - CNN.com
Sent from my iPad using JamiiForums mobile app
Zumbe mkuu (Mungu Mkuu) means Rais angepona na jina la Zumbe lingehimidiwa.
Zumbe atogolwe
Dah...we ndio unazidi kututisha...
Usiogope kipaji, itapatikana tu.
Najiuliza km wametekwa ..wanawahoji Nini ..?...katika hili tukio target in Nini ? Ndege au abiria?
Ukiweza kutofautisha kati ya Hijack na terrorrism, utaelewa huko walipo kama wametekwa wanafanya nini. Kiufupi kama ndege ingekuwa imetekwa basi mpaka sasa hao watekaji wangeshatoa taarifa na kuhitaji demands zao zifanyiwe kazi, likini mpaka sasa kimya. Kwa hili, dhana ya kuwa ndege itakuwa imetekwa ipo sehemu kwenye maficho inakufa na hoja hii inakuwa haina nguvu tena. Labda itekwe then out of control measures ikazama au kulipuka, na kama kulipuka mpaka sasa debris/ mabaki ya ndege yangekuwa yameshapatikana due to the intensive search iliyofanyika.
Kuzama baharini ndio inayochukua nafasi kubwa akilini mwa watu. Existance of Alliens still a conspiracy, je tutaamini vip kama wameichukua?:confused2::confused2:
Ukiweza kutofautisha kati ya Hijack na terrorrism, utaelewa huko walipo kama wametekwa wanafanya nini. Kiufupi kama ndege ingekuwa imetekwa basi mpaka sasa hao watekaji wangeshatoa taarifa na kuhitaji demands zao zifanyiwe kazi, likini mpaka sasa kimya. Kwa hili, dhana ya kuwa ndege itakuwa imetekwa ipo sehemu kwenye maficho inakufa na hoja hii inakuwa haina nguvu tena. Labda itekwe then out of control measures ikazama au kulipuka, na kama kulipuka mpaka sasa debris/ mabaki ya ndege yangekuwa yameshapatikana due to the intensive search iliyofanyika.
Kuzama baharini ndio inayochukua nafasi kubwa akilini mwa watu. Existance of Alliens still a conspiracy, je tutaamini vip kama wameichukua?:confused2::confused2:
mkuu je haiwezekani target ya zoezi hili ikawa ni ndege yenyewe,na kama ndege ndio target naamini hakutokua na demand yoyote,nnachohofia ni abiria tu sijui watakua kwenye hali gani kama nadharia hii itakua ndio ukweli.
natumai hapa tumepitia pia..Sidhani kama lengo ni ndege .ya kazi gani?
una hatari wewe amu !!! unaulizia leo???Kwa hiyo wakuu hii iliishaje?