Hii ya Malaysia Airlines ni maajabu tu

Hii ya Malaysia Airlines ni maajabu tu

kaka hiyo eac gani ya mwaka 1978 mbona tulishagawana fito 1977? Halafu uchumi gani ungetupelekea ndege atlantic wakati indian ocean kuivuka ilikuwa issue?

yep 1976 february it was the slippery of the pen,
 

Attachments

  • eaa.jpg
    eaa.jpg
    93.5 KB · Views: 283
yep 1976 february it was the slippery of the pen,

ni kweli walikuwa wanavuka atlantic,kwa ndege ya mizigo tu ( simba) ,na wakati janga hili linawapata walikuwa wamebeba vipuri vya dc, ambazo pia zilikuwa zinamilikiwa na eaa.leo hii ungekuta tuko mbali sanaa kama si chuki (na sumu) kupandikizwa mioyoni mwa wana ea community.
 
Mambo mengine ni kumuachia Mungu...Mungu ameamua kudhihirisha ukuu wake..binadamu si kitu na sayansi zetu

we nawe aise na jina lako hilo
Hebu chagua jina lingine aise bint mzuri kama we kujiita tofali ndo nini sasa...
 
dah! God Help Us! Maana Kama "Hao" Watengenezaji Nao Wanaumiza Vichwa Je Ingekuwa Ile Ndege Yetu Hapa Tz?
 
Haya majanga yanatokea ktk nchi ambazo technologia ipo juu sana bt wameshindwa kupatia ufumbuzi, wataalam wa mambo ya ndege plz. M nimuangaliaji wa serios itz naangalia LOST!
 
This is Jf and not FB.
We are discussing a serious issue here, where more than 230 human bodies (not plane, remember it could be empty) found missing. Be serious on serious issues.
du pole.tatizo nilikuwa cjaelewa.kumbe ndo hivyo.aisee poleni sana
 
The Air France plane that crashed a few years back was found after 2 and a half years at the bottom of the Atlantic ( inside a deep trench of about 8 kms under the water). Siku nne sio kitu.

The aircraft departed from Rio de Janeiro-Galeão International Airport on 31 May 2009 at 19:29 local time (22:29 UTC)[SUP][7][/SUP][SUP]1.1[/SUP], with a scheduled arrival at Paris-Charles de Gaulle Airport 10h34min later.[SUP][15][/SUP]

On 5 June 2009, the French nuclear submarine Émeraude was dispatched to the crash zone, arriving in the area on the 10th. Its mission was to assist in the search for the missing flight recorders or "black-boxes" which might be located at great depth.[SUP][93][/SUP] The submarine would use its sonar to listen for the ultrasonic signal emitted by the black boxes' "pingers",[SUP][94][/SUP] covering 13 sq mi (34 km[SUP]2[/SUP]) a day. TheÉmeraude was to work with the mini-sub Nautile, which can descend to the ocean floor. The French submarines would be aided by two U.S. underwater audio devices capable of picking up signals at a depth of 20,000 ft (6,100 m).[SUP][95][/SUP]
 
Back
Top Bottom